Dah, mkuu wa mkoa amefeli sana hasira ubabe leo umemtawala huwezi kuongiza dar kwa sampuli kama hio me naona ameshafeli tayari. Mkuu hutakiwi kutumia nguvu nyiingi sana utashindwa.
Huyu mkuu wa Mkoa wa ajabu sana na hajui shida wanazopata wafanya biashara.. Yeye analipwa mishahara tena kwa kodi za wafanyabiashara, Sasa badala akasuluhishe tena kwa tena kwa hekima, Yeye anakwenda tisha watu..Huyu hafai kuwa hata kiongozi wa familia.. Sasa anapewaje nafasi kubwa kama hii ? Hii ni aibu kwa hili taifa..
Hivi unahisi hao wafanyabiashara ni matahira wanagoma tu, Kuna watu hapo Wana elimu kuliko chalamila na wanapesa kuliko chalamila wanavitu vya msingi wanavyoviongelea
Wee nae akili huna acha kumfananisha maguful na vitu vya hovyo magu alikuwa mbabe kwa mafisad huyo kiongozi wako wa hovyo chalamila analeta ubabe kwa wananch plus uchawa wa kijinga hamna kiongozi hapo alafu huwo utumbo ufananishe na magu utakuwa chiz
huyu chalamila awe makini sana muogope sana mtu anayekujibu kwa hoja tena bila uoga maana hujui ana kinga gani atakuja kupotezwa kizembe kisa kupigania ujinga wa serikali
Dah, mkuu wa mkoa amefeli sana hasira ubabe leo umemtawala huwezi kuongiza dar kwa sampuli kama hio me naona ameshafeli tayari. Mkuu hutakiwi kutumia nguvu nyiingi sana utashindwa.
Uyu mwamba bilashaka ni MKENYA 🔥🔥🔥🤜🤛
Uongozi kazi, Mungu atusadie
Alitakiwa kujibu hoja wamachinga wanalipa kodi? Sasa analeta ubabe
ni vizuri sana alichofanya huyo mfanyabiashara umtii kwani yeye Mungu kama kazi kaishindwa astaafu
Wewe unatutisha bwana
Huyu mkuu wa mkoa 0 kbc kwani machinga ndo wanalipa kodi sasa anaongea na machinga au anatakiwa aongee na wenye wenye maduka
Watanzania amukeni sio kila siku ndio haiwezekani ubabe sio
Wenye D mbili tumeshaelewa mwenye akili nan 😀😀
Watanzania nafurahi saizi mmeanza kupata akili no fear in the street
Kumbe Wamachinga hawalipi kodi? Kwanini Magufuli alikuwa anawatetea wasiolipa kodi?
Ndio maana alitaka wachangie 20k kwa mwaka wakiwa wengi atapata maokoto kuliko kuwaacha tu wawe huru
Kichwa cha mwenda wazimu
Huyu mkuu wa Mkoa wa ajabu sana na hajui shida wanazopata wafanya biashara.. Yeye analipwa mishahara tena kwa kodi za wafanyabiashara, Sasa badala akasuluhishe tena kwa tena kwa hekima, Yeye anakwenda tisha watu..Huyu hafai kuwa hata kiongozi wa familia.. Sasa anapewaje nafasi kubwa kama hii ? Hii ni aibu kwa hili taifa..
CCM ni janga kubwa sana la kitaifa
HOJA KWA HOJA KWANI MWANASIHASA HUYOOO…KAMA MKUU WA MKOA KAMA HUNA SOLUTION USIENDE KUJIONYESHA SURA HUKO SABABU HUSAIDIII KITU.
Daah! Ivi si ndo uyu alisema ameacha ubabe!!😂😂😂😂
Mtu kitu chake alafu una mtisha nchi ngumu hii😅😅😅
Uyu jamaaa kwa mbaaal naona ana umagu fran iv sema tu hana cheo kikubwa bila ivyoo angewanyoosha sana uyu apend upumbavu chalamila 👏👏safi sana
anyooshe kwa upuuzi unamlazimisha vp mtu kufanya jambo are you crayz
Hivi unahisi hao wafanyabiashara ni matahira wanagoma tu, Kuna watu hapo Wana elimu kuliko chalamila na wanapesa kuliko chalamila wanavitu vya msingi wanavyoviongelea
Wee nae akili huna acha kumfananisha maguful na vitu vya hovyo magu alikuwa mbabe kwa mafisad huyo kiongozi wako wa hovyo chalamila analeta ubabe kwa wananch plus uchawa wa kijinga hamna kiongozi hapo alafu huwo utumbo ufananishe na magu utakuwa chiz
Ila Mimi napenda na ningepewa kushauri ningeshauri. Kuna jambo hapa linapashwa tizamwa vyema. Haya wacha tuone
Kwani alifunga biashara kisa hapakuwa na ulinzi au kulikuwa na mahitaji mengne???
Tatua kero zao sio kutishia acha UJINGA
Huyu wampeleke Cheka tu, hatumuelewi
😂😂😂😂 Tanzania
Hapo munataka awe na uoga wa nn? Machawa wa ccm
Ubabe wa nini chalamila
Acha kuwatisha wasikilize kero zao bwana.
Kitailewela tuu, vifua vya waru vinawaka moto,
Kuna baadhi ya wafanyabiashara wataregeza hapo kwa kuwapa mizigo hao wamachinga😢
Wangekua wanangu wa Kenya hapa tungeelewana mapema tuuu!!!! Lakini wabongo twaogopa kupoteza Bahasha ya Vitafunio na Viroba vya Mchele kutoka CCM
nakwambia wakenya hawapindishwi kiivii ivii...
Chalamila anatishia watu
Sasa uoga wa nn da! Bongo bado sana😂😂
huyu chalamila awe makini sana muogope sana mtu anayekujibu kwa hoja tena bila uoga maana hujui ana kinga gani atakuja kupotezwa kizembe kisa kupigania ujinga wa serikali
kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo ila roma alafu mnataka viongozi kama awa ndio mjekua na maendeleo kama uraya 😁😁 hee me nachekaga tu
Sasa amuoge kwa lipi ?
Divide and rule
Uyu ajakuja kusuluisha uyu amekuja kupiga kelele
Huyu hakuna siku amewahi ongea point..
Safi sana
😂😂😂hata cjui nacheka nn
Unakosaje kujuwa unacheka nn !?? 😂😂😂😂😂
Tumeanza kujitambua sasa
ukimlima na wewe utapandwa
😂😂😂😂😂 aise bongo sihami ni furaha tu eti ukimlima na wewe utapandwa