Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Hadithi za kale ni nzuri
Nimeipenda hii. Tuletee na nyingine kuhusu "SHAOLIN"
daasssßsh
Shunkn sanaa HMG, Hii ni Bonge la movie anae taka kuiyona hii movie tunayo simuliwa inaitwa The white skenk kacheza jet lee
Da! imeshaonyeshwa kwenye TV nzuri na Kali kinoma
Duh! Hadi movie za jet lee zimo duh! Hii Kali sana yani
I love AFRICA too
Ni muvi lakini ni historia ya kweli kabisa,
sijuy Kama kwl ni history
Watanzania muwe waelewa kila moove tunazo ziona ni hadithi za kweli maisha ya watu walio ishi kabla yetu
nikweli
majini ya kibongo likikupenda mwezi mmoja tu linataka likunywe damu yako
True love never die
Atareee sana NI uwezo mkubwa sana uliojificha HMG
hahaha ni muv bhana
hahaha,kaka hiyo ni move ya jet lee na inaitwa THE SORCERER AND THE WHITE SNAKE
Ni movie ambayo ni kitu cha kweli kilichotokea. Kwani movie nyingine huwa ni matukio ya kweli katika jamii
maza gura ye baba umepatia
basi kama we unajua ni ya jet lee ameitungia movie ilA ni hadithi iliokuepo huko china miaka mingi
Au jina lengine inaitwa its love
TECHNICAL TANZANIA kwaiyo akusaidieje Kama ni move
It's Lov...
the socer
Movie ya jet lee hii
Wenzetu huamisha masimulizi yao kwenye vitabu vyao vya kale na kuzitengenezea movie
Hii mbn ni movie mkuu
Nahisi nimeshawahi kukiona hiki kisa kweny movie
Andaeni yenu nanyi hiyo movie asimulie Kama movie inahusu acheni bhna habari za kunishushia hadhi ya HMG
Nakufatilia sana napenda uandaavyo kipindi hauna group la whatsapp
hivi hii chanel ilipotelea wapi.?
yeah its jet lee movie lakn ni true historical story iliyotokea china long tym.
Nimekupata bro OK ila PITIA HAPA KUONA UBUNIFU WA MAPAMBO YA NDANI ili kuni sapoti bofya kapicha kushoto
@@NIANIMAARIFA sawa
huu ndio mtandao ukitaka kuangalia video roborobo kuangali basi amia airtel ukitaka kuangalia video mwanzo mwisho amia tigo halotel airtel mb zipo ila majanga ukiwa na asira unaivunja sim waziri wa mawasiliano yupo
nager moves au 😂😂😂iko pw store
Mbavu zangu jamani 😁😁😁😁😁unavyotamka ayo majina Sasa 😆😆😆
Sasa mbona hii muvi mi nanayo ivi niyakweri hau huongo huu
Uongo
Hadithi za kale ni nzuri
Nimeipenda hii. Tuletee na nyingine kuhusu "SHAOLIN"
daasssßsh
Shunkn sanaa HMG, Hii ni Bonge la movie anae taka kuiyona hii movie tunayo simuliwa inaitwa The white skenk kacheza jet lee
Da! imeshaonyeshwa kwenye TV nzuri na Kali kinoma
Duh! Hadi movie za jet lee zimo duh! Hii Kali sana yani
I love AFRICA too
Ni muvi lakini ni historia ya kweli kabisa,
sijuy Kama kwl ni history
Watanzania muwe waelewa kila moove tunazo ziona ni hadithi za kweli maisha ya watu walio ishi kabla yetu
nikweli
majini ya kibongo likikupenda mwezi mmoja tu linataka likunywe damu yako
True love never die
Atareee sana NI uwezo mkubwa sana uliojificha HMG
hahaha ni muv bhana
hahaha,kaka hiyo ni move ya jet lee na inaitwa THE SORCERER AND THE WHITE SNAKE
Ni movie ambayo ni kitu cha kweli kilichotokea. Kwani movie nyingine huwa ni matukio ya kweli katika jamii
maza gura ye baba umepatia
basi kama we unajua ni ya jet lee ameitungia movie ilA ni hadithi iliokuepo huko china miaka mingi
Au jina lengine inaitwa its love
TECHNICAL TANZANIA kwaiyo akusaidieje Kama ni move
It's Lov...
the socer
Movie ya jet lee hii
Wenzetu huamisha masimulizi yao kwenye vitabu vyao vya kale na kuzitengenezea movie
Hii mbn ni movie mkuu
Nahisi nimeshawahi kukiona hiki kisa kweny movie
Andaeni yenu nanyi hiyo movie asimulie Kama movie inahusu acheni bhna habari za kunishushia hadhi ya HMG
Nakufatilia sana napenda uandaavyo kipindi hauna group la whatsapp
hivi hii chanel ilipotelea wapi.?
yeah its jet lee movie lakn ni true historical story iliyotokea china long tym.
Nimekupata bro OK ila PITIA HAPA KUONA UBUNIFU WA MAPAMBO YA NDANI ili kuni sapoti bofya kapicha kushoto
@@NIANIMAARIFA sawa
huu ndio mtandao ukitaka kuangalia video roborobo kuangali basi amia airtel ukitaka kuangalia video mwanzo mwisho amia tigo halotel airtel mb zipo ila majanga ukiwa na asira unaivunja sim waziri wa mawasiliano yupo
nager moves au 😂😂😂iko pw store
Mbavu zangu jamani 😁😁😁😁😁unavyotamka ayo majina Sasa 😆😆😆
Sasa mbona hii muvi mi nanayo ivi niyakweri hau huongo huu
Uongo