ALLY KAMWE: "AZIZ KI HAWEZI KUCHEZA SIMBA" | AWATUMIA SALAMU AZAM | "KOMBE NI LETU BADO KUPEWA TU".

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 тра 2024
  • Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
    Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 101

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi7054 22 дні тому +11

    Mara nne mfululizo, vs simba, vs coast vs azam na hii vs azam

  • @georgeabee
    @georgeabee 22 дні тому +3

    Congratulation ihefu,mimi ni mwanayanga,ila ihefu wametupa changamoto

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 22 дні тому

    Alhamndulilah Tunashukuru kwaneema uliotuneemesha Inshaallah

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale455 22 дні тому +2

    Aloooo..💪💪💪💪💪💛💛💚💚

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 22 дні тому +2

    Yaan hata mimi nina hasira sana na Azam mnoo sababu wametuumizia wachezaji wetu mechi ya ligi sasa kisasi chao kipo pale pale hatuaachi shubaamiti

  • @user-bv5gn6kr9h
    @user-bv5gn6kr9h 22 дні тому +2

    Aziz Ally

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 22 дні тому +7

    Semaji mwenye akili ni Ali kamwe pekee 😂😂😂😂 🎉🎉🎉

    • @ramamohamed492
      @ramamohamed492 22 дні тому +1

      Kumbe wew na uko wako hamna akili ila alikwamwe ndo anakili🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @saidhemed5168
      @saidhemed5168 22 дні тому +1

      Sada hujambo Yanga Oyeeeeeeeeeeeeeee

    • @sadahamad6158
      @sadahamad6158 22 дні тому

      @@ramamohamed492 khaa jaman 😂😂😂 namaanisha wasemaji wa mpira

    • @sadahamad6158
      @sadahamad6158 22 дні тому

      @@saidhemed5168 sijambo yanga oyee sana tupo juu💪💪💪

  • @ErickBehile-wf2pc
    @ErickBehile-wf2pc 22 дні тому +1

    ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @faridambingamno2729
    @faridambingamno2729 22 дні тому

    azizi ally

  • @jbbrand73
    @jbbrand73 22 дні тому +2

    Nakubali semaji

    • @Imaniamockgmail
      @Imaniamockgmail 22 дні тому

      Me pia achukue maua yake!🎉🎉🎉🔥❣️👈🙏💚💛🖤💛💚🖤💛🇹🇿

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek 22 дні тому

    Huyo msomi bhana,maelezo yamenyooka hakuna blabla,asante kjn wetu Ally S.Kamwe,Wananchi ppt tulipo tunajidai/tunavimba.
    Kwa Yanga hii,WATASUBIRI SANA.

  • @jumannemusa8169
    @jumannemusa8169 21 день тому

    Nashkuru kwakunitoa hofu kwa Aziz key kwenda simba duuuh roho ilikuwa inadunda

  • @georgeabee
    @georgeabee 22 дні тому +1

    Kaka mbona taarifa ilitolewa mapema na Tff kuwa Kuna mabadiliko ya ratba ndo mana mechi zimewai kuanza

  • @NIKODEMUMKWERU
    @NIKODEMUMKWERU 22 дні тому

    Sawa nakukubali

  • @MudathiriFalifali
    @MudathiriFalifali 22 дні тому +4

    Semaji msomi ni Ally shabani kamwee mwamba kweli kweli

  • @mariabura877
    @mariabura877 21 день тому

    Wape vidonge vyao

  • @joanithapeter8316
    @joanithapeter8316 22 дні тому

    💛💛💛💚💚💚

  • @user-jo5qr5jv1n
    @user-jo5qr5jv1n 21 день тому

    We ulituaminisha Feisal haend Azam labda apande boti ya Azam kwenda kwao kusalimia khatma yke saiv ni mfungaji Bora wa ligi anaongoza Sasa na huyu master ki tuaminishe hvhv

  • @AmaniolodiAmaniolodi-yb3tl
    @AmaniolodiAmaniolodi-yb3tl 22 дні тому

    ASante mungu yanga walishinda

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 22 дні тому +1

    Daima imara nyuma mwiko

  • @user-ns1up3me8w
    @user-ns1up3me8w 22 дні тому

    💚💚💚💚💚💚💚💚🙏

  • @erastolumato2900
    @erastolumato2900 22 дні тому

    Na mtaumia sana makolo

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 22 дні тому +1

    Yanga ikoimara Sana ndio maana ikovizuri

  • @azmedmtwana8135
    @azmedmtwana8135 22 дні тому

    Na mtasema yani mpakaaa msemeee

  • @HenryCastuli-jz3cx
    @HenryCastuli-jz3cx 22 дні тому +1

    Tuna hasirana Azam tukalipe kisasi

  • @AdrianAdrea-by8pn
    @AdrianAdrea-by8pn 22 дні тому

    hacha ulevi mwana simba

  • @user-qq5yp1zm4f
    @user-qq5yp1zm4f 22 дні тому +1

    💛💚💚💛💛💛💛💚💚💚💛💚

  • @user-nz5pu5gk6n
    @user-nz5pu5gk6n 22 дні тому

    Yanga ni level nyengine minimum kumi itachukuwa mpk wayachoke

  • @villanjimmy7625
    @villanjimmy7625 22 дні тому

    😂😂😂 yaan Ally unajua kunifurahisha

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 22 дні тому

    Ulituhaidi Tutasherekea Mwanza Ubingwa sasa Fanya hivyo tunasubiri

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 22 дні тому

    Ata mimi nina asila nao😂😂😂

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 22 дні тому

    Sababu yangu alisababisha majeruhi walio Kuja kutugarimu kilabu bingwa afirika

  • @user-sw9tp2rf7f
    @user-sw9tp2rf7f 22 дні тому

    Eti sababu elfu 1000 za kumtaka azam

  • @jonasmafumbi7087
    @jonasmafumbi7087 22 дні тому

    Wanao sema goli la mchongo anaweweseka😂

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 22 дні тому

    Hamna kitu hapa 😂😂

  • @AminaMsimbe
    @AminaMsimbe 22 дні тому

    Madunduka yanaumia mtabaki kukodoa macho acheni maneno pambanieni nafasi ya pili

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 22 дні тому

    Bonge ya semaji, hutamani limalize.

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 22 дні тому

    Huyu kijana huongea uharo sana, what a narcissist!

  • @OmarySaid-hw8ju
    @OmarySaid-hw8ju 22 дні тому

    We nenda fainal Bolkon ipo uko utailambat

  • @alfredrutaguza7506
    @alfredrutaguza7506 22 дні тому

    Wew kimudomo chako kinatuponza

  • @OmarySaid-hw8ju
    @OmarySaid-hw8ju 22 дні тому

    Hayo mashindano yalianza lini kuchezwa dakika 30 baada ya kuisha dakika 90 mbona munavuruga mambo

    • @mnyamamedia7439
      @mnyamamedia7439 22 дні тому

      Gem ya costo na yanga sopu anafunga magori mawili sijui matatu anamtungua diara ilikua dakika ngapi?

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 22 дні тому

      Na ndiomaana mpira umeanza mapema

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 22 дні тому

      Huna kumbukumbu wewe

    • @Omy-dou
      @Omy-dou 22 дні тому

      Kaangalie mechi ya Azam na coaster Azam wakafungwa kwa penalt

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 22 дні тому +2

    Tff upuuz mtupu ule uwanja mdogo wa manyara fainal ovyo

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 22 дні тому

    Bora msngeingia fainal kabsa Azam apewe kombe lake

    • @henelckneatunga2720
      @henelckneatunga2720 22 дні тому

      WEWE TULIA,AZAM WALITUKOSHA KOMBE LA AFRICA KWA KUTUHUMIZIA WACHEZAJI SASA ZAO ZIMEFIKA.

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 22 дні тому

      Tuliza kikojoleo, ngoma siyo yako unajifunga kibwebwe chanini? tulia da 3.

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 22 дні тому

      Kolo kama kolo endelea kuteseka

    • @yusuphmpinge4066
      @yusuphmpinge4066 22 дні тому

      Walaume mashujaaa

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 22 дні тому

    YANGA MMEPATA GOLI LA MBINDE SANA KUTOKA KWA IHEFU. ALI KAMWE UNATAMBA SANA MTAFUNGWA NA AZAM

    • @user-uf6oe3qi6v
      @user-uf6oe3qi6v 21 день тому

      Ndo football nusu fainali

    • @JastinAlphonce
      @JastinAlphonce 21 день тому

      Anitha we kaongo yaan Azam atufunge na hivyo TUlimtaka😂😂😂

  • @georgemallya4311
    @georgemallya4311 22 дні тому +2

    Wewe ongea tu subiri uone

  • @CharlesWanyeche-er6rw
    @CharlesWanyeche-er6rw 22 дні тому

    Manyoya nini wewe simba kafata nini kwenye utopoloni wenu kwendaaaaaaa

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 22 дні тому

      Nguruwe fc makasiriko ya nini?

    • @aminaomari2312
      @aminaomari2312 22 дні тому

      Amemjibu msemaji wenu aliyesema wanamsajili aziz ki.

    • @CharlesWanyeche-er6rw
      @CharlesWanyeche-er6rw 22 дні тому

      @@Mary-fs4mc kwendaaaaa

    • @Mary-fs4mc
      @Mary-fs4mc 22 дні тому

      @@CharlesWanyeche-er6rw mateso fc, maumivu yatakuua kijana, nakwataarifa yako siendi popote nipo nipo sanaaaaa tuuuuuuu.

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 22 дні тому +2

    Goli lenyewe mchongo faulo refa kaacha na pia Ni Sheria gan robo dk 90 halafu nusu extra time upuuz mtupu