Binafsi nikushukuru sana Mimi ni dereva boda boda actually niseme natumia pesa ovyo sana nimejiwekea kiwango kidogo sana Cha shilingi ELFU kumi niweke Kila siku kwenye kazi yangu najiwekea Ndani kwangu ila haiputi siku Tano Nisha chukua so now umenipa njia nzuri na sahihi za kutunza pesa be blessed 🤌
❤❤❤ Bank ya NBC Malengo inasaidia sana utoi pesa mpaka miez 6 nimeijaribu maana M Pesa imenishinda natumia pesa nyng MB na kubeti😮
Yan kaka Joel mungu akubaliki sana ❤🙏🙏🌎 uzidi kwenda viwango vya kimataifa 🌎🌎⛪️
Joel asante kwa kutufundisha maisha yaani wewe kaka mungu peke yake aendelee kukutunza na kukubariki zaidi unafundisha vizuri sana nafatilia sana video zako.
Binafsi napenda kukushukuru sana kupitia hili SoMo nmejifunza kitu katika maisha na nitaishi kwenye hii mikakati
asante joel,ila mimi nitakuomba wewe unisimamie ,,,,najua una kazi nyingi sana still nitakuomba wewe kila mwezi unanifatilia
Nashkuru mungu kwenye hizi njia zote nimepita and thank you 🙏
Kaka Joel nimeyaona matunda kupitia ww una mchango mkubwa sana ktk mafanikio yng haswa 2021 -2022 alhamdulillah nimeongezwa mshahara pia Nina account bank nakushukuru pia namshukuru mungu 🙏💖💖💖
Nidhamu ya fedha ni jambo la msingi katika kufanikisha malengo maishani
Mungu akubariki Sana,am learning a lot from you,na niseme tu hivi Sasa Nina uwezo wa kujiwekea akiba na kufanya vitu vya maana kupitia wewe, seminar zako na kitabu Cha money formula vimeniboost Sana🙏🏼🙏🏼
Ahsanteee Broo nanauka kwa kutewa kwenye njia kuu juu ya nidhamu ya fedha.. njia zote ni nzuri na muhimu sana kuzitumia lakini mimi ningependa kuanza na njia ya kumshirikisha mtu nnae muheshimu na kuweka akiba,, naamini zitanisaidia kama ntazifuata kikamilifu..
**Ubarikiwe sana kwa masaada wako kwenye jamii**
Amina sana. Nimeipenda hii njia ya kuwa na account bila ATM CARD. ubarikiwe sana . Acc ya WADU POSTA.
Ahxante sanaa Mr Joel nanauka, hakika umetupa somo bora sanaa MUNGU AKUBARIKI,WEWE NI MTU MHIMU SANAA KTK HII JAMII MUNGU AKUBARIK SANAA
Since i started following your classes, you have been such a big help kwenye maisha yangu hasa kifedha.Mungu akubariki
Nakukubali sana kaka Joel my Tz mentor I wish Nikuone one day 🙏❤️❤️
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,mimi napenda kutumia njia ya kikoba nilichopata hapo ninunue vitu vya jumla nimechoka na rejareja
Nimepata hamasa kubwa Kwa hili fundisho lako, Lazima niyafanyie kazi mwaka huu 2023
Nakuelewa sana brother @Joel Nanauka. Binafsi umenitoa mbali sana kuhusiana na nidhamu ya kifedha. Naendelea kujifunza zaidi🙏🙏
Njia ninayoona ni best kwangu ni kuweka ikiba kwa upatu na kufanya manunuzi ya ujumla... Ahsante sana kaka🙏🙏
Kaka Joel , Asante Sana kwa mafundisho yako,mm Nina akaunti ya akiba na vikoba.
Hongera bro kwa kazi nzuri unayofanya. Maana unatujenga kifikra,mitazamo ili tuache yasiyofaa tuimarishe Hali zetu.
Nashukur sana kaka Joel Mungu akubariki sanaaaa kwani nilikuwa sina utumiaji wa pesa vzr ilaa umenifungua sanaa akili yangu tangia nianze kufatiria ndundishi yako. Barikia sana 🙏🙏
Hongera sana brother kwa somo zuri hata mimi vikoba vimenisaidia sana kwakweli 🙏🏼
Be blessed brother umenipa funzo zurii
Asante sana Kwa elimu nzuri hakika... Mungu akubariki
Vijana wengi unatufundiaha maisha hakika ambayo hatojifunza na kuchukua hatua ni uzembe wake ila kaka inabadilisha maisha ya vijana wengi Mungu akubarik
Asante Joel kwa mafunzo yako.
Katika kuweka akiba nashauri watu wa Mungu watumie Utt kama njia nyingine ya uwekeza jwa kuwa wanatoa gawio nzuri kwa mtindo wa compound interest ni nzuri sana .just try!
Shukrani Mr Nanauka. Kupitia chaneli hii nimefanikiwa jinsi ya kuweka akiba. Cha kujiongezea nitafungua akaunti ya Benki ili nihame m pesa niweke akiba yangu Benki. Ubarikiwe sana.
MUNGU akubariki Sana our mentor..
Honger sana bro joel nanaukakwasaaa una video 669 zote hiz nimeziangalia na kuvifanyia vitendo asante sana
##Nimekuelewa Sana broo...na nashukuru sana kwa SoMo maana kwangu mm hela napata Sana but matumizi makubwa...##
Nice story champion mwamba wa mwambafix nimeufuatilia mpk mwisho
Nashukuru kaka njia nzuri zaidi ni hiyo ya benk kuzuia kutoa baada ya muda flan nimeipenda ntaifanyia kazi
Asante sana kaka leo nimekusikiliza na lipoti ijayo kwa neema ya Mungu itakuwa ni ushuhuda
Thnx me naweza tumia hio njia ya 1 na ya 2 kupitia sacos na uptu asante sana mna biashara yngu ina mwaka sasa iko vle vle haikui na mashallah inatembea vzur tuh
Shukran sana Brother Darasa limeeleweka vzur unastahili maua yako.
Asante tuku pamoja na darasa lako❤
Shukran sana kiongozi kwa Elimu
Hongera sana brother kwa somo zuri Mungu akubariki pia tunasahidika sana
Nimekukubali sana kaka. Mungu akubaliki sana.
Rafiudine Assane Bartolomeu Toka Mozambique
Ubarikiwe Kaka!mafundisho yako mazuri sana
Asante sana coach Joel
Ubarikiwe mno kaka Joel na Mungu aendelee kukutumia zaidi
Nakuomba Uwe mentor wangu, na unanifuatilia kila mwezi. Asante
Upo vizur sn umenijenga sn nanauka
Asante sana kwa ushauri nitaufanyia kazi japo nimechelewa
nimeipenda hiyo ya kuweka standing order be blessed brother
Mungu akuongezee kaka..nakukubali Nivilee hujuh 2..god be with you
Thanks my friend for your advice God bless you
Asante nimejufunza kwa mafundisho
Hsanteee sana kaka mimi ndo nataka kuanza biashara ndo maana natafuta ushauri mbalimbali kwa wataalam
Najivunia sana hii class I believe that one day yes
Yaan kuna kitu cha muhimu sana nmekipata hapa
Asante kwa ushauri mzuri
Be blessed nakukubali sana ndugu shukran
Asante kaka kwa somo hili mimi nipenda sana kutumia zaidi benki mala nyingi kwakuweka akiba
Shukrani kiongozi Nanauka tuko pamoj
Asante sana brother nimejifunza mengi sana kwako toka nikufahamu
Mbarikiwe mtumishi napenda mafundisho yako
Aksante sans bi.ejifunza mambo mengi kwako mungu akubarki
Asante sana baba Joel nanauka
Asante kwa ushauri, naendelea kujifunza
Kwa kweli joeli me umenipa maarifa makubwa san mung. Akup maish marefu
Asante kiongozi kwa kifungua vichwa vya wengi
Shukrani sana Kwa somo zuri!
Mungu akuweke maisha mengi kaka, tunataka kuonyesha matunda yako uliyo yapanda kwetu,
Asante sana kaka na Mimi ni mtumiaji mbaya sana wa pesa mpaka huwa najiombea Mungu aniongoze
Ahsante sana Kwa elimu Yako nimevutiwa sana na itakufatilia sana🙏🙏
Dah,bro nashukulu sana kwa ushauli wako.
Kazi njema zote nzuri ubarikiwe
Asnt sana mwl kwa mafundisho yako hakika umenibadilishia sana maisha yangu.. mm natumia vikoba
Ahsante Sana kaka mm nilisikiliza hii na Leo NARUDIA tena nilicheza upatu na mwezi huu napokea milion 7 na Laki mbili nikianza mwez wa 12 mwaka 2022. Mpk Sasa ni miezi nane nashukuru Sana na pesa hiyo nakwenda kufungua biashara ya huduma za kifedha.
Asante Kaka ubarikiwe mambo mengi nshayajua sasa makosa ya matumizi ya pesa niko mayo Dana Sasa nshajua njia
U made me stronger about money bro
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Tremondous amount of respect thank you Mr Nanauka .
Asante sana na ubatikewe🙏🏼
TANGU NIMEANZA KUKUFUATILIA MITANDAON NA KUNUNUA BAADH YA VITABU VYAKO NMEKUWA MTU NINAYEISHI KWA FURAHA SANA KWASABABU LIPO TUMAIN.
GOD BLESS YOU MY BROTHER
Brother ahsanteee sana kwa elimu Yako muhim ya maisha🙏🙏
Asante sana bro .i have learned A lot 🙏🙏
Nashukuru sana mungu akubarik sana
Mtumish ahsante Sana najikuta nazidi kubadilika kamaisha kupitia masomoh yako
Unajitahid kuelezea je kwnn Sasa hutumii mawazo hayo Ili upate pesa Zaid ya kina mo au bakhresa unajuwa kuongea n vyepec action xax n xhida
Kuna watu Mungu amewaweka special kuinua wengine na SI kwa kuwagawia fedha Bali maarifa,
Asante sana nimepata funzo
Asante kwa somo nimejifunza kitu
Nimekupenda bule
Nakuelewaga sana mwalimu Joel mimi binafsi njia ya vikindi ndo naitumia na naendelea vizuri ila malengo yangu simshirikishi yeyote lakini kuwa peke yangu imenijia vigumu mana kuna mahali nahitaji ushauri ila kwa somo hili nadhani ntaangalia watu ninao wakubali niwashirikishe ili nifikie malengo yangu
Mungu akulinde uzidikutipatia somo maana daa nakuleewa sana
Asante sanaa naamini malengu yakununua Gari yatatimiaa
Asante sana kaka.
asante sana nashukuru
Congratulations to you brother,mawazo yako nayatamani sana
Thanks bro nmepatakitu kipya hpo cha "stansting order" be blessed bro🙏
Ahsante nitaitumia vzr akauti yangu yabenk
Asante sana kaka hakika unanipa hatua Kila Leo ndugu
Ahsante sana kaka joel
Ubarikiwe san mtumishi wa daah.🤔
Kaka Asante Sana unisandia Sana mpaka Sasa nimefanya Mambo ambayo nilikuwa naona siyawezi
Kaka Asante sana kwaushauli
Mungu Akubariki Sana
Dah kaka Allah akubarik maana nishapambana sana bado ila sasa nafata hili somo lako
Asante kaka niko Kenya na nimekufatilia Kwa miezi mtatu na nashukru nimefanya Mambo ambayo nilikua siyawezi be blessed brother