- 26
- 146 216
MASHAIRI YA MWAMBAO
Приєднався 29 бер 2020
🇹🇿Aliy Samson🇹🇿
Відео
SHAIRI: KINYAGO CHA MPAPURE
Переглядів 3008 місяців тому
MTUNZI: ALIY SAMSON MGHANI: MARIAM PHONE:0687297267
SHAIRI: KAKATAA KATA KATA KUSWALI RAKAA TENI
Переглядів 3038 місяців тому
Mtunzi: Aliy Samson Mghani: Hamad Khatib Faki Phone: 0687297267 & 0655224644
SHAIRI, NENDA UKAISHI NAE
Переглядів 1608 місяців тому
mtunzi:Aliy samson(mtunzi kinda) mghani: Maya makame
ZIRO KASOROBO AKIWAPA VIDONGE VYAO MAWIFI
Переглядів 1878 місяців тому
ukihitaji utenzi au shairi wasiliana na sisi kwa namba zilizopo hapo chini 0687297267
ziro kasorobo akilumbana na mwana kindengereko
Переглядів 2209 місяців тому
ziro kasorobo akilumbana na mwana kindengereko
Shairi :kijiti mwilini
Переглядів 1,6 тис.2 роки тому
Shairi la kijiti mwilini Mtunzi:Aliy Samson(mtunzi kinda) Kwaalamsha kidarajani(Zanzibar) Phone:0655224644
UTENZI WA MAJIBU WA KISA CHA MAMA ALIEZINI NA MWANAWE
Переглядів 13 тис.2 роки тому
Mtunzi Aliy Samson(mtunzi kinda) kwaalamsha kidarajani (Zanzibar) phone:0655224644
UTENZI WA MAMA ALIEZINI NA MWANAWE SEHEMU YA PILI
Переглядів 6 тис.2 роки тому
Mtunzi Khamadi Ali Kombo (Dr mshiko) Magomeni Zanzibar 0655224644
UTENZI WA MAMA ALIEZINI NA MWANAWE SEHEMU YA KWANZA
Переглядів 1,9 тис.2 роки тому
Mtunzi suleiman Amour(Ngozi) Wete mchanga mdogo 0655224644
SHAIRI LA: LAITI
Переглядів 1,8 тис.2 роки тому
Mtunzi :Aliy Samson(mtunzi kinda) mghani:Maya Baby phone:0655224644
Shairi zuri la mtoto akimlilia mama ake na kumuombea dua baada ya kumzaa na kufariki
Переглядів 12 тис.2 роки тому
mtunzi Aliy samson(mtunzi kinda) Kwaalimsha kidarajani Unguja Zanzibar phone 0655224644 & 0687297267
SHAIRI LA AMENIHAMA KITANDA SABABU PESA YA DIRA
Переглядів 9 тис.2 роки тому
SHAIRI LA AMENIHAMA KITANDA SABABU PESA YA DIRA
hayaa bila d mbili hatutoboiii
Mashaallah
Uwa naenjoy Sana mashair nnapockiliza
😂😂😂 pole
Shairi zuri sana
@@muhakutv9503 asante
Kwa vile unakitumia wewe wala usikitoe
Mbonaa mmeweka shamba la bangi
Subhanna Llah..
Anamaanisha kaoa mke sio bikra
Kweli dada wanatutesa sana walio tangulia kwenye ndowa 😢😢😢😢😢😢
Yani kaoa mke aso bikra
Mashaalaah shairi nzuri sana nimeipenda sana kaka nimechukua namba zako nitakutafuta
Sawa inshaallah
Maasha allah yatatu pia toa
Mashaallah
Pole
Mashaallah ❤️
Hilo ni fumbo mpeni jibu
SHAIRI TAMU SANA, SAUTI TAMU SANA, HONGERA.
Shukran sana kak
Hongera kijanaa
Nazi uliichaguwa chunguni ukaitowa Kwa yakini ulijuwa hiyo ndo ya kuchukuwa Changa nazi ilikuwa katu haikuwa sawa Kwa zama zetu sasa koroma imekuwa nazi
Zama zinabadilika si hisia wala dhana Mbali masafa hufika Usiku huwa mchana. Wewe utafadhaika ukithubutu kukana Kwa zama zetu za sasa koroma mekuwa nazi
Nazi ilio koleni hupea na kuja chini Waliheshimu wahuni kutosogea pembeni Sasa zote za koleni shida kudondoka chini Kaa ukijitambu koroma sasa ni nazi
Minazi ilinawiri ya miji na vijijini Na wakulima kwa ari hadi nchi za jirani Waliweka tahadhari kwa minazi ya njiani Ishi vyema ukijuwa sasa koroma ndo nazi
Minazi ilijazia nazi na madafu pia Zilipea za Diria na makumbi kupikia Kipande hutozidia chakula kusarifia Kaka is ishi ukijuwa koroma sasa ni nazi
Mruhusu aswali mpaka rakaa 4😂
Subuhana Allah katawaliwa nabilisi
❤❤❤
Sanaa
Nini.?
Kaka ali kongole...mid man kutoka uroa hapa
Asant sana
Shairi shati la kuazima 1:05
Kongole kaka ali
Asante
mashallah ❤
Kitasa kila funguo kinafunguwa wazee wameona
Shairi bomba hiyo
Nazi koroma😂umepata hasara😂
Masha Allah ila naomba mutupe vitu vya Mr ZERO KASOROBO
Mashallah
Assalaam alaykum, samahani naomba shairi lile la mtu na mke wake waliozini bila kujuana
waalaikum salam mbn kimo ktk akaunti hii andika kisa cha mama aliezini na mwanawe sehemu ya kwanza
"Yule mwanaume alie olewa mke bila kumuona na mwanamke bila kujuana na muumewe, wakati mume ametoka safari yake wakakutana na mke wake bila kujua kwamba ni mkewe, wakaongea mawili matatu mwisho wakafanya mapenzi. Baadae wakaagana, mume anafika kwao anaambiwa mke wako huyo hapo na ndie walikutana kule mjini wakafanya waliyoyafanya, suali likaja je hili lilikua tendo la ndoa au ilikua zinaa?" Utenzi huo ndio ninaouulizia, nitangulize samahani kwa usumbufu
saw nitajitahid kukutafutia
shairi nzuri mno!
asant
Maashaallah muendelezo jamani
Ally Samson........tenz zake zote hunikoshag
asante
Kijiti mnh
mhh nin kak mohamed
Mashalah... Pole kwa kununuwa shardufu
Kaka mie nikiyataka mashairi yako yote unitumie nifanye vp mim ni mshabiki wako sana
nitafute kwa namba ya whatssap 0655224644 utayapata
Kiukweli mie nayapenda mashairi yako yote
asant kazi nyengine zipo njiani
Dah ili shairi ni noma Sana🇻🇮💯💯💯💯
shukran kaka
Mashaallah
Maya nitumie mawasiliano yako unaweza fatilia channel ya yangu malenga mtulivu
Mashaallah tabarak rahman
Shairi zuriii
Shairi zuri
Kijiti ichoo
Namuomba allah amrehemu shekhe husen hassan, amin.
Safi sanaa