Kwani uko kwa nyumba yenye anaongelelea ....I believe anything said Abt Saudi coz its possible.... Saudi stories make me think it's the hell itself🏃🏻♀️
Haja clout chase is true labda wewe sio kemboi ndio useme hivo. Mimi Niko na namba za waarabu wawili mmoja black ako huku Riyadh mwingine ni white ako majma. They do that work huwa wanauza mashagala. Kwa waarabu and ilihappen kwangu personally huko majma desert but Mimi nilitoroka ma dog ndio ziliniokoa I will never forget
Na juu ni mapolisi. Huwa wanatumia hiyo opportunity juu wanajua huna igama wee ni kemboi I have even audios for evidence juu after nilifaulu kutoroka walinitafuta wakiniambia watanilipa. Niwapee wasichana watanilipa Kwa kila msichana 1000riyals
Na pia. Nimewahi pata msichana ameuwawa huku Tu Riyadh place inaitwa nathim Niko na mpaka location na namba ya msichana WA huyo mama juu nilitoroka usiku juu niliambia dalala akaniambia hawezi nisaidia juu anajua hiyo familia ni mbaya huyo dalala nasemanga siku nitaenda Kenya lazima nitamtafuta juu alikuwa anajua na akanipea hio kazi na saa hio anajua hayuko Saudi Kenya
Maiko wazee huingishwa nyumba ya wazee tupu huko na yenye hufanywa kwa mwanaume akitoka hapo hakuna kuongea coz haezi ongea haezi tembea haezi sikia na haezi pumua .Soo girls are ble to run away but a man woiiii ....Siri ni nzito .
Mimi niko kwa king na vitanda naona huku ni smart ata sijai ona kama hizi ....but this lady is telling of vitanda ambazo zilikuwa za biashara furani . anything in Saudi ni possible 😂
Mercy from my hometown gatundu south
Watching from saudia aribia.niko.saudia.miaka.10.but.God.is.good
Mercy,is,my work mate,in Qatar
Watu hupitia aki.na name Mungu anakupenda
Hio ni uongo ,acha kuchoma tuko huku miaka 6 saaii akuna kitu kama hio uku
Wengine tuko hapa zaidi ya miaka kumi
Kupeana simu ni redflag kwa mwarabu
Mercy,is,my,Walkmans,inqater
Hio niuogo mtupu mm nimekaa huko miaka tano
Kwani uko kwa nyumba yenye anaongelelea ....I believe anything said Abt Saudi coz its possible.... Saudi stories make me think it's the hell itself🏃🏻♀️
Kwani umezunguka nyumba zote za waarabu Wacha muchene
Woiyee madam nimesikia story Yako , pole mm nko Abha nko poa sana
Abha wapi mm niko Abha
@@Maryruheni_u1h Sasa sijui visuli sijakaa sana nko n 4 bt sio town n kijijin
Na vile ukilala na kijana ya mwarabu unauwawo
Hapo kwa umaraya umendanganya mwarabu haezi fanya iyo kazi juu anajua shaghala akimreport atapigwa fine😂😂😂 clout chase
Not unless unajua hao waarabu wote kwa hio nchi..
Haja clout chase is true labda wewe sio kemboi ndio useme hivo. Mimi Niko na namba za waarabu wawili mmoja black ako huku Riyadh mwingine ni white ako majma. They do that work huwa wanauza mashagala. Kwa waarabu and ilihappen kwangu personally huko majma desert but Mimi nilitoroka ma dog ndio ziliniokoa I will never forget
Na juu ni mapolisi. Huwa wanatumia hiyo opportunity juu wanajua huna igama wee ni kemboi I have even audios for evidence juu after nilifaulu kutoroka walinitafuta wakiniambia watanilipa. Niwapee wasichana watanilipa Kwa kila msichana 1000riyals
Na pia. Nimewahi pata msichana ameuwawa huku Tu Riyadh place inaitwa nathim Niko na mpaka location na namba ya msichana WA huyo mama juu nilitoroka usiku juu niliambia dalala akaniambia hawezi nisaidia juu anajua hiyo familia ni mbaya huyo dalala nasemanga siku nitaenda Kenya lazima nitamtafuta juu alikuwa anajua na akanipea hio kazi na saa hio anajua hayuko Saudi Kenya
Acha kiherehere Hawa wanatufungia macho na kutuomba ni ww😢
Ladies should be banned completely from entering Saudi... cjawai ona mwanaume narrating anything negative about Saudi kwani ni nyinyi tu huteswa
Maiko wazee huingishwa nyumba ya wazee tupu huko na yenye hufanywa kwa mwanaume akitoka hapo hakuna kuongea coz haezi ongea haezi tembea haezi sikia na haezi pumua .Soo girls are ble to run away but a man woiiii ....Siri ni nzito .
Itanda 50 ciumite kū na andū aya mendete gükoma thì takì😮😮😮#my opinion
😂😂😂
@@Shirushiks-qc1kd imgn ni ukweli makomaga thì ta thuya 🤣🤣🤣🤣kama uko gulf najua unaelewa
Kabisa nakuelewa mama awa watu awapedi bed
Mimi niko kwa king na vitanda naona huku ni smart ata sijai ona kama hizi ....but this lady is telling of vitanda ambazo zilikuwa za biashara furani . anything in Saudi ni possible 😂
Clout chase
Mercy,is,my,Walkmans,inqater