ASKOFU DANIEL MTOTO WA MOSES KULOLA/WALIMTEMBEZA MZEE KULOLA UCHI GEREZANI/JINI LILINIFATA LIVE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 71

  • @Boaz22
    @Boaz22 Рік тому +10

    Mzee kulola alikuja kijijini kwetu mwika kwenye huduma ya mikaeli na watoto kanisani kwetu,akatoa million 2 kuchangia jengo letu la sunday school, enzi hizo million 2 ilikua kubwa mno,nikama million 10 ya saa hivi.. ilikua mwaka 1998,nilikua mdogo ila namkumbuka sana, Mungu ailaze Roho yake mshali pema peponi.

  • @annijulius4953
    @annijulius4953 Рік тому +3

    Injili ya mzee kulola ilikuwa ni Moto, Tutaikumbuka daima.

  • @MAFUNDISHO1
    @MAFUNDISHO1 Рік тому

    Ushuhuda mgumu ! Umenikumbusha mbali! Itoshe tu kusema Mungu akubariki

  • @StewartUkason
    @StewartUkason 7 місяців тому

    Ni moyo wa aina yake. Ni Moyo wa Kristo uliokuwemo ndani Yake.

  • @Gigi_4823
    @Gigi_4823 Рік тому +1

    Came across this channel and saw this interview reminded me alot of babu Askofu Moses Kulola nimefurahi sana most of the things mtumishi is talking about are very true I was very young but old enough to know this is my family ,best interview I've seen from tanzania media congrats Davistar

  • @marrypius576
    @marrypius576 Рік тому

    Asee namkumbuk sas askof kulola mwanzilishi wa kanisa la EAGT mlinisaidia san niliwajua toka mwaka 2005 nikiwa la sita na nilipona kichwa kupitia moja ya makanisa yake. Pia nakukumbuka san Daniel pamoja na mike kulola mlikuw mnakuja sana kuhubiri kweny kanisa nililokuw nikosali miaka hiy Mungu awabariki san jaman yan sijui nisemeje ila Mungu awe nanyi kila siku za maisha yenu

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Рік тому +7

    Hata mimi wakati wa udogo wangu nilijua kuwa wokovu ni watu waliochanganikiwa

  • @mysskibe
    @mysskibe Рік тому +5

    Looking good for 59! God bless 🙏🏾

  • @florencebochere1729
    @florencebochere1729 Рік тому +4

    That's why I like this channel,kazi nzuri Mr fact👏🔥🔥🔥🔥🔥💯

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Рік тому

    Mbeya tunamfahamu vizur xana Daniel kulola kweli nimeamini mtoto wa Simba Ni simba 🔥🔥🔥

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Рік тому

    Nimefurahi sn Kukuona tena Mutumishi Daniel! Nilikuwa nikijiuliza uko wapi? Niliokoka kupitia huduma ya Mzee Kulola, Arusha! Mungu Akubariki sn.

  • @ivanpeter4945
    @ivanpeter4945 Рік тому +1

    Daah huyu mwamba.. nina mkubali sana.. Daniel Moses kulola

  • @ruthjohn4317
    @ruthjohn4317 Рік тому

    Jamn Mchungaj Daniel eeh amekuwa ASKOFU jamn nimefurah san kumuona...UBARIKIWE SANA Baba 🙏🙏🙏 ❤❤❤

  • @work24onme
    @work24onme Рік тому

    Holy Spirit Forever, 🙏🏼 ❤️
    Asante sana Davistar Mata Media 🙏🏼 milele daima. Nimejifunza na bado najifunza na nimefunguka na mengi!
    KAZI TAKATIFU MNAYO IFANYA 💯 🙏🏼

    • @venancemgani2041
      @venancemgani2041 Рік тому

      Kwa nini, lewo watoto wa viongozi hawaja pewa cha babao ila waombe wapewe chao

  • @mosesjohnswilla9926
    @mosesjohnswilla9926 Рік тому +1

    Kaka Daniel Kulola nakuelewa sana. Mungu akubariki

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 Рік тому

    NAMSHUKURU MUNGU KWA MARA
    YA MWISHO KUMUONA ASK KULOLA ALIMTAMBULISHA
    AKAHUBIRI BIAFRA DAR, MUNGU
    AMBARIKI.

  • @nabiimuimbaji
    @nabiimuimbaji Рік тому +3

    Asnt sn kaka davister kumleta huyu muheshimiwa

  • @eliyaerick5182
    @eliyaerick5182 Рік тому +3

    Moses 🙌🙌🙌apewe tuzo yake

  • @navokisembo
    @navokisembo Рік тому +2

    Ameeen bwana Yesu asifiwe mtumishi

  • @user-jx1pe9hc1f
    @user-jx1pe9hc1f Рік тому +1

    Alinisaidia kujazwa kwa Roho Mtakatifu ndani yangu pale Kanisani Mnazi mmoja

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Рік тому +4

    Kweli kabisa nakumbuka miaka 1983 hadi watoto darasani walikuwa wanaupako wa Moses korola unapenda nikuambia !!! Na walikuwa pure walokole sio hawa wa leo

    • @naomicharles5444
      @naomicharles5444 Рік тому

      Nisimulie napenda

    • @israelisponsor8755
      @israelisponsor8755 Рік тому +1

      Umenifurahisha hiyo kauli ya " unapenda nikwambie!!" Alikuwa anaitumia basi niliipenda mno yani

  • @richardmoses7470
    @richardmoses7470 Рік тому +2

    Kuna moses kulola mmoja tu, huyu ndo alikuwa EAGT, Mungu atusaidie

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 Рік тому

    Naikumbuka injiri yako bukoba nyamukazi kwa mchungaji wini barikiwa Sana

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Рік тому +1

    Asante kwa ku2lete hii nyingine

  • @essaumpuma2981
    @essaumpuma2981 Рік тому

    Historian nzuri waweza kutana na wandishi mkaandika kitabu

  • @AnastaziaJohn-qp3rr
    @AnastaziaJohn-qp3rr Рік тому

    Barikiwa mtumish nakumbuka ulikiwa unakuja morogoro Kwa mchungaji peter denis eagt ,nikiwa mdogo nilienda huduma Yako ubarikiwe San nimekumbuka mbali nilivoon interview hii

  • @patrickmaina5459
    @patrickmaina5459 Рік тому +2

    Wamayo akae kando kwanza 😂😂😂😂

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Рік тому +3

    Jamn mtu km Mzee Mses Taji yake inang'aaa mbinguni

  • @najalinanyambo3971
    @najalinanyambo3971 Рік тому +1

    Asante nimefurahi leo

  • @BrunosMjuti
    @BrunosMjuti Рік тому

    Ubarikiwe sana, ninaswali vp kuhusu Michael yule wa butimba mbona na yeye tunasikia ni mtoto wa mzee kulola na wengi Wana amini ivyo ,lakini kwenye listi ya wa toto Alali wa mzee kulola ulio wataja sijamsikia hata huduma yake , je yeye c mtoto wa mzee kulola ? Au ni ninani katika familia? Samahani mtumishi wa Mungu, tufahamishe tu tujue

    • @agliventures
      @agliventures 11 місяців тому

      Michael ni mjukuu wa Kulola mtoto wa William Kulola.

  • @12LEOSAFARI-zm3ji
    @12LEOSAFARI-zm3ji 11 місяців тому

    Watoto wa mzee Eli.

  • @igurusitv6553
    @igurusitv6553 Рік тому +1

    Mzee mwakisyala ailfariki 😢😢😢 ilongo

  • @ayoubmwangonji2357
    @ayoubmwangonji2357 Рік тому +1

    Wa 10😁😁😁🔥

  • @florences8087
    @florences8087 Рік тому +3

    I remember Moses Kulola

  • @lucyswahibu6503
    @lucyswahibu6503 Рік тому +1

    Kitambo sn nishawahi kusali hapo kabisan kwako baba nakujua sn

  • @EliaMwamengo-uu6ky
    @EliaMwamengo-uu6ky Рік тому +1

    Mungu mkubwa m2mishi barikiwe

  • @janeongala6684
    @janeongala6684 Рік тому +3

    Safi mchungaji nimebarikiwa na story yako

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen Рік тому +1

    Nimekua wa mwisho 😢😢

  • @flm1530
    @flm1530 Рік тому +2

    Ameen dávister

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Рік тому +1

    Ni mtoto wake kabisaa mpaka uwaraza kalithi kama mimi nilivyo lithi uwaraza wa Baba

  • @hurumajosephat6333
    @hurumajosephat6333 Рік тому +1

    Moses kulola namkumbuka aliniombea uwanja wa Furahisha nilikuwa na tatizo la kutokula nyama likaisha

  • @farajimtengela8500
    @farajimtengela8500 Рік тому +2

    Tuleteeni Part 2 jamani.

  • @josephkavindi3666
    @josephkavindi3666 Рік тому +1

    Hapo station mwanza panaitwa TAFIKO

  • @rerisamba
    @rerisamba Рік тому +4

    Huyo alikua ni jasusi kutoka mbinguni kweli anapewa pesa anaipeana na kwake kuna shida waa

  • @cyantess8423
    @cyantess8423 Рік тому +1

    thank you davistar i cant wait to watch hadi mwisho🙏🏾

  • @jesusislord9190
    @jesusislord9190 Рік тому +1

    Davista mbona ile story ya yule jamaa hujaimalizia??

  • @hawasaid5286
    @hawasaid5286 Рік тому

    nilisoma na Rachel. she was a singer

  • @brunopeter9776
    @brunopeter9776 Рік тому +2

    Nasema hivi mchungaji uliona jini😆😆

  • @dullahzebuffa
    @dullahzebuffa Рік тому +1

    Safi sana

  • @tututz100
    @tututz100 Рік тому +1

    J.boys 1999

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Рік тому +1

    Vyombo vya music ilikuwa ngumu kupata mpaka missionary awaletee maana zilikuwa bei ya ni ya fuso ndio maana yake haikuwa lahisi.

  • @santennko1195
    @santennko1195 Рік тому

    Nafurahi unavyo document Injili tofauti na Wazee walikuwa na Mzee wako lakini hawakurekodi Matendo makuu ya Injili ya Kulola. Jambo hili lilinusukuma baada ya kupata taaluma ya Habari. 1996-2001 nilifanikiwa kuanza kupiga video. 2001 Kamati ya EAGT Dsm ilinipa jukumu la kupiga video kipindi kilirushwa CTN /CTC Chanel saa 5 asubuhi. Kwahio Kulola alirushwa Mara ya kwanza Dar kwenye TV. Dakika 30. Easter Crusade kwa Mchungaji Andrew. Kiwanja kidogo chekundu ambapo kwa sasa pamejengwa Kikwete sports complex. Shalom.

  • @preacherswahubiri2162
    @preacherswahubiri2162 Рік тому

    Msinyoe pembe za vichwa vyenu

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Рік тому

    Hakika Kulola alikuwa mtumishi wa kweli

  • @josephkivuyo5712
    @josephkivuyo5712 Рік тому

    Sijui ulikwama wapi Daniel, Nakumbuka mikutano mingi ya Baba mlikuwa pamoja. Mlizunguka sana nakumbuka enzi hizo NMC sasa hivi ni Soko. Kwanini yale mahubiri ya viwanjani hujaendeleza? Niliyafatilia sana.

    • @joycestivini677
      @joycestivini677 Рік тому

      Na yule jangalason,, alikua mwimbaji,,kweli ilikua ni moto

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x84 Рік тому

    For some reason i may not agree with preachers who don't take good care of their families in the name of serving God..read the scriptures..am a servant of God and i know sometimes its just lack of proper planning..watoto wanahitaji kula boss.

  • @rerisamba
    @rerisamba Рік тому +2

    Wanasema wewe ndio fungu la kumi la familia

  • @StewartUkason
    @StewartUkason 7 місяців тому

    Nadhani viongozi wa E.A.G T. ya sasa inabidi wajitathmini. Waangalie jinsi wanavyoenenda katika huduma. Umewahi kujiuliza kwanini Watoto wengi na wajukuu wa Mzee Moses Kulola wameondoka E.A.G.T.!?
    Ni kwa sababu mambo yamebadilika. There's no divine connection between the current EAGT and the Kulola's family. This is no fair. You shouldn't mistreat the family of your founder.

  • @basileusmabumba1524
    @basileusmabumba1524 Рік тому

    Daniel ubarikiwe sana, kutukumbusha habari za mzee Kulola. Mimi mch Senga. Mabatini wakati wa mzee, nilifika sana.
    Mungu akubariki sana

  • @milley7185
    @milley7185 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂😂 madness huyu anamuona murabu yule yesu😂😂😂😂😂 hamna kitu kama hiko makarai hayo hiyo picha uliyoletewa ni ya mtu binafsi kabisa na hiiyo kazi y makanisa kutembez watu uchiiiii Kuwait na sauti za kwenu wenyewe