Ahi kigufa
Ahi kigufa
  • 23
  • 23 944

Відео

HUHITAJI KUTUMIA DAWA KWA MFUMO HUU. Sehemu ya pili
Переглядів 41512 годин тому
HUHITAJI KUTUMIA DAWA KWA MFUMO HUU. Sehemu ya pili
sehemu ya pili: MILIKI KUKU ZAIDI YA 600 KWA MWAKA kwa kutumia fomula hii
Переглядів 58316 годин тому
Kwa wale ambao hawajaangalia video ya kwanza. Boyeza link hii. ua-cam.com/video/uQ8jCm5Aj7c/v-deo.htmlsi=JoO8LF-X_n946qmv
MILIKI KUKU ZAIDI YA 600 KWA MWAKA kwa kutumia fomula hii
Переглядів 14 тис.День тому
MILIKI KUKU ZAIDI YA 600 KWA MWAKA kwa kutumia fomula hii
HUHITAJI KUTUMIA MADAWA TENA KWA MFUMO HUU. Sehemu ya kwanza
Переглядів 11421 день тому
HUHITAJI KUTUMIA MADAWA TENA KWA MFUMO HUU. Sehemu ya kwanza
JE, TUNAWEZA KUTUMIA HII TEKNOLOJIA?
Переглядів 43321 день тому
JE, TUNAWEZA KUTUMIA HII TEKNOLOJIA?
MATOKEO BORA YA KUKU WAKO HUANZIA HAPA
Переглядів 17328 днів тому
MATOKEO BORA YA KUKU WAKO HUANZIA HAPA
FANYA HIVI KUEPUSHA VIFO KWA VIFARANGA.
Переглядів 5 тис.Місяць тому
FANYA HIVI KUEPUSHA VIFO KWA VIFARANGA.
NAMNA YA KUTAFUTA CHICKEN UNIFORMITY (USAWA WA KUKU)
Переглядів 75Місяць тому
NAMNA YA KUTAFUTA CHICKEN UNIFORMITY (USAWA WA KUKU)
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA VENT GLEET
Переглядів 287Місяць тому
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA VENT GLEET
UFUKIZAJI BANDANI KABLA YA KUWEKA VIFARANGA
Переглядів 203Місяць тому
Hii hufanyika ili kudhibiti vimelea sehem ambazo usafi haukufika au kufanyika vizur
TAZAMA MATUNDA YANAVYOFANYA KAZI KWA KUKU
Переглядів 390Місяць тому
Moja kati ya chanzo kikubwa cha vitamins ni matunda na mbogambog. Kwaiyo wapatie kuku wako kwa afya zaid
NAMNA YA KUNING'INIZA DRINKER NA FEEDER BANDANI KISASA
Переглядів 1292 місяці тому
NAMNA YA KUNING'INIZA DRINKER NA FEEDER BANDANI KISASA
PUNGUZA GHARAMA KWA KUWAPA VITAMIN YA ASILI
Переглядів 3602 місяці тому
mbogamboga ni shemeh ya vitamin, punguza gharama kwa kwapa majani
Experiencing african agriculture
Переглядів 62 місяці тому
ufugaji ni asili yetu.
Maisha bora ya vifaranga@ahikigufa
Переглядів 332 місяці тому
Maisha bora ya vifaranga@ahikigufa
VYOMBO KWA AJILI YA VIFARANGA
Переглядів 7243 місяці тому
VYOMBO KWA AJILI YA VIFARANGA
NAMNA YA KUUPA UELEKEO MMEA WA PASSION/KAKARA
Переглядів 269 місяців тому
NAMNA YA KUUPA UELEKEO MMEA WA PASSION/KAKARA
NAMNA YA KUWAHAKIKISHIA KUKU WAKO MAJI SAFI NA SALAMA
Переглядів 6711 місяців тому
NAMNA YA KUWAHAKIKISHIA KUKU WAKO MAJI SAFI NA SALAMA
EPUKA MAZINGIRA HAYA YA MSONGO (STRESS) KWA KUKU WAKO
Переглядів 73Рік тому
EPUKA MAZINGIRA HAYA YA MSONGO (STRESS) KWA KUKU WAKO
JINSI YA KUTIBU KUKU WAKO
Переглядів 65Рік тому
JINSI YA KUTIBU KUKU WAKO
CHANZO CHA JOTO KWA VIFARANGA
Переглядів 135Рік тому
CHANZO CHA JOTO KWA VIFARANGA

КОМЕНТАРІ

  • @JoelSese-qr1rv
    @JoelSese-qr1rv 11 годин тому

    Asanteeee kwa somo naomba uniutumie nmba yako kama hautojali lkn

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 11 годин тому

      @@JoelSese-qr1rv 0752682127

  • @karimmakweta3530
    @karimmakweta3530 День тому

    Naweza kupata no yako ya simu

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa День тому

      @@karimmakweta3530 0752682127

  • @FaridaMbua
    @FaridaMbua 2 дні тому

    Asante kwa somo zuri.

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa День тому

      @@FaridaMbua ahsante Karibu

  • @silveramujuni5246
    @silveramujuni5246 2 дні тому

    Hi elimu ni bora sana kibiashara

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 2 дні тому

      @@silveramujuni5246 karibu

  • @ChartyMpepo
    @ChartyMpepo 3 дні тому

    Vipi nikiaza na majike 10 na dume 1 banda lake linatakiwa ukubwa gani?

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 2 дні тому

      @@ChartyMpepo Ukubwa wa banda unategemea na aina ya kuku, mfumo unaotumia kufuga (ndani nusu huria au huria), idadi yao n.k Kwa kuku mmoja wa kienyeji anaefugwa kwa mfumo wa huria (nje) anahitaji nafasi ya futi za mraba 2 hadi 4 Yaani 0.6 - 1.2 metre square kwa kuku mmoja. Au sentimita 60 - 120 za mraba kwa kuku mmoja. Ili kupata nafasi ya idadi ya kuku ulionao au unaohitaji kuwafuga yapasa kuchuku mita 0.6 kwa kuku 1 × idadi ya kuku Mfano 0.6 × 10 = 6 mita za mraba Kwaiyo banda lako laweza kuwa na Upana mita 2 na urefu mita 3 Ahsante na karibu.

    • @ChartyMpepo
      @ChartyMpepo 2 дні тому

      @Ahikigufa nashukuru

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 2 дні тому

      @ChartyMpepo shukran pia.

  • @Ahikigufa
    @Ahikigufa 3 дні тому

    LINK YA VIDEO SEHEMU YA KWANZA ua-cam.com/video/uQ8jCm5Aj7c/v-deo.htmlsi=gajmqE5Wuq0nM_22

  • @SurprisedCaptainHat-my4tw
    @SurprisedCaptainHat-my4tw 5 днів тому

    Kaka nashkul xaan

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 4 дні тому

      @@SurprisedCaptainHat-my4tw shukran sana. Karibu

  • @elimbotoraphael3940
    @elimbotoraphael3940 6 днів тому

    Elimu nzuri na inahamasisha ila siyo rahisi hivyo. Hao vifaranga kuwalea tofauti tofauti ni changamoto sana kwa mtu mwenye mtaji mdogo na eneo dogo.inawezekana ila waweza kuchanganyikiwa akili!kila mwezi ule vifaranga wapya!bado wengine wanakusubiria!njia rahisi ni kununua hao vifaranga wote na kuwalea kwa pamoja.

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 6 днів тому

      ​@@elimbotoraphael3940 Shukrani ni wazo zuri, la kujenga na kuboresha, Naamini pia katika uthubutu na nia thabiti ya kujitoa kikamilifu katika jambo lako.

  • @carenhilary8067
    @carenhilary8067 6 днів тому

    Good

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 6 днів тому

      @@carenhilary8067 thanks

  • @evancem4366
    @evancem4366 6 днів тому

    Me wezi ndo wananirudisha nyuma

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 4 дні тому

      Aisee pole sana. Ni kweli hiyo ni changamoto kubwa sana na kuna wakati inakatisha tamaa. Hasa unafikiria level uliyokuwa umefikia, jasho, damu na machozi uliyomwaga kufika hapo. Ni kutie moyo kwa mara nyingine kwa kutokata tamaa, kikubwa ni kujifunza kwa kila kosa na changamoto inayokukabili kisha kutafuta suluhisho la kudumu. Sijajua mazingira yako yakoje, ila naimani MBWA anaweza kuwa moja kati ya suluhisho.

  • @ShukrathAbeid
    @ShukrathAbeid 7 днів тому

    Ahii samahani naomba namba yako

  • @swaumuramadhani-g7e
    @swaumuramadhani-g7e 7 днів тому

    Somo zuri Asante sana

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 7 днів тому

      @@swaumuramadhani-g7e shukran sana.

  • @HilaryMassawe-y7s
    @HilaryMassawe-y7s 7 днів тому

    Nice 👍 idea

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 7 днів тому

      @@HilaryMassawe-y7s thank you

  • @amanichaula1
    @amanichaula1 7 днів тому

    Kaka namba yako kwa maelezo zaidi

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 7 днів тому

      @@amanichaula1 0752682127 WhatsApp/normal call/Messages

  • @emmiemmi3861
    @emmiemmi3861 7 днів тому

    Asante

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 7 днів тому

      @@emmiemmi3861 karibu

  • @PaulSangayon
    @PaulSangayon 7 днів тому

    Hongera sana. Asante kwa elimu

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 7 днів тому

      @@PaulSangayon shukran sana

  • @SalahMulekezi
    @SalahMulekezi 7 днів тому

    Asante

  • @HappynessFuss-f8q
    @HappynessFuss-f8q 8 днів тому

    Elimu nzuri sana natamani kufuga

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 8 днів тому

      @@HappynessFuss-f8q hongera na karibu sana. Kupitia channel hii, itakuwa ni sababu ya kuanza ufugaji na kukua zaid

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 8 днів тому

    Asante kuniunga mkono kwa mawazo yangu

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 8 днів тому

      @@abidandastanmaliyatabu1373 karibu

  • @CHARLYASSEY
    @CHARLYASSEY 9 днів тому

    Nahtaj sana elm iyoooo

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 9 днів тому

      @@CHARLYASSEY tuko pamoja, endelea kufuatilia mtitiriko wa maudhui yangu, naimani elimu unayoihitaji utaipata

  • @DanielMbena
    @DanielMbena 9 днів тому

    Mayai yanatakiwa yatotolewe baada ya mda gani?

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 9 днів тому

      @@DanielMbena Iwe ni kuku kaatamia au umeweka kwenye mashine mayai huanza kuanguliwa au kutotolewa baada ya siku 19 - 23 ambayo wastani ni siku 21.

    • @DanielMbena
      @DanielMbena 9 днів тому

      @Ahikigufa Yani maana yangu ili mayai yatotoleke toka yatagwe yanatakiwa yakae siku ngapi ili yawe yanafaa kutotoleka?

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 8 днів тому

      @DanielMbena ni siku 14 kwa maan wiki mbili. Ila yakikaa siku 12 yanaleta matokeo bora zaidi. Zaidi ya hapo kaa tayari kwa video inayofuata nimeeleza yote hayo.

  • @jestinasimon4130
    @jestinasimon4130 9 днів тому

    Elimu nzuri ubarikiwe

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 9 днів тому

      @@jestinasimon4130 shukran sana, tubarikiwe sote

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 6 днів тому

      @@jestinasimon4130 Amina, tubarikiwe sote

  • @geralddeus1434
    @geralddeus1434 9 днів тому

    🔥🔥👍

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 9 днів тому

      @@geralddeus1434 🔥🔥🔥

  • @allytayari3938
    @allytayari3938 10 днів тому

    Kazi safi kaka Asante

  • @stephenmuli-j4q
    @stephenmuli-j4q 27 днів тому

    Ujumbe muhimu,ongera

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 26 днів тому

      @@stephenmuli-j4q shukran sana

    • @filipinadaud885
      @filipinadaud885 23 дні тому

      BARIKIWA SANA ELIMU NZURI

    • @Ahikigufa
      @Ahikigufa 23 дні тому

      @@filipinadaud885 shukran sana. Tubarikiwe sote.

  • @kahekesaid6909
    @kahekesaid6909 2 місяці тому

    Hongera somo limeeleweka