Ashindwe na alegee kabisa huyo pepo, watanzania hatuna watoto "binadamu chatu" hayo ni mapepo matupu na Mungu anazidi kuwaanika na kuwadhalilisha wote wanaotegemea miungu katika maisha yao na kuwatoa kafara wanao au ndugu zao, asubiri kufilisika kama alizipata mali kupiati huyo mtoto wake chatu. Imekula kwake "Pepo tokaaaaaaaaaaaaaaaaaa" Mrudie Mungu wa kweli akuokoe!
Ashindwe na alegee kabisa huyo pepo, watanzania hatuna watoto "binadamu chatu" hayo ni mapepo matupu na Mungu anazidi kuwaanika na kuwadhalilisha wote wanaotegemea miungu katika maisha yao na kuwatoa kafara wanao au ndugu zao, asubiri kufilisika kama alizipata mali kupiati huyo mtoto wake chatu. Imekula kwake "Pepo tokaaaaaaaaaaaaaaaaaa" Mrudie Mungu wa kweli akuokoe!