RISASI ZARINDIMA ARUSHA, MADALALI WAKITAKA KUVUNJA NYUMBA ZAIDI YA 100, DC ATOA TAMKO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

КОМЕНТАРІ • 62

  • @user-dy5fn6qj1q
    @user-dy5fn6qj1q 2 місяці тому +1

    Mtu anachimba. Msingi anajenga bila shaka amefanya ujenzi huo miaka mitatu au zaidi anahamiaa. Mwenye eneo anaangalia tuuuuu naona hizi Sheria zifike pahala zibadishweeeee Yani hawa wamiliki. Hata uzio hawakuweka kwani mnapotoa viwanja sii Kuna mda maalumu kuendeleza tutaku

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 Рік тому +5

    Watanzania tuzingatie Sheria.. Maeneo ya Taasisi na asasi za kijamii yamekuwa yakivamiwa hovyo mno. Wanasiasa kwa kutaka kura wanasingizia maslahi mapana. Wakishapata kura matokeo yake Ni hayo. Maeneo ya misikiti, makanisa, shule, vituo vya huduma za afya, Viwanja vya michezo, jeshi na hifadhi zinavamiwa hovyo.

  • @amosiabdulallh7965
    @amosiabdulallh7965 Рік тому +3

    Mnajenga semu za serikari msiwe moyo wakisiasa zingitie Sheria

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 Рік тому +4

    Hii nchi ya ajabu sana, watu masikini na bado serikali(ambayo haina msaada wowote Kwa wananchi wao) haina huruma na wananchi wao wanaojitahidi kujitafutia maisha. Mahakama ikiamua haitoi muda WA wahanga kujiandaa? Serikali hii ni shida sana.

    • @hassanlikwenangu8471
      @hassanlikwenangu8471 Рік тому +1

      Nchi ni Matokeo ya Wananchi Brother,tuanze sisi kufuata sheria na taratibu tuone km tutaonewa

  • @EliasMoyo-g3p
    @EliasMoyo-g3p 4 дні тому

    Jaman kwani tunaelekea wapi Kama kanisa ndio inawafunjia wananchi nyumba he jamani na hao madalali wasio ogopa walio zoeya kula rushwa wadhibitiwe

  • @zaynakhalfan4438
    @zaynakhalfan4438 Рік тому +1

    Maisha yalivyo unamvunjia mtu nyumba daaa magufuri baba najua hata Kama haupo Ila roho yako unaona huuunyanyasi unao endelae kwenye taifa lako baba vitu bei huku hai nihii punzika kwaaman baba

  • @geofreyanderson9115
    @geofreyanderson9115 Рік тому +2

    Wakati wanachukua hela hawakujua kuwa patavunjwa sisi watu weusi tunashida sana

  • @user-od5si7ld6b
    @user-od5si7ld6b 3 місяці тому

    Pole sana

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 Рік тому +4

    Magu pumzika kwa amani,ulisema tutakukumbuka kwl tunayaona

    • @mohammedmbwana245
      @mohammedmbwana245 Рік тому

      Sisi watu wa mbezi tunamkumbuka magu kwakutuvunjia nyumba
      Zetu kibabe Yani Mungu amchome

  • @asinahussein2176
    @asinahussein2176 Рік тому +2

    Jamani toka msingi mpaka majumba yote hayo walikuwa wapi?

  • @greenwellnsyukwe4729
    @greenwellnsyukwe4729 4 місяці тому

    Basi bhana, ilitakiwa Mwenyekiti wa mtaa apewe taarifa hata kabla ya siku 14, Ili akae na wananchi mapema.

  • @ksmally1985
    @ksmally1985 Рік тому +1

    Acheni kujenga kiholele mijini!

  • @stevenlazaro9176
    @stevenlazaro9176 Рік тому +1

    Nimeskia jina la moja

  • @mizesuleiman1834
    @mizesuleiman1834 Рік тому +1

    Mm ni mtoto wa kimaskini najua uchungu wa kujenga kuanzia kununua plot adi paa aki inauma kwani hakuna serikali kisha pakijengwa kanisa watu wataenda kuamini

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 Рік тому +1

    Duhhhh

  • @maombijofre2302
    @maombijofre2302 Рік тому +1

    Mungu wangu ndo nini tena?

  • @ulaweboy9826
    @ulaweboy9826 Рік тому +1

    Kumanina zenu wote mliye sqbabisha

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 Рік тому

    There you are Mr DC.!

  • @abdalahmjomba471
    @abdalahmjomba471 Рік тому +1

    Kweli jamani bila taarifa SDA church huwa watu wautaratibu usiseme uhuni sema SDA wangetoa taaarifa au mmetinga kama Yesu atakavyorudi?

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Рік тому +1

    Hao wasabato kweli au ...
    Kama wanahubiri watu halafu wanawabomolea nyumba.... Hiyo injili ikoje....
    Hawa ni wachungaji wa maslahi na mishahara tu.....
    Hakuna muumini wa SDA anayekubaliana na hili ..

  • @user-gx3jp6uk2f
    @user-gx3jp6uk2f 4 місяці тому

    Acheni kuvamia maeneo. Vunja hizo nyumba ili iwe fundisho kwa wengine wenye nia ya kuvamia maeneo /viwanja hovyo.

  • @CharlesNkanda
    @CharlesNkanda 3 місяці тому

    Hilo mh makonda ataliwek swa sinawasiwasi mm huyo mh makonda nimkombozi wetu

  • @matsawilihamud4750
    @matsawilihamud4750 Рік тому +1

    Jamani oneni bc na hii barabara ya olasiti.... Kila siku vidala vinafia barabarani, short route but expensive kwasababu ya ubovu wa barabara, hii barabara si rafiki kwa magari jamani

  • @abdallahmuttaq7306
    @abdallahmuttaq7306 Рік тому +2

    Na ni kwanini hawa watu wa kanisa ndio hugombea sana ardhi yaani tz hawa kanisa ni kina nani

    • @williamboniphace5887
      @williamboniphace5887 Рік тому

      Acha udini msrnge wew ingekuwa msikiti ungeongea hvo

    • @abdallahmuttaq7306
      @abdallahmuttaq7306 Рік тому

      Mimi wala sijali unatukana lkni huo ndio ukweli watu wa kanisa mnamatatizo sana ya kugombea ardhi mkiambiwa eti udini fanya research sio uropoke tuu

    • @jumasoli7818
      @jumasoli7818 Рік тому

      @@abdallahmuttaq7306 unakurupuka kutoa maon yako bila kuangalia tatizo haswa

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Рік тому +1

    Tanzania hii bhaaana ina mambo sasa watu waanikwe hapo juani mbaka lini hakuna notes hakuna nini mbona watu wanapewa vyeo wanatumia vibaya

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy9812 Рік тому

    Hyo yanatokea mama ypo kwenyehaflayalishe selekalihii niyamambo blablaa yamaana nayamaonezikwawanyonge haiyajadli htakdgo niselekaliya semina na makongano

  • @EliasMoyo-g3p
    @EliasMoyo-g3p 4 дні тому

    Na pia makanisa mengine wacheni kufanya mahofu wapuusi nyie wote pamoja na madalali

  • @ksmally1985
    @ksmally1985 Рік тому +1

    Watu wana mazoe ya kujenga bila kufuata sheria .

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 Рік тому

    Mpaka zinajengwa nyumba mia mmiliki alikuwa wapi? Tusisumbuane

  • @gadielmungure9711
    @gadielmungure9711 Рік тому

    Mahakimu inawaonea watu wanyonge kunyanganywa ardhi zao na matajiri wenye uwezo wa fedha. Viongozi wa Mila ktk jamii wa siku hizi wamejiingiza kwenye migogoro kwa tamaa za hela wanatengeneza vielelezo vya uongo kwa Hila za kulipwa fedha na wanunuzi matajiri.

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 4 місяці тому

    Mbona haitendeki HAKI..NA BUNDUKI NI SILAHA YA KILA MTU ATUMIE???

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Рік тому

    Mmmhhh napita tu

  • @laurencemassawe9100
    @laurencemassawe9100 Рік тому

    Wauweni wasenge ao mngechoma iyo greda moto

  • @alexlipili9343
    @alexlipili9343 Рік тому

    Daaah hamna kitu kinauma Kama hiki..hivi haiwezekan kabisa hii migogoro ikaisha..haiwezekani kuwatafutia eneo lingine kiustaarabu tu kuepuka haya daaah

  • @amosiabdulallh7965
    @amosiabdulallh7965 Рік тому

    Mawazo yangu mm naona nyumba zingine zitabaki, mbona hizo zitabaki? Mbona mkoa wako ajakwambia tutabomoa,nataka niombe kwaserikali mkiona nyumba ambazo anejenga bila utaratibu msiweke umeme hata maji,kwann nyinyi ndo mnawavuta watu aje semu ya serikali,cjui mnanielewa,but for me niseme pole Sana nimsiba mkubwa

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 Рік тому

    Kwahio toka ujenzi unaanza hao wasabato walikua wapi? Jamani unajua hata shelia zetu sijui zilitungwa na wazungu dah

  • @magretkijanga6038
    @magretkijanga6038 Рік тому

    Kwanini wasitadhmini mwenye kudai eneo alipwe pesa sio kuvunjwa,maana mwananchi yeye kanunua hana makosa, aliyeuza ndo ana makosa

  • @raismalingumutz8473
    @raismalingumutz8473 Рік тому

    Sio haki

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 Рік тому

    Uhuni huo...gambo umeongea vyema sana.mabloka hao ni vibwengo tu

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 4 місяці тому

    WENYE KUFANYA UNGUVU KAMA HIVI.AWE WA KWANZA KUKAMATWA NA KUHUKIMIWA.SERIKALI IPO SIO KUTUMIA NGUVUU ! WAO WALIPE MALI ZENU

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 4 місяці тому

    SIO kweri. NI WAHUNI HAO
    ZAMBII SANA

  • @julianapatrick7911
    @julianapatrick7911 Рік тому

    🙄

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Рік тому

    Asima kabla ya kununua uchunguze

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Рік тому

    Kwani mbona vitu vyankipuuuz kanisa linataka mitaa tote kwajil yakanisa moja tuu mbona vitu vya ajabu kanisa mt200 inatosha lbs HV vitu vyankipuuuz sana

    • @easternyerembe7271
      @easternyerembe7271 Рік тому

      Plan za kanisa huwezi jua, inaweza kua wanataka pajengwe shule, hospital nk

  • @thaniakassim7687
    @thaniakassim7687 Рік тому

    Minahic hii dunia kunakizazi chafirauni kimebakiaaa ndokinachoitesa dunia khaaah...

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Рік тому +1

    Serikali ya kijiji ina makosa kuuzwa eneo mara 2,Mlionunua eneo kwa kijiji hamkua makini. Mahakama haina tatizo imeamua pande zote kisheria, upande wa kanisa ukashinda!

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Рік тому

    Madalali wa mahakama maanake Nini????mahakama Wana madalali???

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed4190 Рік тому

    Mjomba magufuli njoo uone

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Рік тому

    Gambo acha mambo ya siasa wananchi wanavamia sana maeneo ya watu Sasa kama mahakama imeshaamua

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 Рік тому

    Hio kanisa italipa hizi dhuluma mtakuja kuchomwa ndani ya kanisa sku moja nyie na mapasta wenu

    • @abdalahmjomba471
      @abdalahmjomba471 Рік тому

      Kuwa na maneno ya akiba ndugu yangu yasije yakakukuta ukaacha familia ikilia kwa maneno tu rafiki yangu acha kbsa changia tubmaneno mengine ila syo kama haya ipo siku yatakukuta utapata tabu

    • @gracemtanga1404
      @gracemtanga1404 Рік тому

      Kwa kweli inaonekana hata hao wasabato wenye kuvunja nyumba za watu nao hawana heima ya kimbingu

  • @faustinemavere1450
    @faustinemavere1450 Рік тому

    Jamani kweli mnavunja nyumba?hata huruma hamna?pole yao duuuh

  • @EliasMoyo-g3p
    @EliasMoyo-g3p 4 дні тому

    Na pia makanisa mengine wacheni kufanya mahofu wapuusi nyie wote pamoja na madalali