MIKE SONKO: MTOTO SATRINE MIAKA KUMI NA MOJA BAADAYE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 жов 2024
  • Miaka kumi baada ya kanisa la Joy in Jesus Ministry jijini Mombasa kushambuliwa na magaidi na kumuua mamake,
    Osinya aliyenusurika katika shambulizi hilo na risasi kwa kichwa akiwa na miaka mbili amekuwa mchangamfu miaka nane baadaye.
    Kijana huyo ambaye alichukuliwa na aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko, hivi majuzi alisherehekea miaka kumi na moja tangu azaliwe.

КОМЕНТАРІ • 2

  • @bentaninvestment9123
    @bentaninvestment9123 3 місяці тому +2

    May God give you favour in whatever you need. You have been a blessing to many❤

  • @jbjones254
    @jbjones254 Рік тому +1

    I view all bro