DAR ES SALAAM INAZIDI KUNOGA MTO N'GOMBE BOTI ZITAELEA JUU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 34

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 4 роки тому +18

    "Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 роки тому +4

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏tanzania yetu...Mungu endelea kutufanyia wepesu,kutubariki na kutuimarisha katika maendeleo

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 4 роки тому +9

    KWELI MAGUFULI ANATISHA AISEE

  • @jackyroy2985
    @jackyroy2985 4 роки тому +4

    Hapa kazi tu

  • @mcsailas8328
    @mcsailas8328 4 роки тому +5

    Siasa mbaya sana ,wakufanya ni serikali kwa kushirikiana na viongozi hisika maana walipa kodi ni wananchi msitupiane mpira kwenye maisha ya watu

  • @athumanidaudi1115
    @athumanidaudi1115 4 роки тому +5

    Hapo sw lazima wanyookeee

  • @zulekhaally3524
    @zulekhaally3524 4 роки тому +7

    Ni ukweli huo anaesema anagombanisha hajielewi👇

  • @ambrosdavid4484
    @ambrosdavid4484 4 роки тому +2

    Naona kodi za wananci zinfanya kazi,

  • @mcshondelive
    @mcshondelive 4 роки тому +3

    boti zielee kwa maji gani 😀 dah labda wasitupe taka

  • @isayaezekiel2867
    @isayaezekiel2867 3 роки тому

    Hyu anafaa kuwa mkuu was mkoa wa dar es salaam

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 4 роки тому +1

    Jukumu mama na serikali

  • @elisante6838
    @elisante6838 4 роки тому +2

    Tanzania bila wapinzani akuna maendelea namjuwe nisis wananchi ndotunajenga kwa kodi zetu syo CCM kwaiyo acheni kuwaponda wezio mkikaa wenyewe bungeni mtanyooxheana kidole au mtaficha maovu

    • @hamisimussa2228
      @hamisimussa2228 4 роки тому

      Wapinxani wetuchelewesha sana maana kila kitu ni kupinga sasa wao wanapinga maendeleo tunayaona .unasemaje bila wao hkuna maendeleo

    • @shedadiabdul6585
      @shedadiabdul6585 4 роки тому

      Wapinzani wenyewe Wanakimbia bungeni Wanazira?

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 4 роки тому

    Kaka Makonda. Jangwani kaka.. Hautuelezi mipango ikoje.. Huu ni mwezi wa July msimu wa mvua hauko mbali sana... Umetuambia kuwa uncle Magu amekupa mzigo mnene wa mapesa... Bora ungezigawa hata nusu zikajenge jangwani.. Mafuriko yanapomwagika jangwani tunakuwa hatuna hamu na Dar... Hilo halitakiwi kupoteza muda.. Lazima litazamwe kwa jicho la wepesi

  • @frankd1156
    @frankd1156 4 роки тому

    mtoto ujenzi design mbaya maji yametwama...mbu kila kona

  • @ahmadjuma3816
    @ahmadjuma3816 4 роки тому +4

    Saiv munawambia mengine sio matatizo yao ni tabia ya mto muda mwengine mto hufuata nyumba sasa subiri kipindi hichi kipite utaambiwa umejengwa kwenye njia ya maji yaani tabu tuu na hii sio kampeni kweli na muda bado

  • @husseinjuma8127
    @husseinjuma8127 4 роки тому

    Mirad ayo mambo mangene sio ya kutuonesha huomto wameukosea sana kinachofanyika hapo ni kupiga pesa tu mto wenye ukorofi kama huo auwezi kujengwa kizahifu sana tutegeemee mafuliko makubwa sana tena

  • @elisante6838
    @elisante6838 4 роки тому +2

    Jpm alishasema maendeleo ayana chama, sas inakuaje wewe uanze kusema ccm wakati nisisi wananchi ndotunapigika kuleta maendeleo kila m2 analipa kodi akuna cha ccm au chadema

    • @luluamri370
      @luluamri370 4 роки тому +1

      Ata trump anasema Republican..ndicho chama ambacho kipo madarakani

    • @hamisimussa2228
      @hamisimussa2228 4 роки тому

      Sasa unataka aseme chama gani hta cdm wakiwa madarakani watasemea ccm

  • @abdulseif4093
    @abdulseif4093 4 роки тому

    taarabu kibao

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 4 роки тому

    Viongozi wamyakayote ni ccm ndiowanaotawala myakayote tokea uhuru wataripuka ccm

  • @dennisstafford450
    @dennisstafford450 4 роки тому

    Nani kama Jpm

  • @hpp3729
    @hpp3729 4 роки тому +1

    Acha kuchonganisha raia

  • @masharubundevu3765
    @masharubundevu3765 4 роки тому +2

    Nyie si mmesema mikutano bado?acheni usenge

  • @thebossman4875
    @thebossman4875 4 роки тому

    Is this the Coco Beach redevelopment?

  • @mateomasana9145
    @mateomasana9145 4 роки тому +1

    Kwani kampain zishaanza?