RISASI ZARINDIMA ARUSHA, MADALALI WAKITAKA KUVUNJA NYUMBA ZAIDI YA 100, DC ATOA TAMKO
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mtu anachimba. Msingi anajenga bila shaka amefanya ujenzi huo miaka mitatu au zaidi anahamiaa. Mwenye eneo anaangalia tuuuuu naona hizi Sheria zifike pahala zibadishweeeee Yani hawa wamiliki. Hata uzio hawakuweka kwani mnapotoa viwanja sii Kuna mda maalumu kuendeleza tutaku
Watanzania tuzingatie Sheria.. Maeneo ya Taasisi na asasi za kijamii yamekuwa yakivamiwa hovyo mno. Wanasiasa kwa kutaka kura wanasingizia maslahi mapana. Wakishapata kura matokeo yake Ni hayo. Maeneo ya misikiti, makanisa, shule, vituo vya huduma za afya, Viwanja vya michezo, jeshi na hifadhi zinavamiwa hovyo.
Mnajenga semu za serikari msiwe moyo wakisiasa zingitie Sheria
Hii nchi ya ajabu sana, watu masikini na bado serikali(ambayo haina msaada wowote Kwa wananchi wao) haina huruma na wananchi wao wanaojitahidi kujitafutia maisha. Mahakama ikiamua haitoi muda WA wahanga kujiandaa? Serikali hii ni shida sana.
Nchi ni Matokeo ya Wananchi Brother,tuanze sisi kufuata sheria na taratibu tuone km tutaonewa
Jaman kwani tunaelekea wapi Kama kanisa ndio inawafunjia wananchi nyumba he jamani na hao madalali wasio ogopa walio zoeya kula rushwa wadhibitiwe
Maisha yalivyo unamvunjia mtu nyumba daaa magufuri baba najua hata Kama haupo Ila roho yako unaona huuunyanyasi unao endelae kwenye taifa lako baba vitu bei huku hai nihii punzika kwaaman baba
Wakati wanachukua hela hawakujua kuwa patavunjwa sisi watu weusi tunashida sana
Pole sana
Magu pumzika kwa amani,ulisema tutakukumbuka kwl tunayaona
Sisi watu wa mbezi tunamkumbuka magu kwakutuvunjia nyumba
Zetu kibabe Yani Mungu amchome
Jamani toka msingi mpaka majumba yote hayo walikuwa wapi?
Basi bhana, ilitakiwa Mwenyekiti wa mtaa apewe taarifa hata kabla ya siku 14, Ili akae na wananchi mapema.
Acheni kujenga kiholele mijini!
Nimeskia jina la moja
Mm ni mtoto wa kimaskini najua uchungu wa kujenga kuanzia kununua plot adi paa aki inauma kwani hakuna serikali kisha pakijengwa kanisa watu wataenda kuamini
Duhhhh
Mungu wangu ndo nini tena?
Kumanina zenu wote mliye sqbabisha
There you are Mr DC.!
Kweli jamani bila taarifa SDA church huwa watu wautaratibu usiseme uhuni sema SDA wangetoa taaarifa au mmetinga kama Yesu atakavyorudi?
Hao wasabato kweli au ...
Kama wanahubiri watu halafu wanawabomolea nyumba.... Hiyo injili ikoje....
Hawa ni wachungaji wa maslahi na mishahara tu.....
Hakuna muumini wa SDA anayekubaliana na hili ..
Acheni kuvamia maeneo. Vunja hizo nyumba ili iwe fundisho kwa wengine wenye nia ya kuvamia maeneo /viwanja hovyo.
Hilo mh makonda ataliwek swa sinawasiwasi mm huyo mh makonda nimkombozi wetu
Jamani oneni bc na hii barabara ya olasiti.... Kila siku vidala vinafia barabarani, short route but expensive kwasababu ya ubovu wa barabara, hii barabara si rafiki kwa magari jamani
Na ni kwanini hawa watu wa kanisa ndio hugombea sana ardhi yaani tz hawa kanisa ni kina nani
Acha udini msrnge wew ingekuwa msikiti ungeongea hvo
Mimi wala sijali unatukana lkni huo ndio ukweli watu wa kanisa mnamatatizo sana ya kugombea ardhi mkiambiwa eti udini fanya research sio uropoke tuu
@@abdallahmuttaq7306 unakurupuka kutoa maon yako bila kuangalia tatizo haswa
Tanzania hii bhaaana ina mambo sasa watu waanikwe hapo juani mbaka lini hakuna notes hakuna nini mbona watu wanapewa vyeo wanatumia vibaya
Hyo yanatokea mama ypo kwenyehaflayalishe selekalihii niyamambo blablaa yamaana nayamaonezikwawanyonge haiyajadli htakdgo niselekaliya semina na makongano
Na pia makanisa mengine wacheni kufanya mahofu wapuusi nyie wote pamoja na madalali
Watu wana mazoe ya kujenga bila kufuata sheria .
Mpaka zinajengwa nyumba mia mmiliki alikuwa wapi? Tusisumbuane
Mahakimu inawaonea watu wanyonge kunyanganywa ardhi zao na matajiri wenye uwezo wa fedha. Viongozi wa Mila ktk jamii wa siku hizi wamejiingiza kwenye migogoro kwa tamaa za hela wanatengeneza vielelezo vya uongo kwa Hila za kulipwa fedha na wanunuzi matajiri.
Mbona haitendeki HAKI..NA BUNDUKI NI SILAHA YA KILA MTU ATUMIE???
Mmmhhh napita tu
Wauweni wasenge ao mngechoma iyo greda moto
Daaah hamna kitu kinauma Kama hiki..hivi haiwezekan kabisa hii migogoro ikaisha..haiwezekani kuwatafutia eneo lingine kiustaarabu tu kuepuka haya daaah
Mawazo yangu mm naona nyumba zingine zitabaki, mbona hizo zitabaki? Mbona mkoa wako ajakwambia tutabomoa,nataka niombe kwaserikali mkiona nyumba ambazo anejenga bila utaratibu msiweke umeme hata maji,kwann nyinyi ndo mnawavuta watu aje semu ya serikali,cjui mnanielewa,but for me niseme pole Sana nimsiba mkubwa
Kwahio toka ujenzi unaanza hao wasabato walikua wapi? Jamani unajua hata shelia zetu sijui zilitungwa na wazungu dah
Kwanini wasitadhmini mwenye kudai eneo alipwe pesa sio kuvunjwa,maana mwananchi yeye kanunua hana makosa, aliyeuza ndo ana makosa
Sio haki
Uhuni huo...gambo umeongea vyema sana.mabloka hao ni vibwengo tu
WENYE KUFANYA UNGUVU KAMA HIVI.AWE WA KWANZA KUKAMATWA NA KUHUKIMIWA.SERIKALI IPO SIO KUTUMIA NGUVUU ! WAO WALIPE MALI ZENU
SIO kweri. NI WAHUNI HAO
ZAMBII SANA
🙄
Asima kabla ya kununua uchunguze
Kwani mbona vitu vyankipuuuz kanisa linataka mitaa tote kwajil yakanisa moja tuu mbona vitu vya ajabu kanisa mt200 inatosha lbs HV vitu vyankipuuuz sana
Plan za kanisa huwezi jua, inaweza kua wanataka pajengwe shule, hospital nk
Minahic hii dunia kunakizazi chafirauni kimebakiaaa ndokinachoitesa dunia khaaah...
Serikali ya kijiji ina makosa kuuzwa eneo mara 2,Mlionunua eneo kwa kijiji hamkua makini. Mahakama haina tatizo imeamua pande zote kisheria, upande wa kanisa ukashinda!
Madalali wa mahakama maanake Nini????mahakama Wana madalali???
Mjomba magufuli njoo uone
Gambo acha mambo ya siasa wananchi wanavamia sana maeneo ya watu Sasa kama mahakama imeshaamua
Hio kanisa italipa hizi dhuluma mtakuja kuchomwa ndani ya kanisa sku moja nyie na mapasta wenu
Kuwa na maneno ya akiba ndugu yangu yasije yakakukuta ukaacha familia ikilia kwa maneno tu rafiki yangu acha kbsa changia tubmaneno mengine ila syo kama haya ipo siku yatakukuta utapata tabu
Kwa kweli inaonekana hata hao wasabato wenye kuvunja nyumba za watu nao hawana heima ya kimbingu
Jamani kweli mnavunja nyumba?hata huruma hamna?pole yao duuuh
Duh! Huenda hawana familia wao
Na pia makanisa mengine wacheni kufanya mahofu wapuusi nyie wote pamoja na madalali