TAARIFA RASMI YA MASHINDANO CHINI YA SHEIKH KISHKI, JE YAPO JE YATAFANYIKA WAPI? WANAONA NAPIGA PESA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025
  • Tufuatilie mitaondao ya kijamii;-
    Facebook: / mzeewakhidma
    Instagram: / khidma_tv
    Tiktok: / khidmatv1
    UA-cam: / @khidmaonlinetv350

КОМЕНТАРІ • 26

  • @ZuhuraHamisi-v2k
    @ZuhuraHamisi-v2k 23 дні тому +3

    Allah akupe afya njema shekhe kishki na akupe mwisho mwema na akuingize ktk pepo ya jannat fildausi🤲

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw 22 дні тому +2

    ALLAH akupe maisha malefu na Pepo ya filidas na akupe kitabu chako Kwa mkono wa kulia lnshaallah

  • @omarothman-bj2wf
    @omarothman-bj2wf 23 дні тому +6

    ALLAH akuhifadhi sheikh kishki,unafanya kazi kubwa

  • @rahmaally5128
    @rahmaally5128 19 днів тому

    Naaaaaaaam dats ma Sheikh 💪Masha Allah, tabaarakallah , hana longolong wala mbambamba kama ni njia bac ilonyook isiyo na vichochoro, big up sana Sheikh, hatuna shaka na ww tunakukubal sana

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 23 дні тому +4

    Allah akuhifadhi wew na sisi sote inshallah.

  • @KhalimaKhassani
    @KhalimaKhassani 14 днів тому

    Masha Allah Allah akuifadhi na kila shari shekhe wetu

  • @fatumamponela4098
    @fatumamponela4098 23 дні тому +1

    Namuomba Allah atufikishe tukiwa na siha na afya nzuri shekh Nurudin Kishki kwa hakika wenye kukuelewa unatupa burudani ya moyo Allah akutunzie mema yako ktk mizani ya hasanati

  • @HawaaNurdini
    @HawaaNurdini 23 дні тому +2

    Natanan niwepo namkubal sana sheikh kishk Allah akuhifadh wew na familia Yako nakupenda kwa ajil ya Allah

  • @JahedaSalmin
    @JahedaSalmin 21 день тому

    Mashaallha shekh wetu mungu akupe umli mrefu ❤❤

  • @ramlazubery1682
    @ramlazubery1682 22 дні тому

    ALLAH KARIM. awatangulie kwa kila JAMBO la KHEERY INSHAALLAH.

  • @صالحالاسماعيلي-غ3ب

    Shekh wetu hata ukipata pesA ni haki Yako shekh wetu mashaaAllah

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 23 дні тому +1

    Mash Allah tabarak Allah shelkh Allah akuhifadh in shaa Allah Amiin Amiin Amiin

  • @DadiMohammed
    @DadiMohammed 20 днів тому

    Waambie na hao watoa haki watoe haki wasisababishe matatizo lnsha Allah kheir

  • @AhmadRibaat
    @AhmadRibaat 23 дні тому +2

    Shekh hata ukichukua mungu atakusamehe unafnya mengi mazur, kwanza leo umenifurahosha sana kuunganosha waislaam

  • @SaleheNgoli
    @SaleheNgoli 23 дні тому +1

    Mash Allah

  • @SinaHafidhi
    @SinaHafidhi 23 дні тому +2

    Wapo wapiga pesa za dini
    Siyo wewe ALLAH akuhifadhi

  • @MASHIRAMADHAN
    @MASHIRAMADHAN 23 дні тому +2

    Sheikh Mti wa Matunda lazima upigwe mawe,hivyo mengi yatasemwa ila uyafanyayo ni makubwa Allaah akulipe na akulinde na shari zao

  • @Al.habeebAl.habaaib
    @Al.habeebAl.habaaib 21 день тому

    Wallah tunaokupenda sote hatuna dhana mbaya na wewe hata moja
    Wanye dhana mbaya na wewe ni wale wenye kisokolokwinyo

  • @AsiaAsi-s3u
    @AsiaAsi-s3u 13 днів тому

    Wanachoyo hao ,Allah atuongoze

  • @halimahussein6792
    @halimahussein6792 23 дні тому +2

    Hakuna kurudi nyuma, wanataka kukuvunja Moyo. Pambana Kwa ajili ya Allah

    • @DjumaAsha
      @DjumaAsha 23 дні тому

      Hawana ujanja wakumkata nguvu huyo kishateuliwa na Allah
      Allah amtangulie

  • @MteleShadia-lc6gi
    @MteleShadia-lc6gi 23 дні тому +2

    Unajuwa shekh wetu nuridn kishk waislam wajinga wnakuonea wivu we fanya kwa ajili ya Allah hao ,mashetan ambao hawapend Kaz kubwa unayoifanya Allah awalan kabsaaa,,

  • @Kekulebenzene
    @Kekulebenzene 23 дні тому +1

    Hata kama wanakuzushia sio vizuri kuapa hivyo; kwamba motoni milele

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 22 дні тому

    mahizbi mmeovuruga dini mno!!hivi hayo mashindano ya qur'an yana faida gani?kuwaweka mabinti wazi hadharani na kusikilizisha watu ajinabi sauti zao??

  • @mafiatv5479
    @mafiatv5479 22 дні тому

    Visokorokinyo hivyo, kwani hata ukipata hiyo pesa ni haramu? Wafanya kazi, na wao pia waupige mwingi