HOUSE GIRL EP 31 | S2 | love story💞💕

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 767

  • @Aminah-r4s
    @Aminah-r4s 2 місяці тому +39

    Team strong na team fulusi zawadi ya zuu na kaka Kai harusi imepita salama, Alhamdulilah 🤲❤❤❤🎉❤❤

  • @hissanbakari5231
    @hissanbakari5231 2 місяці тому +30

    Jamani najifunza mengi kwenye hii thamthilia ya house girl shukrana wana busati tv

  • @JacklinebosiboriMomanyi
    @JacklinebosiboriMomanyi 2 місяці тому +287

    Team hamamu, team free wifi team kubhus, kama unawatch house girl ukiwa na laban kwa mkono yenye umeiba gonga like😅😅😅😅😅

    • @prettyney3812
      @prettyney3812 2 місяці тому +7

      😆😆😆😆😆😆😆😆🙌🙌🙌🙌 we nae mpumbavu mwenzangu unatoa siri

    • @JacklinebosiboriMomanyi
      @JacklinebosiboriMomanyi 2 місяці тому

      @@prettyney3812 🤣🤣lazima niseme habib

    • @saidomar3291
      @saidomar3291 2 місяці тому +4

      Jaman mpumbavu mwenzetu mbona tena unavujisha Siri😂😂😂😂 nakwambia bila kuiba utakufa njaa

    • @SabrahNibuka
      @SabrahNibuka 2 місяці тому +5

      Tupooooo

    • @JacklinebosiboriMomanyi
      @JacklinebosiboriMomanyi 2 місяці тому

      @@saidomar3291 hapo Sasa mbumbavu mwenzangu😅

  • @HalmaJuto
    @HalmaJuto 2 місяці тому +27

    Kiukwel inafundisha sana ongereni sana wenye tabia kama candy jaman muache

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v 2 місяці тому +94

    Nimewahi kutoka Kenya 🇰🇪 team strong 💪 team zuu ❤❤babu wa zuu umefanya jambo la maana sana kuwafukuza 🤣🤣halafu sania yatakukuta 😁kma waamni Zatiti ataolewa na Tasha gonga likes tukosonga ❤️❤️🥰🥰🥰🥰

  • @zahraali5113
    @zahraali5113 2 місяці тому +17

    BUSATI TV 📺 HONGERA SANA KWA KAZI ZURI SANA ,,, Naendelea kujifunza vitu vingi sana kupitia nyinyi na pi napata burudani safi kabisa,,, Mungu wa Mbunguni awabariki sana sana. Nawapenda sana wote mliopo busati TV

    • @JeniphaAlfonce
      @JeniphaAlfonce 2 місяці тому

      Sasa hiyo kuongea point watu hawalike ila mijitu ikiomba like wanapewa

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 2 місяці тому +53

    Ambao tunasubiria harusi ya zatiti,,na
    Mr,,,tasha,,,,please gonga,,,like,,tujuane
    😂😂😂😂😂❤

  • @Zaitunrashid-c7q
    @Zaitunrashid-c7q 2 місяці тому +29

    Niwangapi mlikuwa mnaisubri kwa hamu gonga like twende sawa

  • @FaidhaRamadhani-p6i
    @FaidhaRamadhani-p6i 2 місяці тому +7

    Hatimaye ndoa na zuu na kai imepita jmn tusubir yajayo kutoka kwa boss wa kai hongereni sana busati tv m.mungu azidi kuwaongoza vyema najifunza vingi sana kupitia ninyi❤🎉🎉🎉🎉

  • @WinfredKathambi-t4e
    @WinfredKathambi-t4e 2 місяці тому +61

    Tunaotamani dadake chiko amjue masozi tujuane hapa🎉

  • @BenditaAguia-md4qp
    @BenditaAguia-md4qp 2 місяці тому +17

    Nimewahi leo kutoka 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🎉🎉basi naomba like 2 to😢😢

  • @KhadijaDija-ir2hq
    @KhadijaDija-ir2hq 2 місяці тому +9

    Ila damasozi mzuri na sauti yke naikubali sana natamani kila mda aongee

  • @GloriaNekesa-tz3ph
    @GloriaNekesa-tz3ph 2 місяці тому +4

    Asante babu zuu tumefuraia ushauri wako kabisa pia sisi tumejifunza kupitia kwako na mungu akulinde ni Gloria kutoka asante sana

  • @hawaali8371
    @hawaali8371 2 місяці тому +3

    Mashaallah Ndoa Imepita. Tim Zuu🎉🎉

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r 2 місяці тому +11

    Wamebaki na haibu tele wakina cendy madela kama kun'guto la masgine dah!😅😅😅😅

  • @JemimahChiro
    @JemimahChiro 2 місяці тому +8

    Waaaaaaaaa nani ameona cady anaogopa wifi yake naomba like moja bs

  • @BaitaoboyTz987
    @BaitaoboyTz987 2 місяці тому +30

    Mi Leo wa 4 nimechelewa sana naomba like 4 BA's nami

  • @كامليا-ر7ز
    @كامليا-ر7ز 2 місяці тому +87

    Wenye tunasubiri timbwili la daa masozi na rahuma weka like ❤❤

    • @ZuhuraShekoloa
      @ZuhuraShekoloa 2 місяці тому +1

      Hapo Bado hawajajuana kua ni mke mwenzie

    • @ZuhuraShekoloa
      @ZuhuraShekoloa 2 місяці тому +5

      Hapo Bado hawajajuana kua ni mke mwenzie

    • @HellenJoseph-j7t
      @HellenJoseph-j7t 2 місяці тому +2

      Mimi ndo nasubiri ngumi za masosi na rahma 😂

    • @evalyneacheing-ow2ew
      @evalyneacheing-ow2ew 2 місяці тому +2

      Hata mm nasubiri😅😅😅😅😅

    • @SalmaBakari-z8l
      @SalmaBakari-z8l 2 місяці тому +1

      Sio Rahuma na ww ni Rahma mbon unatukan

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 2 місяці тому +11

    Mama tasha umemuona mkwel wako Sania uliyouwa unampambania kingekuramba😂😂😂😂😂😂

  • @Miriamerasmas-rk7nz
    @Miriamerasmas-rk7nz 2 місяці тому +11

    Yaan wif yak na chiko anaakili kama za chiko roooh sumbirini mpigwe tukio ndo mtaelewa

  • @DjFg-ue3pg
    @DjFg-ue3pg 2 місяці тому +20

    Haya wa mwisho naombeni hizo likes

  • @jumabintie
    @jumabintie 2 місяці тому +6

    😂😂Nimependa babu AliVyo Toka na Panga daadekiii.
    Wacha tufinye mpunga sas wachawi gooooh😅

  • @GladysOuma-m9j
    @GladysOuma-m9j 2 місяці тому +6

    Kai na zuu congratulations 🎉🎉👏👏❣️❣️❣️❣️ haikuwa rahisi .babu zuu kazi nzuri kwako kusema ukweli hii busati tv imenifunza vitu mingi sana

  • @KibibiRajabuu
    @KibibiRajabuu 2 місяці тому +7

    Jaman cha kumshaur Kai awenamsimamo tamaa aziwek mbali mnaoungan namm mpo kwa like tafadhar

  • @nowfalsalman9747
    @nowfalsalman9747 2 місяці тому +22

    Nimewahi na mimi jaman naombeni like zangu 🫰🏻

  • @IsmaelOkongo13
    @IsmaelOkongo13 2 місяці тому +9

    Ukigonga comment yangu nakutongaza 😂😂😂🎉🎉🎉

  • @glorryandrea6326
    @glorryandrea6326 2 місяці тому +24

    Wakwanza leo naomben like ata moja wajamen

  • @MiriamSharon
    @MiriamSharon 2 місяці тому +4

    Mwisho wa ubaya n aibu,, I can't wait 😂😂😂

  • @MercySilvester
    @MercySilvester 2 місяці тому +5

    Wabeeee zuuu mkoni mwakaii yani chombo kimkoni wee uogopi

  • @GeorgeAdam-os2vt
    @GeorgeAdam-os2vt 2 місяці тому +3

    My favorite zuu❤️

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna 2 місяці тому +4

    Mashaallah tabarakallah kwa jambo la. Kher,halafu candy Kwan umerudia tn mambo yko aisei 😮😮😮😮huyo n mamako hta akikusema vp kubali,,inshaallah biidhillah twangoja ya Mr Tasha,,karib mjengoni daa zuu n Allah awaepushe n hasad jisikieni huruuu kbs I love you all❤❤❤❤❤❤

  • @EstherSimion
    @EstherSimion 2 місяці тому +20

    Aliyefurahi team kendy kufukuzwa na babu gonga like hapa😂😂😂

  • @syliviaSoyita
    @syliviaSoyita 2 місяці тому +3

    Kazi zenu ni nzuri sana nawapenda wana busati kwa mafunzo mema niwatakie kazi njema na Mola awajalie mzidi kunawiri ktk vipaji vyenu

  • @prettyney3812
    @prettyney3812 2 місяці тому +16

    Asanteni sana wana Busati Tv ila sijapenda mke wa kiramba alivyovaaa😮😮😮

    • @BettyShabbyWey-to6cf
      @BettyShabbyWey-to6cf 2 місяці тому +1

      jmn nmevaa aje tena😥😥

    • @HudhaimaYussuf
      @HudhaimaYussuf 2 місяці тому +1

      Mbona mi cjamuona nimeona uso tu 😂😂😂

    • @prettyney3812
      @prettyney3812 2 місяці тому

      Iy nguo matiti yako wazi si angevaa tu hata ushungi akaficha jmn​@@BettyShabbyWey-to6cf

    • @prettyney3812
      @prettyney3812 2 місяці тому

      Nyonyo lipo wazi kabisa😢😢​@@HudhaimaYussuf

  • @YasmeenKhalifa-zq1zk
    @YasmeenKhalifa-zq1zk 2 місяці тому +3

    Ila jaman sio sir nataman babu yake na mm awe babu yangu anadua nzur sana mashaallah ❤

  • @افااقع
    @افااقع 2 місяці тому +4

    Tasha napenda maneno yako yani yana busara nakupenda sana❤❤❤from kenya🇰🇪🇰🇪

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 2 місяці тому

      Saana tena. Wataendana na Zatiti.

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v 2 місяці тому +104

    Candy na Sania mtashinda kutumiwa mpka mshangae 🤣🤣🤣halafu kma watamani masozi na Rahma wajuane kma ni wake wenza gonga likes tukisonga 😂😂😂😅😅😅

  • @عائشةال-ل6ص
    @عائشةال-ل6ص 2 місяці тому +5

    Mabrouq Kai n zuu❤❤❤

  • @fgfvgggf6993
    @fgfvgggf6993 2 місяці тому +19

    Afadhali team ya candy imetimuliwa harusi ye2 ipite❤❤ vizuri

  • @YusraThomas-cb6ll
    @YusraThomas-cb6ll 2 місяці тому +4

    😂😂😂😂 candy umenishinda tabia daaah yan dk mbili mbele et we mwazan😅,,,,,, nahic kuucheza uhucka huu hata we inakuwia vigumu hongeraaa sana 🎉🎉🎉🎉

    • @MajidMau
      @MajidMau Місяць тому

      Mi nafikir hakuna kinachimuwia ugumu huyo ndo mambo yake

  • @Jenniffer-m9k
    @Jenniffer-m9k 2 місяці тому +2

    🎉🎉🎉wow team zuu n kai munipee like bx nimechelewa lkn nimefika🎉🎉🎉

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 2 місяці тому +3

    Zuu umependeza hubiby❤❤❤❤❤🎉🎉🎉Kenya 🇰🇪 Saudi 🇸🇦

  • @LuleDotto-p9v
    @LuleDotto-p9v 2 місяці тому +3

    Ahsanten kwa kukata kiu yetu jaman tulikuwa tunaisubili kwa hamu sana

  • @Farthun
    @Farthun 2 місяці тому +6

    Candy kweli punguani jamni jina la mama unasema lakutia kinya kweli 🥹🥹🥹🥹🥹🥹nakuonea huruma sana dunia hii utakuja kujuta wewe 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it 2 місяці тому +3

    Uyu wifi yake candy hamnazo eeeh sasaivi hanamuga candy tabia zake😂😂😂😂😂

  • @yassindibwe-sb7mq
    @yassindibwe-sb7mq 2 місяці тому +5

    Ni kweli Kabisa mama huyo anaonekana msanii mzuri sana anae kuja kwa kasi mpk mama ake Candy 🍬🍭 amempa sifa ya kuwa mtt mzuri 😅😅😅❤❤ Candy ww😂😂😂

  • @BeatriceRobi-j5q
    @BeatriceRobi-j5q 2 місяці тому +2

    Wao nimependa vyenye Kai alikuwa amevaa alikuwa ametokakutoka🎉🎉🎉

  • @Thebossmama254
    @Thebossmama254 2 місяці тому +3

    Team gulf hua tunaona kukawilia Kwa kua tuko na WiFi za bure 😊

  • @MymunaMuna-qn5lo
    @MymunaMuna-qn5lo 2 місяці тому +5

    Alhamdulilah shuhulil imepita 😂😂😂😂🎉😂😂😂

  • @ReginaAli-f3d
    @ReginaAli-f3d 2 місяці тому +100

    Ambao mnatamani Rahyma na Masozi wajuwane kama mmeo ni Chisa hili wazinguwane like please 😂😂😂

    • @Farthun
      @Farthun 2 місяці тому

      Sielewi vyarangati litakalo kuwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @HellenHamza
      @HellenHamza 2 місяці тому +1

      Yaani balaa😂cjui itakuaje

    • @irakozeshela1809
      @irakozeshela1809 2 місяці тому

      umewaza kama mimi😂😂😂

    • @RehemaMwakisyala-k9u
      @RehemaMwakisyala-k9u 2 місяці тому

      Aiseee nataman kesho tu itokee

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 2 місяці тому +1

      Yani mimi nilitamani ht pale walipokua wakiongea Masozi na Candy, Rahma awafume. Litokee timbwili.😂😂

  • @SaadaHaroun
    @SaadaHaroun 2 місяці тому +2

    Kwel tabia n kam ngoz haibadiliki loooh candy hatokaa abadlke kamwe 🙌🙌🙌

  • @Tynamnyilis9824
    @Tynamnyilis9824 2 місяці тому +5

    Leo nimewahi mpk kushika nafasi ya kwanza naomben. Like zangu basi❤

  • @AnetiMushii
    @AnetiMushii 2 місяці тому +7

    Jaman nimekua wa kwanza leo naombeni laik ata moja bas

  • @MaryamM-ht4ir
    @MaryamM-ht4ir 2 місяці тому +23

    Ile asali iliyo Lisa kbla ya ndowa leo inaenda liwa ten kwenye ndowa wanao amn hilo gonga like

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 2 місяці тому

      😂😂😂😂😂

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 2 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂🎉❤

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 2 місяці тому +1

      😂😂😂😂😂😂😂🎉❤

    • @Fofo-z6t
      @Fofo-z6t 2 місяці тому

      😂😂Japo walitaka. Kuikula ile cku ucku hivi Malaika ile cku alimuiba zuli ucku walienda kufanya nn😂😂

  • @AisherJuma-d2q
    @AisherJuma-d2q 2 місяці тому +58

    𝐖𝐚𝐩𝐢 𝐤𝐞𝐥𝐞𝐥 𝐤𝐰𝐚 𝐭𝐞𝐚𝐦 𝐳𝐮𝐮 𝐰𝐞𝐞𝐞𝐞𝐞𝐞𝐞𝐡

  • @alexa_info
    @alexa_info 2 місяці тому +41

    Wakwanza leo nipe like zangu🇧🇮🇧🇮

  • @MeryHepnesi
    @MeryHepnesi 2 місяці тому +3

    Tunaosubit ndoa takes mr.Tasha na zatiti wagonge like hapa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AlyahChabanda
    @AlyahChabanda 2 місяці тому +3

    Hahahha mpemba kabadilisha mada ghafla

  • @MutoniAnge-pt4eg
    @MutoniAnge-pt4eg 2 місяці тому +2

    Huu Rahma angejuwa Da Masozi ni mke mwinzie😂😂😂😂😂

  • @IliiKalunda-eq2js
    @IliiKalunda-eq2js 2 місяці тому +2

    Kitu ambacho unafulahisha Kai umechukua watu wanaofiti kwenye nafasi za scripts zao big up kaka mkubwa❤❤❤

  • @YasmeenKhalifa-zq1zk
    @YasmeenKhalifa-zq1zk 2 місяці тому +4

    😂😂nilisema lazima babu yake zuu atoke na panga😂😂😂😂

    • @levinaernest4364
      @levinaernest4364 2 місяці тому

      Itakuwa mnaishi nae jirani una mjua tabia zake😂 😂

    • @dearchotay5569
      @dearchotay5569 2 місяці тому

      Kumbe nin wew vile ndo ulisema Babu atatoka na panga😅😅😅

  • @GhUy-u7s
    @GhUy-u7s 2 місяці тому +2

    Yote kwayote ila umbea balaaa😂😂😂❤❤❤ nawapenda jaman

  • @twinkledestar4277
    @twinkledestar4277 2 місяці тому +4

    Uyo mume sasa akijua kama masozi mchepuko chisaa😂😂😂😂😂 kimeumana

  • @ChristinaMaganga-r8h
    @ChristinaMaganga-r8h 2 місяці тому +1

    Mh shida wee

  • @AishaSalum-j4e
    @AishaSalum-j4e 2 місяці тому +1

    Tim zuuu wap kell😅😅❤❤❤

  • @ShamimAbdul-tf3fw
    @ShamimAbdul-tf3fw 2 місяці тому +3

    Babu. Mashaallah 🎉🎉

  • @AshaNzara
    @AshaNzara 2 місяці тому +3

    Candy ww hizi zako ata si laanaya mama tena ata ya Mungu pia inakutafuna 😂😂😂❤❤🎉🎉🎉🎉

    • @lutfiyahsaidi6666
      @lutfiyahsaidi6666 2 місяці тому

      😂😂😂😂

    • @AshaNzara
      @AshaNzara 2 місяці тому

      @@lutfiyahsaidi6666 amba aliomba msahama tu ivi amerudia tena 😂😂

  • @Sofiashabani780
    @Sofiashabani780 2 місяці тому +4

    Sijachelewa sana na mm niko nyuma yenu 🎉🎉🎉

  • @PaulinaFrancis-l6p
    @PaulinaFrancis-l6p 2 місяці тому +6

    Leo nimewai jmn naombeni like zenu

  • @vesitinarevocatus7333
    @vesitinarevocatus7333 2 місяці тому +3

    Yaani housegirl mmeitendea haki hongereni wana Busati

  • @HonorinaMwajumaAmisi
    @HonorinaMwajumaAmisi 2 місяці тому +2

    Wa mwisho Leo 😂😂🇨🇩🇨🇩

  • @lovenessmichael7098
    @lovenessmichael7098 2 місяці тому +2

    Nimefulahi leo❤😂😂

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 2 місяці тому +2

    Alhabdulilah ndoa ya kai na zuuuu imepita japo maadui ni wengi tunashukulu kwa kazi nzuri na tunajifunza vitu vingi kupitia hii movie ya house girls Asante sana busati TV 📺 ❤❤❤❤❤

  • @Saripa234-u7g
    @Saripa234-u7g 2 місяці тому +1

    Hao mmefukuzwa kwenye shughuli

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani3807 2 місяці тому +5

    Mashallah

  • @zawadichengokatana4750
    @zawadichengokatana4750 2 місяці тому +2

    Kweli sikio la kufa halisikii dawa yani candy mpaka watia huruma kwa hizo tabia zako😢

  • @fadhatbakar3646
    @fadhatbakar3646 2 місяці тому +1

    MashaaAllah babu zuu

  • @MwanaidiNadzuwa
    @MwanaidiNadzuwa 2 місяці тому +1

    😂😂😂😂 kiramba jamen😂😂😂😂

  • @Akimanacedrick-io1yx
    @Akimanacedrick-io1yx 2 місяці тому +2

    Ndoa imepita ongela sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MariamMchomvu-q3s
    @MariamMchomvu-q3s 2 місяці тому +2

    P
    Kelele ya kwanza kwa zuu wake weeeeeeeh ❤

  • @zuwenamajaaliwa1353
    @zuwenamajaaliwa1353 2 місяці тому +5

    Team zuu tupoooo harusi imeisha

  • @NzikobanyankaAmida
    @NzikobanyankaAmida 13 днів тому

    Mashallah Allah awapanulie ilimu

  • @hffh7717
    @hffh7717 2 місяці тому +2

    Sema on you mschana mwenye ana tabiakendi

  • @MaryPendo-gy4yr
    @MaryPendo-gy4yr 2 місяці тому +2

    Mr.Tasha na zatiti aki mmependezana

  • @fayojarso3777
    @fayojarso3777 2 місяці тому +1

    Kai hi movie iendelee mpaka tasha na zatiti wafunge ndoa plz,

  • @jaliamartinz
    @jaliamartinz 2 місяці тому +10

    Team zuu 🎉🎉🎉❤❤

  • @MarthaMlimba-v9q
    @MarthaMlimba-v9q 2 місяці тому +1

    Wateja nauza sambusa na vibama nipo tz hapaa mniungishee house girl hpo tu jaman😢😢😢😢

  • @SbahHiai
    @SbahHiai 2 місяці тому +1

    Pinga kelele kwa Timu zuuu na kai❤❤❤❤❤

  • @TONNYBOYMSAFI
    @TONNYBOYMSAFI 2 місяці тому +3

    Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪.

  • @SamiraNjira
    @SamiraNjira 2 місяці тому +1

    Basi Kai bwan arusi ww huo mdomo huchoki kuubinyua 😂😂

  • @JoyceMangare
    @JoyceMangare 2 місяці тому

    Mnastahili maua yenu mov iko vizur na waigizaji wote wamekaa mahalipake 🎉🎉🎉❤❤❤

  • @Saidahkims
    @Saidahkims 2 місяці тому +6

    Sema kuwagoja wueh wakwanza nipewe ata likes 2

  • @bahatisimba
    @bahatisimba 2 місяці тому +3

    Sikio la kufa candy 😂

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi 2 місяці тому +8

    Wapiri reo nipen lak bas ❤❤❤❤🎉🎉😂

  • @ZabibusuphianialisuphianiAlly
    @ZabibusuphianialisuphianiAlly 2 місяці тому +2

    Duh hampoi aki wa mwisho mm😂😂🎉🎉❤❤❤

  • @حليمهالبلوشي-ز5ث
    @حليمهالبلوشي-ز5ث 2 місяці тому +1

    ❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂ama kweli muguwa kicha macho mekundu aya kosi

  • @ZenaAfreka
    @ZenaAfreka 2 місяці тому +1

    kumbe babu safi sana kuwatimua hao wagomvi na roho zinawauma khai kuowa 😅😅😅😅

  • @FaridaFarida4
    @FaridaFarida4 2 місяці тому +5

    Mpemba kubadilisha mada

  • @AshaWato
    @AshaWato 2 місяці тому +2

    Weeeh Leo nimehawa jaman 🎉🎉

  • @ShamimAbdul-tf3fw
    @ShamimAbdul-tf3fw 2 місяці тому +9

    Kiramba ukiongea punguza maneno mengi bhan