NAMNA YA KUTOA TALAKA Sheikh Ayub Rashid

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 16 вер 2024
  • #darsalawiki

КОМЕНТАРІ • 23

  • @MariamHamisi-mc2cy
    @MariamHamisi-mc2cy 2 місяці тому +2

    Mashallah 👍 shehk mungu akulipe

  • @WardaNginga
    @WardaNginga 4 місяці тому +1

    Mhmh mie kila taraka anae nipa anaichana sijakupa.taraka apo inakuwaj

  • @abdulazizimbwana1586
    @abdulazizimbwana1586 7 місяців тому

    Mashaallah

  • @WardaNginga
    @WardaNginga 4 місяці тому

    Naomba ushaur wako baba yangu

  • @aminamaulid7371
    @aminamaulid7371 7 місяців тому

    Astaghfirullah basi wengi wetu ndio tunaolewa ilihali tuko kwenye ndoa😢😢😢

  • @user-rw2mm1jk6o
    @user-rw2mm1jk6o 28 днів тому

    Shekhe nisaidie kipindi cha bwana mtume talaka ilitolewa mbele yamashahidi wawili au?

  • @omarimhd7716
    @omarimhd7716 2 місяці тому

    Je kama mtu ameacha taka kaiandika nakusafir bila kumtamkia inakuwej shekh

  • @marwanbakhamis9298
    @marwanbakhamis9298 Місяць тому +1

    Shekhe. Umemaliza ikhtilaf quran ndio muongozo wa kwanza na. Allah anapoamrisha jambo kama hili Sirias hakuna kupindisha ,mashahidi wawili waadilifu ni wajibu allah hawez weka amri katika jambo hili kubwa alaf wengine waseme si lazma mashaidi allah anapotoa amri manake ni kutekelezwa si binadamu kuweka yake

  • @tumarey3894
    @tumarey3894 7 місяців тому

    Mm mumewang aliniambia nimekuacha, baadae akaniambia hajakusudia talaka ispokua kakusudia kaniacha nipige ayo makelele maan tulikua tukigombana, jee shekh vip

    • @mahamudaideed6922
      @mahamudaideed6922 6 місяців тому

      Elewa hakuna talaka bila mashahidi

    • @HarunSwai
      @HarunSwai  5 місяців тому

      Hakuna talaka

    • @HarunSwai
      @HarunSwai  5 місяців тому

      Assalam alaikum warahmatullah wabarakatuh
      Hiyo talaka haikuswihi na haijatoka kwa sababu haijatomiza masharti ya talaka.
      Kwa hivyo huyo bado ni mke wake na ndoa yao haijavunjika!

  • @user-vi9bh8oi9g
    @user-vi9bh8oi9g 6 місяців тому

    Assalamu allykum ustaz mimi nimemtaliki mke wangu lakini nilikuwa nimelewa naomba unisaidie kwa hili ...na talaka ilikuwa ya mwisho vipi hapa talaka imepita

    • @user-vi9bh8oi9g
      @user-vi9bh8oi9g 6 місяців тому

      Nimeitoa wakati nimelewa na Nina watoto watatu na bado tunapendana bado...naomba nisaidie ustaz

    • @HarunSwai
      @HarunSwai  6 місяців тому

      Waalaykum salaam hapo hakuna talaka

    • @user-vi9bh8oi9g
      @user-vi9bh8oi9g 5 місяців тому

      Je ukienda kwa mufti wakanambia imepita shehe inakuwaje hapa na mimi sikumuacha kwa akili yangu

    • @user-vi9bh8oi9g
      @user-vi9bh8oi9g 5 місяців тому

      Naomba hapa unielekeze nifanyeje nawakati kwa mufti wamenambia imepita naomba unielekeze hapa shehe wangu

  • @WardaNginga
    @WardaNginga 4 місяці тому

    Mhmh mie kila taraka anae nipa anaichana sijakupa.taraka apo inakuwaj

  • @WardaNginga
    @WardaNginga 4 місяці тому

    Mhmh mie kila taraka anae nipa anaichana sijakupa.taraka apo inakuwaj

  • @WardaNginga
    @WardaNginga 4 місяці тому

    Mhmh mie kila taraka anae nipa anaichana sijakupa.taraka apo inakuwaj

  • @WardaNginga
    @WardaNginga 4 місяці тому

    Mhmh mie kila taraka anae nipa anaichana sijakupa.taraka apo inakuwaj

    • @user-rw2mm1jk6o
      @user-rw2mm1jk6o 4 місяці тому

      Kulingana na mashekhe wanavyosema talaka sharti itamkwe na mume sio kuandika kwenye karatasi tu ndo talaka imeshatimia