Mfanyabiashara aliyeombwa rushwa na watumishi wa Serikali huyu hapa
Вставка
- Опубліковано 28 вер 2024
- Baada ya Rais John Magufuli kukutana na wafanyabiashara na kisha mmoja wa wafanyabiashara hao kuelezea kadhi aliyopitia ya kuombwa rushwa na maafisa wa taasisi za serikali ikiwemo jeshi la polisi na Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) tumemtafuta ili kufahamu mengi zaidi.
Ungana na Jamal Hashim akiwa na mfanyabiashara huyo Ramadhan Hamis.
mungu akulinde mfanyabiashara kaka usiogope yupo Allah mjuzi wa yote Inshallah atakusaidia kwa ulinzi mkubwa jeshi la malaika wema wakuzunguke wewe na familia yako na mali yako. amin mtegemee sana. soma dua jikinge na dua jizinguwe na dua. Nimeamini mungu hamtupi mja wake. haki ya mtu haipotei kamwe. Hongera Sana
Huyu kaka anaongea pointi tupu agandi gandi inamaanisha kwamba ajatunga safi kaka MW/Mungu atakulipa
Huyu mzee hii stori hajatunga bali imemtokea hongera kwake PM kuweza kumsikiliza na kuibua mambo yake
Safii sanaa magu oyeeeee
Watu wa marori na mabasi njiani ndousipime, hii tanzania haitapata maendeleo inalaana, na hakuna wasomi kuna wababaishaji tu, bora ungekua raia wa kenya au uganda, kuna uwelewa kwa watumishi tofauti na huku,
Sana habari na watanzania kwa ujumla tupaze sauti mpaka huyu mzee apate haki yake
BABA UPO VIZURI SANA USITOE RUSHWA BABA HAKI YA MWENYE HAKI HATA SIKU MOJA HUWA HAIPOTEI HATA SIKU MOJA, MUNGU BABA YUPO JUU YA NCHI YA NA TANZANIA NI TAIFA BABA, ITAFIKA TU MAHALI WALA RUSHWA WATANYONGWA TUUU!
Rais vunja TRA yoote mamlaka hyo uwape watu wengine kama ulivofanya CDA Dodoma.TRA kama una roho nyepesi unaweza piga risasi wote na familiza zao police na TRA wana chain yao ya kuonea watu
FISADI LOWASSA ANGEKUWA RAISI HIZI NDIZO ZINGEKUWA HABARI ZA KILA SIKU NCHINI!!! JPM JUU MAWINGUNI SIKU ZOTE.
hmm
Mambo hayo yangezidi Mara mia aisee!!
@@salummuhija4435 kiaje!?
Bado hajapelekwa mahakama ya Mafisadi ??😀😀😀
@@lucky9285 kwan angekuwa na hatia wangeshindwa?!
DHULMA HAIDUMU NA IKIDUMU INA ANGAMIZA,HAKI HAIZAMI AKHY
Hujui kutangaza mtazaji
Too bad mpaka leo hii bado hajapewa haki yake
Wadau nakumbuka wakati nasoma sec pale mtaani kulikuwa na patrol ya polisi inaanza saa 5, kuna jamaa alikamatwa uzululaji mwisho alipelekwa mahakamn akafungwa 2years
Intro yako mtangazi ndefu mno Kama njia
Pole
Mtangazaji nahisi Kuna mtu unamuiga lkn Bora utumie sauti yako binafsi
Mtangazaji nenda shule huna viwango fyuuu
Brother k
Aaaah
peter mim kweli wanafanana na brother K
Vp
Imana izogufasha birababaje p!
Huyu mzee ana kumbukumbu ni noma!
kama una tukio lililokutokea na kukugusa kwa nyanja zote kwa 1/nyingine sijui unaanzaje kusahau!
Safii sanaa magu oyeeeee
Brother K huyo
Dah!waizi wakubwa! that's why mnyazi mungu akatupa My President!Mungu akubariki Mueshimiwa na serikali yako
Wewe baba akili ulizo nazo lait ungesoma ungefaa kua Rais wa Nchi....ila pia namshukuru sana Rais wetu kipenz mtetez wa hak za wanyonge Dk.JPM uendelee kuitawala Nchi hadi mwisho wa maisha yako uwe Mfalme kama malehem Qaboos wa Oman yaan utadhan mlizaliwa tumbo 1 roho zenu za huruma na upendo kwa wananchi wenu
yan ukwel usio pingika kua rahis wetu ni rais wa kipekee kabisaaa rais ambae hana upendeleo kabisaaa
mimi natka kumuelewa lkn ukisema, "..hana upendeleo.." yatia ukakasi kdg kuzingatia :-
> bungeni kuna wabunge wajinga ambao achilia mbali sikujui na hatujuani lkn uhakika twaweza kuwa wabunge wazuri zaidi yao.
> kupoteza muda na kushughulikia upinzani ambao cna hakika kama awatakia mema kwn na wao ni hitaji la kuka nao chini tu kuona wanatatua vp mttzo ya nchi.
> maamuzi na kuropokwa pasipo na sbb
na hapo nimenyamazia ya m/mkoa tumjuaye kuwa na maneno ya kejeli siyo kwa walio wadogo zake bali hata wakubwa zake kwa umri kila akipatiwa kipaza sauti/ nafasi ya kuchngia kwa mawzo popote juu ya lolote.
ana mambo mengi sana ya kujifunza/kuchukuwa/kuwaiga waliyomtangulia, igawa hakuna shaka kuwa hili/haya ayafnyayo kuwa yanaonesha kuwa na nia njema llkn bdo haiyoshi kama bdo watu hawauoni mwangaza kuona mattzo/njaa ya(i)taisha leo/ksho/hivi karibuni kutokana na namna ya maamuzi yafnywayo.
uadilifu wa TRA ni tatizo watu wanamlaumu rais wakati watendaji ndo tatzo kubwa
Majanga haya ni mengi sana hapa nchini fikirieni huyu ni ambae alikua jasiri jee wengine waoga na ambao polisi waovu wanatumia maguvu yao inakuaje , sasa hao polisi na maofisa wa TRA wa namna hiii wanaatakiwa wauwawe kikatili ili iwe fundisho kwa majambazi wengine
HII NCHI NI BORA TU TUNGERUDI KWENYE UKOLONI.. NI BORA TUTAWALIWE NA WAKOLONI KWA MIAKA 100 IJAYO HALAFU NDIYO TUJE KUWA HURU..
Hawa tra wanamatatizo makubwa sana kwn ww ndio watendaji wkuu wajuuzaidi ambao wakidnya madudu bx serkali haito kuwa namapato wajitathumin upya kbisa kabisa mtu unaajiriw afu unakaa ofsin unafnya mambo yakihun aseeh sheria zakunyongwa zinahusika TZ hpa ili eshima iwepo kama chna na arbun
Majambazi yanayolipwa na Serikali yana mbinu nyingi sana na hivisasa wapo madarasani kubuni mbinu mpya ya kuwadhurumu Watanzania wenzao, hawana uoga huruma wala aibu, wanaweza kufanya mambo ilikwamba wakaonekana wanafanya kazi nzuri sana kwa taifa lao tumbe pembeni wanafanya unyamaushetani mbaya sana wakuwahujumu wananchi wenzao na hassa serikaliyao inayo wafadhiri maana mfadhiri ni serikali, wanaiharibia şifa serikali inayo wadhamini na capo kila kona wamejaa na eti yatu wamewazowea ni kama MWEWE NA KUKU.Tanzania Hoyeeeeeee!!!!!!
Vijana waufipa mabavicha watakuja nahoja kuwa uyo jamaa alipangwa naserikali ili aipe kiki serikali. Walivo naakili zakinyumbu na zakimsukule. Watapinga naili.
Yaani mwananchi tz akimuona police huwa hana amani, Mimi naona kuna umuhimu wa hichi kitengo kujiangalia upya
TRA officers mutamuona mzee Magu
Duuu awa jamaa wa TRA siooo aiseee wana roho mbaya sn
Huyu afisa wa TRA aliyeshirikiana na askari bado tu mpka leo yuko kazini ?
Mtangazaji nenda Tena shule maana utangazaji wako ni mbovu sana
MUNGU ATAKULINDA HATA USIOGOPE
Kisasi cha TRA kitamfikia pale tu awamu ya mh Magufuli itapoisha. Naomba msave hii comments yangu Kwa reference zenu miaka 7 ijayo
Hawatokuwepo hao watatumbuliwa watakuepo wengine.
Nyooka nao tra wasumbufu sana usiwaache
Duu imeshatokea tayari
pole sana kk.haki ya mtu haipotei
Mtangazaji u gotta be well prepared kabla ya kipindi,, get your facts/data correct ( Wafanyabiashara elfu kumi pale Ikulu,,,, Seriously Bro!!?). Your intro took almost 4 minutes na Mgeni uliyemualika keep on waiting na hizo blah blah zako. Watanzania tubadilike,,, na nyie Watu Mnaojiita Professional journalists you gotta lead the way by being real Professionals maana talalila na Mbwembwe tuwaachie wacheza Vigodoro. Kwa kweli niliishia dakika ya 3.23 couldn't stomach the blah blah blah intro anymore.
Hapo mtangazaji Jamal Hashim kwa habari ya kwamba Mh Raisi JPM alikutana na Wafanyabiashara elf 10 Ikuru!! amejichanganya tumsamehe tu ila kama ni muungwana atuombe radhi,, maana kwa idadi hiyo ya watu kwa ukumbi upi pale Ikuru?
Hii story itapita na watu
TRA are damn cockroach
Mtangazaji punguza introduction iwe fupi kidogo
Tukumbuke na tufahamu kuwa Mungu yupo mwanadamu hatoliweza
Hongera na pole lakini wangemlipa na ctn ya cctv, pamoja na ctn3 ila nakushauri ramadhan usiuze rasta ni haramu huenda ALLAH anakupa mitihan ili uache aliyoyakataza
Hii ndio Tanzania mpya..wote tukiwa na ujasiri huu tutakomesha rushwa, tutatokemeza viongozi wa wabovu..Magufuli EMPOWERS EVERYONE ..WE FINALLY REGAIN OUR VOICE, OUR AUTONOMY..THESE ARE RIGHTS WE NEED THE OPPOSITION ESP.. ZITTO AND MBOWE TO POINT OUT..WE CAN NOT HAVE INVESTORS IN A CORRUPT ENVIRONMENT..MAGUFULICATION OF AFRICA 💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿😍
Hii rushwa itakwisha lini jamani, kwanini watumishi hawana hofu ya Mungu. Naomba haki itendeke Rais wangu ni mwaminifu naamini ataingilia kati, Mungu ibariki Tanzania!
MFUMO. Wa. Nchi. BADO. Ni. Wa. RUSHWA. Haki. MpKa. Uonane. NA. Raise..
Walipaswa wanyongwe hao askari na TRA ambao si waaaminifu wamemzuia miaka mitatu wauwawe tuu
Baba mzee magu watu ambao hawaendi na spidii yako wafukuze ma mmbwa hawa badala wa kusaidie mh.Rais wenyewe wanakudidimiza
Huyo mzee kichwa kwel kwel maneno yke hayajabadilika yapo vile vile baba haki yko ipo wazi na utaipata
Pole sana jmn, sasa mzigo umekaa TRA miaka 3 yote jmn, duhhh hawa majamaa wa TRA cyo kabisa lkn alosababisha ni askari wanaopenda rushwa kama nini, yaan police ana kula rushwa.... Mungu atawalaani tu kwa kitendo cha kumtesa huyu mfanyabiashara ....
watekeleze agizo la raisi kwann wanamzungusha tena
🙏🏼💞😍Nimekupenda bure baba kipenzi😘💖🙏🏼
Sasa vp huyu mzee kaisha pata haki yake maana hatuja pata update
Wampe haki yake wamemrudisha nyuma kimaendeleo
Huyu ndie awe kamishina mkuu wa TRA
Rais wetu hoyeeee
Tanzanian akuna wahandishi wa habari
nilicho ona viongozi wengi wakati ndio wanawaangusha viongozi wa kubwa. hawafanyi kazi zao kwa ufasaha mpka raic au waziri mkuu awakumbushe
Wafanya. Kazi wa serikali aceni ku omba rushwa. Mufanya byashara. Atoke. Kagera. Kwenda. Dar saalaam. Ngara kahama nzega dodoma morogoro. Popoteutowe rushwa. Mudidumbulke. Tuweke. Rushwa. Mbere. Ama. Turipe. Ushuru. Lakini. Rushwa. Ni. Haramu. Awo watu wznayoomba rushwa. Wana mushahara
Pole pot
Kwa wote waliohusika mmedhalilisha sana professional zenu ............. Maadili ya kazi umeyasahau kabisa sasa mmejipa matatizo yatakayowagharimu maisha ......hili ni funzo vijana tujifunze tuache kutamani mafanikio ya siku moja
Wakipata ajira wanaona ndio fimbo za kuwachapia wanyonge wamezidi tra wakorofi sana
Polisi wasenge njaa tupu kwa nn mnapenda lushwa wakati mnajua lushwa adui wa haki hivi hamjui kazi yenu jamani
Bhulaza K Pole. Ushauri wangu ni mdogo tu. WAKULIPE mara mbili ya kile ulichosema. Maana hata tathmini ya kukulipa wameshindwa kufanya.
Kaka Rama Allah atakulinda. Hawa ni wanadamu tu kwa Allah penye haki hapotei kitu.
Hapo sioni kama utalipwa coz maelezo hayaoneshi ni nani haswa anatakiwa kuwajibika
Duuuu! Waliiba tena?
Mungu ni mwema wakati wote maana humtetea mwenye haki,zaidi niseme kwamba kuna idara zingekuwa Na uadilifu kazini bac Tz tungekuwa mbali na idara hizo ni Police Tanzania na TRA.
Sio elfu kumi bana piga hesabu yako vzr
Kesi hii ipo mahakamani, ni vema tusiiongee kwenye vyombo vya habari. Mh Raisi pia ameshalitolea maamuzi mazuri jambo hili.
Wewe utakuwa TRA,
kwani we unakerwa nini watu kupewa taarifa hata kama Rais katoa maamuzi ubwege tu, unazani mazuri aliyofanyiwa mtu na mali yake. pumbavu zako. Mali inauma sana wehuna hela wala biashara
baden bensoni Yani utakuwa tra mbwa wewe
HUYO mla rushwa baden HUWEZ penda POMBE kama HUNYWI
Ndo ishafika mitandaoni na pia imeshatapakaaa kila kona kama maji ndo yameshamwagika
Kesi hii ipo mahakamani, ni vema tusiiongee kwenye vyombo vya habari. Mh Raisi pia ameshalitolea maamuzi mazuri jambo hili.
wevipi? mbona inakuuma? au na wewe ndowalewale
acha uongo tupe kesi namba