Nikilia Yahweh (LIVE) A worship song by Tafes Ardhi P/W Team
Вставка
- Опубліковано 22 тра 2020
- #NikiliaYahwhe #wanisaidia ni wimbo wa kumwabudu Mungu ulioimbwa Live na kikundi cha kusifu na kuabudu kutoka TAFES Chuo kikuu Ardhi, #tafesaru Mungu akubariki wakati ukiangalia na kusambaza ujumbe wake kupitia uimbaji.
#Ibada #Worship #LPUO6
Genre: Gospel
Song: Nikilia Yahweh by Tafes Ardhi
Video: Kababah creative Studios (+255752213012)
Audio: Ezek Music (+255765249322)
Mungu awabariki Sana na kuwapandisha juu zaidi
Amen
N miaka sasa imepita ila huu wimbo haujawahi kutoka ndan yangu. Nawapenda sana
Nikilia Yahweh wanisaidia Bwana
Nikilia Yahweh wanisaidia
Msaada wangu huwezi kushindwa
Msaada wangu huwezi kushindwa
aiseee,dada ulielead huu wimbo MUNGU akutunze na akuinue mno,ulivyoanza wimbo its absolute awesome,flow its awesome and most of all,the annointing its out of this world,am moved kwakweli by this
Powerful
Anointed song anointed ministers anointed listeners, I glorify Holy Spirit
Mungu awaguse na kuwazidisha..awafanye wa baraka kwa wote,awaondolee udhia Ili mpate kuendelea kutumika...mbarikiwe kwa kazi yenu
Wimbo wa kubariki mouo sana,muzidi kuzidishiwa na uwepo wa Mungu.
Amesema Niite nami Nitaitika . YEYE HABADILIKI , AKISEMA AMESEMA . NI mshika maagano. Siri zote za Maisha Yetu zinapatikana kwenye Neno lake
Nikilia Yahweh. . wimbo mzito sana
Hakika msaada wangu yesu huwezi kuushindwa
Hakika wew nimungu nikilia huwezi kuniacha kamwee thank you juss
Wimbo unatia nguvu mioyo iliyochoka, unatia tumaini jipya la kusonga mbele😪@Tafesaru Mungu aendelee kuwatumia msichoke kumtumikia
Jina lako linapita majina yote
Tukikuita Baba wewe waitika
Sikio lako sio nzito usisikie Baba
Tukiatapo waitika waitika
Ni wewe pekee yako
Nguvu zako zimezidi nguvu za wafalme wa dunia
Oh bless the name oh oooh eeeh ooh
Nikilia Yahweh wanisaidia Bwana
Nikilia Yahweh wanisaidia
Msaada wangu huwezi kushindwa
Msaada wangu huwezi kushindwa
[2x]
Song by Tafes Aru
Amen bwana huwa anatenda kila Mara jina lake likiitwa kwa kuwa yeye ni Muweza wala sikio lake sio ziti lisiweze kisikia🙏🙏🙏
Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo ambapo waabuduo halisi watamuabudu BWANA katika roho na kweli. Kwa maana BABA awatafuta watu kama hawa wamuabudu. MUNGU ni roho, nao wamuabuduo imewapasa kumuabudu katika roho na kweli.. Yohana 4:23-24
Powerful. Probably the best worship song of the year. Mbarikiwe sana
Yesu Kristo ni msaada wa karibu zaburi 46:1
Hakika nimebarikiwa Sana na huu wimbo Mungu azidi kukutia nguvu na kukutumia coz uponyaji unatokea kupitia nyimbo kama hizi I it God bless you your 🙏🙏🙏
Tukumbushane hiki kitufe cha kidole kuangalia chini ni "dislike" ukibonyeza means hujapenda video..tunakumbushana tu wapendwa wangu... thanks tafes ardhi unuversity this worship is super annointing...barikiwa sana popote mlipo..MUNGU awakumbuke kwenye Masomo yenu
Msaada wangu huwezi kushindwa. I love the song
Msaaada wangu huwezi kushindwa!! Nakili ivyo.....🙏 Lord Jesus
Nikilia Yahweh (when I cry Yahweh)
Wanisaidia ( you help me)
Msaada wangu (my help)
Huwezi kushindwa ( you can’t fail )
God bless you I love this song so much I keep watching it though I have not been knowing the meaning but blessed now I have got the meaning 🙏🙏🙏🙏 am blessed
Inapendeza kuwepo uweponi pa Mungu# baraka tele tele ndugu zangu.
Nikilia Yaweh,
Wanisaidia
Nikilia yaweh,wanisaidia msaada wangu,huwezi kushindwa,
msaada wangu huwezi kushindwa.
Great Worship
Mbarikiwe Saaaana wadogo zangu! Kati ya Vitu napenda Ni Worship jmn
Kwako Mungu ndipoo salama yetu, Mungu ninalia sana niponyee Kwa kua hakuna msaada, ninakuangalia wewe maana Mungu ni mponyaji
MUNGU awabariki kwa huduma nzr na ya baraka napockiza huu wimbo nabarikiwa mno MUNGU awainue
Amen
Halleluyah...msaada wangu Yesu huwezi kushindwa;Amen
Msaada wangu wa karibu haushindwi na chochote YESU
Sauti ya dada hakika imebarikiwa
Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo awe pamoja nanyi. Nabarikiwa na kazi yenu katika ufalme wa Mungu
I love to worship God but this worship has taken me to the holy of hollies deeper with God.....
Barikiweni sana vijana wenzangu
#hawezi shindwa
One of my favorite worship song
😭uwezi shindwa msaada wangu maana aujawai shindwa baba
This is very very powerful.. and very touching
Bwana anamashine zake za kujivunia wakiwa hawa vijana wa yesu.....
Wimbo mzuri
please put this song on apple music its really powerful 🙇♀️
Powerful worship tafes team may u guys be blessed a lot our Holy Lord never fail.
worship leader anajua anachokiimba,nakosa hata maneno ya kumuelezeaa,she is too good
Nitengeze Jehova ninatamani kufanana na Wewe Ahsanteni Kwa wimbo mzuri
Asante pia kwa kuwa pamoja nasi
Msaada wangu wa kàribu huwez kushindwa😭🙌
Powerful song, worship leader anajua anachokifanya 💜
Sanaaaaa and the musician wanajielewaa
"Msaada wangu ni wewe kamwe hujawah kushindwa "🙏
This song, it takes you to the Holy of Holies. The dimension of worship is of the uttermost deepest parts of Man's spirit. 🙌🙌🙌
Nikundiwe Mcharo Amen
Amen
I've listened to this song since it was released...and every single time I listen to it or sing it ...it blesses my heart ... I'm inspired by this team...the lead worship minister may God increase you and take you to greater levels❤️🇰🇪..indeed there are remnants in our generation there is hope for the future ...baraka ❤️
It's been translated in swahili version the owner is a Zambian gospel singer Evelyn Chisaga (Nganalila Yawe)
It's a Powerful song indeed.
Mungu awabariki Tafes Ardhi, Faith ubarikiwe dear
SIUCHOKI 😣GIVES ME A HEART PEACE WHILE TEARS RUNNING OUT OF MY EYES HIS MY HELPER
GOD BLESS YOU MLIOSHIRIKI KWENYE HUU WIMBO
Utukufu kwa MUNGU BABA Pekee!! Hongereni sana kwa Uimbaji mzuri na Kumuinua. Mmebarikiwa Sana
Kupitia wimbo huu nauona ushindi mkubwa ktk pito nililonalo MUNGU haujawahi kushindwa ndani ya uumbaji wote hata hili litapita
Hakika Mungu ndo kila kitu kwetu Tukimuita Yeye anaitika.
Msaada wangu huwez kushindwa...❤
KWANINI UNARUDI NYUMA ILI UFE?
Bwana Yesu apewe sifa mtu upendwaye na Mungu! Mungu ametupa neema ya uzima, nami ndani yangu nawiwa kukuletea neno la Mungu la lenye kuponya. Hasa wewe ambaye umekwisha kuijua neema na kipawa cha Mungu, lakini bado unavutwa na kuvutika kurudi nyuma ukidhani huko kuna usalama kuliko kwa Mungu, eti kwasababu kwa shetani utapata hirizi ya kuvaa, eti kwasababu utachanjwa chale na kuwekewa dawa, eti kwasababu utanyweshwa dawa za kujikinga, eti mganga atazindika nyumba yako, naomba nikwambie kitu mpendwa, shetani amekuwa akikuwinda sana wakati Mungu amekufunika na ulinzi wake, mara tu utakapotoka mikononi mwa Mungu,shetani atakugawanya vipande vipande, na Mungu anachukia kurudi nyuma, hebu msikie mwenyewe! “Ikiwa mtabaki katika nchi hii, ndipo nitawajenga, wala sitawabomoa, nami nitawapanda, wala sitawang'oa; kwa maana nayajutia mabaya niliyowatenda” Yeremia 42:10. Endelea kumsikiliza, “Haya ndiyo yatakayowapata watu wote waelekezao nyuso zao kwenda Misri, na kukaa huko; watakufa kwa upanga, na kwa njaa, na kwa tauni; hakuna mtu awaye yote miongoni mwao atakayesalia, au kuokoka katika mabaya nitakayoyaleta juu yao” Yeremia 42:17. Mpendwa kaa kwa Yesu kuna usalama wa kutosha, huko misri/duniani/kwa shetani UTAKUFA!!! Katika Mithali 1:32 imendikwa “Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza.” Kurudi nyuma au kumwacha Yesu ni ndani ya maamuzi yako, lakini kutakuua, be sure! Yesu akagongelea msumari huu hapa katika Mathayo 12:45, msikie “Mara(pepo) huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu(aliyerudi nyuma/mwacha Yesu) yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kilicho kibaya.” Uko tayari kupata shida yote hiyo? Sema hapana, maana Mungu baba yetu anatupenda na wala hataki tupotee, kaa ndani ya Yesu uwe salama na ufanikiwe! YESU NI MWOKOZI WA ULIMWENGU NJOO KWAKE LEO! Uwe na siku njema katika jina la Yesu Kristo.
Kwa msaada zaidi piga: 0756-292-211 au 0711271110 Mwalimu kelvin Nathaniel Lwiva
You are a blessing TAFES ARU....
Surely.....Hujawahi shindwa Yesu na hautoshindwa...🙌🙌🙏🙏🙏
Naskia nguvu ya ajabu,,hakika mungu ni mwema
Utukufu Utukufu Utukufu Utukufu...
Just listening after prayers, feeling the presence of the holy spirit.
Blessed song aseee hajawahi kutucha
I bless the lord 🙏 this song is heart touching may God continue raising you higher
Yeeeeeeeees,msaada wangu YESU huwezi kuushindwa.
Nimebarikiwa Sana na wimbo huu.... Mungu awabariki
Nikikulilia Yahweh, Waitika Yesu.. Hakuna usiloliweza.
Thanks, so much, a powerful song and a Blessing.
#leader doing it with revelation of what She's doing.
Glory to GOD.
🙌 I just can't hold myself when this sacrifice of worship comes along
I feel blessed and elevated by the song,listening from Kenya.
Yahweh... Msaada wangu huwezi kushindwa😭😭😭
Very powerful nyie vijana
Nimeusikiliza Huu Wimbo On Repeat Nikayatafakari Sana Maisha Yangu Bila Ya Mungu Yangekuwaje Nilijikuta Nikilia Sana Na Kumshukuru Sana Mungu, I Hope Huu Wimbo Utaenda Kufanya Ibada Kwenye Moyo Wa Kila Atakayeusikiliza Na Zaidi 🙏🏾 GOD Is Good
nafurahishwa sana na nyimbo yako mungu azidi kukuinua
Jesus is the same yesterday today and forever 🙏🙏🙏🙏
Wow wow woooow.....I like your voice sister....God bless you...Mungu msaada wangu...ameeen
😭😭😭😭😭
Msaada wangu ni Yesu🙌🙌🙌
HILLARY THE WORSHIPPER Amen....YEYE Bwana hajawahi shindwa
Am speechless Mungu azidi kuwainua this song is truly anointed
Nabarikiwa na hii☝️☝️☝️☝️💥💥💥
Huwezi kushindwa baba
I feel blessed when I listen to this song
This lady rhymes someone in the spirit of praise,S.Africa...so powered
Wow this song takes me to another level, when praying, it is a song for overcomers.. Nikilia Yahweh anacome thro na overcome. Congrats tafes
Wow nmebarikiwa sana! mnaweza
Msaada wangu hajawahi kushindwa kamwe, Asante YESU wangu
Powerfull brethren may God's will be done in your lives🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Much appreciation... From TAFES TIA!
Lets give Him all the glory
Deep deeper worship, the song has really given me Hope ,was Almost giving up in ministry,But what a inspirational song, Nililia Yahweh Naona mkono Wako,Msaada wangu Hauwesi kushidwa
Hakika Mungu hawezi kushindwa, endelea kubarikiwa
Thank you TAFES ardhi.
Such a powerful worship 🙌
May God honour you guys.
The tune sounds exactly like Zimbabwean artist song When I pray Oh Lord U hear me by Olinda Marowa. Great song hey
Nikilia yaweeeh wanisaidiaa yesuuuuu😭😭😭
God bless as
Hongeren mko vzr,huu unanibariki sana
Hakika tukikuita Baba wewe waitika
Sikio lako siyo zito 😭😭😭 ni MUNGU tu I love this song
Be blessed more Debora
Nimewapenda mzidishiwe na Bwana yesu kristu.
Much congratulations from IFM Tafes family
such an uplifting song ...my spirit feels enriched and calmed ...keep it up let's worship and glorify the Almighty God
Oh God I just ended speaking in tongues sijui niandikije Glorious
Very connected song directly to our Almighty Father
Vile niliusubiri na kuutafuta huu wimb0 mweeeh🙌🏾mbarikiweeeeeeee
Nsesheye Lamson Amen, Asante sana kwa kuwa pamoja nasi Tunakupenda, Karibu TAFESARDHI
Hongera hawezi shidwa
I am so blessed.....this song takes you so deep in worship
Mungu azidi kuwatumia katika huduma.
barikiweni sana kwa kumtukuza Mungu kwa nyimbo nzuri
Nikilia yahwe we wanisaidia hakika wewe ni bwana.
Thank you Lord for you are my help