КОМЕНТАРІ •

  • @elizabethmwaka2921
    @elizabethmwaka2921 Рік тому +26

    Asante kaka niko Kenya na nimekufatilia Kwa miezi mtatu na nashukru nimefanya Mambo ambayo nilikua siyawezi be blessed brother

  • @zinhotz5366
    @zinhotz5366 Рік тому +72

    Binafsi nikushukuru sana Mimi ni dereva boda boda actually niseme natumia pesa ovyo sana nimejiwekea kiwango kidogo sana Cha shilingi ELFU kumi niweke Kila siku kwenye kazi yangu najiwekea Ndani kwangu ila haiputi siku Tano Nisha chukua so now umenipa njia nzuri na sahihi za kutunza pesa be blessed 🤌

  • @LincolnMoshi
    @LincolnMoshi 13 днів тому +2

    ❤❤❤ Bank ya NBC Malengo inasaidia sana utoi pesa mpaka miez 6 nimeijaribu maana M Pesa imenishinda natumia pesa nyng MB na kubeti😮

  • @king-gtv2010
    @king-gtv2010 Рік тому +27

    Yan kaka Joel mungu akubaliki sana ❤🙏🙏🌎 uzidi kwenda viwango vya kimataifa 🌎🌎⛪️

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 Рік тому +7

    Joel asante kwa kutufundisha maisha yaani wewe kaka mungu peke yake aendelee kukutunza na kukubariki zaidi unafundisha vizuri sana nafatilia sana video zako.

  • @mariamnestory5543
    @mariamnestory5543 2 місяці тому +3

    Binafsi napenda kukushukuru sana kupitia hili SoMo nmejifunza kitu katika maisha na nitaishi kwenye hii mikakati

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 Місяць тому +2

    asante joel,ila mimi nitakuomba wewe unisimamie ,,,,najua una kazi nyingi sana still nitakuomba wewe kila mwezi unanifatilia

  • @halimayahaya5558
    @halimayahaya5558 Місяць тому +2

    Nashkuru mungu kwenye hizi njia zote nimepita and thank you 🙏

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 Рік тому +7

    Kaka Joel nimeyaona matunda kupitia ww una mchango mkubwa sana ktk mafanikio yng haswa 2021 -2022 alhamdulillah nimeongezwa mshahara pia Nina account bank nakushukuru pia namshukuru mungu 🙏💖💖💖

  • @yahyahadji21
    @yahyahadji21 Рік тому +9

    Nidhamu ya fedha ni jambo la msingi katika kufanikisha malengo maishani

  • @patelnay4124
    @patelnay4124 9 місяців тому +3

    Mungu akubariki Sana,am learning a lot from you,na niseme tu hivi Sasa Nina uwezo wa kujiwekea akiba na kufanya vitu vya maana kupitia wewe, seminar zako na kitabu Cha money formula vimeniboost Sana🙏🏼🙏🏼

  • @omarimtau5162
    @omarimtau5162 Рік тому +8

    Ahsanteee Broo nanauka kwa kutewa kwenye njia kuu juu ya nidhamu ya fedha.. njia zote ni nzuri na muhimu sana kuzitumia lakini mimi ningependa kuanza na njia ya kumshirikisha mtu nnae muheshimu na kuweka akiba,, naamini zitanisaidia kama ntazifuata kikamilifu..
    **Ubarikiwe sana kwa masaada wako kwenye jamii**

    • @mariamzambi1995
      @mariamzambi1995 Рік тому

      Amina sana. Nimeipenda hii njia ya kuwa na account bila ATM CARD. ubarikiwe sana . Acc ya WADU POSTA.

  • @osangoamosi4355
    @osangoamosi4355 Рік тому +4

    Ahxante sanaa Mr Joel nanauka, hakika umetupa somo bora sanaa MUNGU AKUBARIKI,WEWE NI MTU MHIMU SANAA KTK HII JAMII MUNGU AKUBARIK SANAA

  • @MwasiMhango
    @MwasiMhango 2 місяці тому

    Since i started following your classes, you have been such a big help kwenye maisha yangu hasa kifedha.Mungu akubariki

  • @king-gtv2010
    @king-gtv2010 Рік тому +15

    Nakukubali sana kaka Joel my Tz mentor I wish Nikuone one day 🙏❤️❤️

  • @LovelyOutdoors-wd5nh
    @LovelyOutdoors-wd5nh 2 місяці тому

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,mimi napenda kutumia njia ya kikoba nilichopata hapo ninunue vitu vya jumla nimechoka na rejareja

  • @soccerupdates5
    @soccerupdates5 Рік тому +8

    Nimepata hamasa kubwa Kwa hili fundisho lako, Lazima niyafanyie kazi mwaka huu 2023

  • @fridalifa7575
    @fridalifa7575 Рік тому +1

    Nakuelewa sana brother @Joel Nanauka. Binafsi umenitoa mbali sana kuhusiana na nidhamu ya kifedha. Naendelea kujifunza zaidi🙏🙏

  • @GloryKakole
    @GloryKakole 2 місяці тому

    Njia ninayoona ni best kwangu ni kuweka ikiba kwa upatu na kufanya manunuzi ya ujumla... Ahsante sana kaka🙏🙏

  • @lightnessmachua6587
    @lightnessmachua6587 Рік тому +2

    Kaka Joel , Asante Sana kwa mafundisho yako,mm Nina akaunti ya akiba na vikoba.

  • @martinenkingwa1757
    @martinenkingwa1757 Рік тому +2

    Hongera bro kwa kazi nzuri unayofanya. Maana unatujenga kifikra,mitazamo ili tuache yasiyofaa tuimarishe Hali zetu.

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 Рік тому +1

    Nashukur sana kaka Joel Mungu akubariki sanaaaa kwani nilikuwa sina utumiaji wa pesa vzr ilaa umenifungua sanaa akili yangu tangia nianze kufatiria ndundishi yako. Barikia sana 🙏🙏

  • @rabiaiddi2884
    @rabiaiddi2884 Рік тому +10

    Hongera sana brother kwa somo zuri hata mimi vikoba vimenisaidia sana kwakweli 🙏🏼

  • @GodlistenMassawe-nf8is
    @GodlistenMassawe-nf8is 21 день тому

    Be blessed brother umenipa funzo zurii

  • @user-fy4tl2te2r
    @user-fy4tl2te2r 4 місяці тому

    Asante sana Kwa elimu nzuri hakika... Mungu akubariki

  • @user-ul2sf9uq6r
    @user-ul2sf9uq6r 4 місяці тому

    Vijana wengi unatufundiaha maisha hakika ambayo hatojifunza na kuchukua hatua ni uzembe wake ila kaka inabadilisha maisha ya vijana wengi Mungu akubarik

  • @filorammbaga5710
    @filorammbaga5710 Місяць тому

    Asante Joel kwa mafunzo yako.
    Katika kuweka akiba nashauri watu wa Mungu watumie Utt kama njia nyingine ya uwekeza jwa kuwa wanatoa gawio nzuri kwa mtindo wa compound interest ni nzuri sana .just try!

  • @neemaryan9947
    @neemaryan9947 Рік тому +1

    Shukrani Mr Nanauka. Kupitia chaneli hii nimefanikiwa jinsi ya kuweka akiba. Cha kujiongezea nitafungua akaunti ya Benki ili nihame m pesa niweke akiba yangu Benki. Ubarikiwe sana.

  • @priscashairock2679
    @priscashairock2679 4 місяці тому

    MUNGU akubariki Sana our mentor..

  • @paulyusuph7572
    @paulyusuph7572 Рік тому +1

    Honger sana bro joel nanaukakwasaaa una video 669 zote hiz nimeziangalia na kuvifanyia vitendo asante sana

  • @williamloserian5999
    @williamloserian5999 Рік тому +1

    ##Nimekuelewa Sana broo...na nashukuru sana kwa SoMo maana kwangu mm hela napata Sana but matumizi makubwa...##

  • @DJJIMYTZ
    @DJJIMYTZ 2 місяці тому

    Nice story champion mwamba wa mwambafix nimeufuatilia mpk mwisho

  • @allyjuma9365
    @allyjuma9365 Рік тому

    Nashukuru kaka njia nzuri zaidi ni hiyo ya benk kuzuia kutoa baada ya muda flan nimeipenda ntaifanyia kazi

  • @jamesngasi7252
    @jamesngasi7252 Рік тому

    Asante sana kaka leo nimekusikiliza na lipoti ijayo kwa neema ya Mungu itakuwa ni ushuhuda

  • @user-ei6oh7vl8z
    @user-ei6oh7vl8z 9 місяців тому

    Thnx me naweza tumia hio njia ya 1 na ya 2 kupitia sacos na uptu asante sana mna biashara yngu ina mwaka sasa iko vle vle haikui na mashallah inatembea vzur tuh

  • @shabanabdallah376
    @shabanabdallah376 6 місяців тому

    Shukran sana Brother Darasa limeeleweka vzur unastahili maua yako.

  • @user-um6oj8ci9i
    @user-um6oj8ci9i 16 днів тому

    Asante tuku pamoja na darasa lako❤

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 Рік тому +2

    Shukran sana kiongozi kwa Elimu

  • @Sibazurin
    @Sibazurin 8 місяців тому

    Hongera sana brother kwa somo zuri Mungu akubariki pia tunasahidika sana

  • @rafiudineassanebartolomeub9930

    Nimekukubali sana kaka. Mungu akubaliki sana.
    Rafiudine Assane Bartolomeu Toka Mozambique

  • @julietmateru5789
    @julietmateru5789 9 місяців тому

    Ubarikiwe Kaka!mafundisho yako mazuri sana

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 9 днів тому

    Asante sana coach Joel

  • @solangesoso3100
    @solangesoso3100 Рік тому

    Ubarikiwe mno kaka Joel na Mungu aendelee kukutumia zaidi

  • @barakajulius5938
    @barakajulius5938 Рік тому

    Nakuomba Uwe mentor wangu, na unanifuatilia kila mwezi. Asante

  • @nikolausmnanka9362
    @nikolausmnanka9362 4 місяці тому +1

    Upo vizur sn umenijenga sn nanauka

  • @joycekyando5321
    @joycekyando5321 Рік тому

    Asante sana kwa ushauri nitaufanyia kazi japo nimechelewa

  • @christopherndelwa2
    @christopherndelwa2 8 місяців тому

    nimeipenda hiyo ya kuweka standing order be blessed brother

  • @tinoh7_
    @tinoh7_ 9 місяців тому

    Mungu akuongezee kaka..nakukubali Nivilee hujuh 2..god be with you

  • @user-oi8cn7hw8y
    @user-oi8cn7hw8y 11 місяців тому

    Thanks my friend for your advice God bless you

  • @LadouceKulimushi-qb5oe
    @LadouceKulimushi-qb5oe Місяць тому

    Asante nimejufunza kwa mafundisho

  • @eunicemusa5057
    @eunicemusa5057 Місяць тому

    Hsanteee sana kaka mimi ndo nataka kuanza biashara ndo maana natafuta ushauri mbalimbali kwa wataalam

  • @atanasmwinyi06
    @atanasmwinyi06 Рік тому

    Najivunia sana hii class I believe that one day yes

  • @magemwaipaja8650
    @magemwaipaja8650 Рік тому

    Yaan kuna kitu cha muhimu sana nmekipata hapa
    Asante kwa ushauri mzuri

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Рік тому

    Be blessed nakukubali sana ndugu shukran

  • @onesmomnkondya1725
    @onesmomnkondya1725 Рік тому

    Asante kaka kwa somo hili mimi nipenda sana kutumia zaidi benki mala nyingi kwakuweka akiba

  • @alexmushi6017
    @alexmushi6017 Рік тому

    Shukrani kiongozi Nanauka tuko pamoj

  • @lebahatikeiya8666
    @lebahatikeiya8666 Рік тому

    Asante sana brother nimejifunza mengi sana kwako toka nikufahamu

  • @user-qz3od7go7h
    @user-qz3od7go7h 10 місяців тому

    Mbarikiwe mtumishi napenda mafundisho yako

  • @AbduMadandi-my6dc
    @AbduMadandi-my6dc Рік тому

    Aksante sans bi.ejifunza mambo mengi kwako mungu akubarki

  • @etiennenebus4087
    @etiennenebus4087 Рік тому +2

    Asante sana baba Joel nanauka

  • @user-qe3lo3rn8p
    @user-qe3lo3rn8p 9 місяців тому

    Asante kwa ushauri, naendelea kujifunza

  • @NehemiahChomola
    @NehemiahChomola 2 місяці тому

    Kwa kweli joeli me umenipa maarifa makubwa san mung. Akup maish marefu

  • @user-re2jl5rn4h
    @user-re2jl5rn4h 9 місяців тому

    Asante kiongozi kwa kifungua vichwa vya wengi

  • @juliusluponde6628
    @juliusluponde6628 Рік тому

    Shukrani sana Kwa somo zuri!

  • @TANZANIANFIGHT
    @TANZANIANFIGHT Рік тому

    Mungu akuweke maisha mengi kaka, tunataka kuonyesha matunda yako uliyo yapanda kwetu,

  • @christermlewa8471
    @christermlewa8471 Рік тому

    Asante sana kaka na Mimi ni mtumiaji mbaya sana wa pesa mpaka huwa najiombea Mungu aniongoze

  • @aboymoon9972
    @aboymoon9972 9 місяців тому

    Ahsante sana Kwa elimu Yako nimevutiwa sana na itakufatilia sana🙏🙏

  • @user-vo5df3nu8o
    @user-vo5df3nu8o 9 місяців тому

    Dah,bro nashukulu sana kwa ushauli wako.

  • @julioclauditayaye9368
    @julioclauditayaye9368 Місяць тому

    Kazi njema zote nzuri ubarikiwe

  • @user-di8ox6xz1j
    @user-di8ox6xz1j 3 місяці тому

    Asnt sana mwl kwa mafundisho yako hakika umenibadilishia sana maisha yangu.. mm natumia vikoba

  • @winfridagbcl271
    @winfridagbcl271 Рік тому

    Ahsante Sana kaka mm nilisikiliza hii na Leo NARUDIA tena nilicheza upatu na mwezi huu napokea milion 7 na Laki mbili nikianza mwez wa 12 mwaka 2022. Mpk Sasa ni miezi nane nashukuru Sana na pesa hiyo nakwenda kufungua biashara ya huduma za kifedha.

  • @franciscarsongea7948
    @franciscarsongea7948 3 місяці тому

    Asante Kaka ubarikiwe mambo mengi nshayajua sasa makosa ya matumizi ya pesa niko mayo Dana Sasa nshajua njia

  • @MsumariYacob
    @MsumariYacob Місяць тому

    U made me stronger about money bro

  • @manofgod4471
    @manofgod4471 Рік тому

    Barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @user-ni2cw9tp7d
    @user-ni2cw9tp7d 9 місяців тому +2

    Tremondous amount of respect thank you Mr Nanauka .

  • @MakrinaPius
    @MakrinaPius 3 місяці тому

    Asante sana na ubatikewe🙏🏼

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Рік тому +1

    TANGU NIMEANZA KUKUFUATILIA MITANDAON NA KUNUNUA BAADH YA VITABU VYAKO NMEKUWA MTU NINAYEISHI KWA FURAHA SANA KWASABABU LIPO TUMAIN.
    GOD BLESS YOU MY BROTHER

  • @user-mk7qe1bt8r
    @user-mk7qe1bt8r 8 місяців тому

    Brother ahsanteee sana kwa elimu Yako muhim ya maisha🙏🙏

  • @jerolily
    @jerolily 3 місяці тому

    Asante sana bro .i have learned A lot 🙏🙏

  • @sephaniachaula1030
    @sephaniachaula1030 10 місяців тому

    Nashukuru sana mungu akubarik sana

  • @user-mu9dy4ml5p
    @user-mu9dy4ml5p 6 місяців тому

    Mtumish ahsante Sana najikuta nazidi kubadilika kamaisha kupitia masomoh yako

  • @billuathman4318
    @billuathman4318 Рік тому +2

    Unajitahid kuelezea je kwnn Sasa hutumii mawazo hayo Ili upate pesa Zaid ya kina mo au bakhresa unajuwa kuongea n vyepec action xax n xhida

  • @DionistaMsack
    @DionistaMsack 2 місяці тому

    Asante sana nimepata funzo

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn 11 місяців тому

    Asante kwa somo nimejifunza kitu

  • @CHIKUMARTIN-oc5ic
    @CHIKUMARTIN-oc5ic Місяць тому

    Nimekupenda bule

  • @user-we1wt2kg8m
    @user-we1wt2kg8m Рік тому

    Nakuelewaga sana mwalimu Joel mimi binafsi njia ya vikindi ndo naitumia na naendelea vizuri ila malengo yangu simshirikishi yeyote lakini kuwa peke yangu imenijia vigumu mana kuna mahali nahitaji ushauri ila kwa somo hili nadhani ntaangalia watu ninao wakubali niwashirikishe ili nifikie malengo yangu

  • @user-vd5fe4ve6l
    @user-vd5fe4ve6l 9 місяців тому

    Mungu akulinde uzidikutipatia somo maana daa nakuleewa sana

  • @LilianfelixFelix-wg3wh
    @LilianfelixFelix-wg3wh 6 місяців тому

    Asante sanaa naamini malengu yakununua Gari yatatimiaa

  • @johnmaduhu9435
    @johnmaduhu9435 Рік тому +2

    Asante sana kaka.

  • @HeneryKhamis
    @HeneryKhamis Місяць тому

    asante sana nashukuru

  • @RegnethSangwa-jv6gr
    @RegnethSangwa-jv6gr 10 місяців тому

    Congratulations to you brother,mawazo yako nayatamani sana

  • @zankid9692
    @zankid9692 Рік тому

    Thanks bro nmepatakitu kipya hpo cha "stansting order" be blessed bro🙏

  • @MirajiShekigendar
    @MirajiShekigendar 2 місяці тому

    Ahsante nitaitumia vzr akauti yangu yabenk

  • @mathewmartin4413
    @mathewmartin4413 Рік тому

    Asante sana kaka hakika unanipa hatua Kila Leo ndugu

  • @larkmarsh70
    @larkmarsh70 25 днів тому

    Ahsante sana kaka joel

  • @izacklukumai7658
    @izacklukumai7658 Рік тому +1

    Ubarikiwe san mtumishi wa daah.🤔

  • @naomikubini970
    @naomikubini970 Рік тому

    Kaka Asante Sana unisandia Sana mpaka Sasa nimefanya Mambo ambayo nilikuwa naona siyawezi

  • @MakutaChrispro-lk8gj
    @MakutaChrispro-lk8gj 3 місяці тому

    Kaka Asante sana kwaushauli

  • @Magreth-uk2fq
    @Magreth-uk2fq Рік тому

    Mungu Akubariki Sana

  • @user-gd2qf4ee4n
    @user-gd2qf4ee4n 3 місяці тому

    Dah kaka Allah akubarik maana nishapambana sana bado ila sasa nafata hili somo lako