sirlymm abersy
sirlymm abersy
  • 88
  • 191 684

Відео

uharamu wa Mpira na betting(kamari)sheikh Salim bafadhili hafidhahullah.
Переглядів 542 роки тому
Sheikh Salim bafaadhil hafidhahullah.
mtoto wa zinaa babake ni nani?sheikh qassim mafuta.
Переглядів 1012 роки тому
sheikh qassim mafuta hafidhahullah.
ufafanuzi kuhusu mwandamo wa mwezi.. sheikh qassim mafuta.
Переглядів 8362 роки тому
sheikh qassim mafuta hafidhahullah.
duniani si mahali pakufurahi moja kwa moja.. sheikh qassim mafuta.
Переглядів 362 роки тому
sheikh qassim mafuta hafidhahullah.
Kutafuta dunia
Переглядів 3405 років тому
Sheikh abuu khawla
Sheikh qassim mafuta-siku ya arafah.
Переглядів 6 тис.6 років тому
Je siku ya arafah ni kule makka tu.
Sheikh qassim mafuta-wanawake wa sikuhizi
Переглядів 6 тис.7 років тому
Wanawake wa kileo
Sheikh qassim mafuta-ukumbusho Xmas.
Переглядів 6927 років тому
Sheikh qassim mafuta-ukumbusho Xmas.
Sheikh salim bafadhili
Переглядів 6568 років тому
Bid'aa na athari zake
umuhimu wa swalat witr
Переглядів 2309 років тому
umuhimu wa swalat witr
madhambi yanavyo ifunga rizki zako
Переглядів 4279 років тому
madhambi yanavyo ifunga rizki zako
waislamu wenzetu wanateseka kwa njaa
Переглядів 899 років тому
waislamu wenzetu wanateseka kwa njaa
wema kwa wazazi wawili
Переглядів 3109 років тому
wema kwa wazazi wawili
uzushi wa message za kiislamu
Переглядів 1179 років тому
uzushi wa message za kiislamu
kujichunga na hasad na shari za wanadamu
Переглядів 1199 років тому
kujichunga na hasad na shari za wanadamu
surat alfajr na tarjuma ya kiswahili
Переглядів 2449 років тому
surat alfajr na tarjuma ya kiswahili
kisa cha ukwel kizuri kuhusu wazazi
Переглядів 2109 років тому
kisa cha ukwel kizuri kuhusu wazazi
umbo la mtume sallahu aleyhi wassalam-English
Переглядів 589 років тому
umbo la mtume sallahu aleyhi wassalam-English
ukumbusho mzuri wa kujiepusha na marafiki wabaya
Переглядів 3289 років тому
ukumbusho mzuri wa kujiepusha na marafiki wabaya
hata kama uko busy usiiache Quran
Переглядів 1299 років тому
hata kama uko busy usiiache Quran
ukumbusho kwa wanaopuuza swala
Переглядів 1819 років тому
ukumbusho kwa wanaopuuza swala
kusuhubiana(ukaribu)na watu wema faida zake
Переглядів 909 років тому
kusuhubiana(ukaribu)na watu wema faida zake
dua nzur iliyosomwa na sheikh maher Almuaiqly
Переглядів 2239 років тому
dua nzur iliyosomwa na sheikh maher Almuaiqly
ukumbusho kwa magaidi(khawarij)
Переглядів 1929 років тому
ukumbusho kwa magaidi(khawarij)
pls tazama video hii Allah atakulipa inshaAllah
Переглядів 529 років тому
pls tazama video hii Allah atakulipa inshaAllah
kumdhania Allah kheri jallah jalaaluh
Переглядів 469 років тому
kumdhania Allah kheri jallah jalaaluh
kisa cha ukweli kizuri
Переглядів 2729 років тому
kisa cha ukweli kizuri
imetafsiriwa-ukumbusho wa wenye kuacha swala
Переглядів 1 тис.9 років тому
imetafsiriwa-ukumbusho wa wenye kuacha swala
ukitaka kumuasi Allah fata masharti haya
Переглядів 799 років тому
ukitaka kumuasi Allah fata masharti haya

КОМЕНТАРІ

  • @maawymuhammad6779
    @maawymuhammad6779 Рік тому

    Mbona hadithi inayosema صوم يوم عرفة Haiko katika mlango wa hajj??? Hii ni dalili tosha ya kuonesha kwamba swaum ya arafah haina mafungamano hata kidogo na hajj!?!?!? Lakini kwa kuwa huu qaasim mafuta jeuri la tanzania na jitu ambalo halkusoma laketi likipotosha watu!!!! KASOME KASOME KASOME!!!!!!!!!!!!!

  • @AbuuRayhan
    @AbuuRayhan Рік тому

    Mulieee maasufy shekhe qassim kiboko yahoo.jazakallahu khairaaa

  • @fatimeally4332
    @fatimeally4332 2 роки тому

    Jazakalhah just tunakuelewa sana

  • @rashidsaid1092
    @rashidsaid1092 2 роки тому

    Mhh walioko tofauti na Makkah wao mungu kawaepusha na fadhila za arafa??

  • @allymbarouk9983
    @allymbarouk9983 2 роки тому

    MAA SHAA LLAAH

  • @abiabi9353
    @abiabi9353 2 роки тому

    Sheikh mafuta mwezako kazungumza kielimu tena kwa utulivu sasa wewe unabwatabwata tu.tukueleweje

  • @athumanbakari3598
    @athumanbakari3598 3 роки тому

    Mashallah faida kubwa inapatikana

  • @bimkubwamohdabdalla6512
    @bimkubwamohdabdalla6512 3 роки тому

    Mashaa Allah

  • @yahayaaraisi9455
    @yahayaaraisi9455 3 роки тому

    Allaha akubari shekhe tunakuelewa

  • @allymrushaka7637
    @allymrushaka7637 3 роки тому

    Mashallhaa

  • @kabwangaselemani5228
    @kabwangaselemani5228 3 роки тому

    Sikiliza clip ya Shekhe Ahmad wa Kenya kisha ndio umjibu haps hoja zako shekhe hazina mashiko

  • @kabwangaselemani5228
    @kabwangaselemani5228 3 роки тому

    Shekhe Ahmedi wa Kenya ana hoja nzito wewe shekhe hoja zako ni nyepesi mno ushahidi wako ni ujanja ujanja

  • @suleimannull3679
    @suleimannull3679 3 роки тому

    Mashallah

  • @ahmedjuma2674
    @ahmedjuma2674 3 роки тому

    Mm naacha mojakwamoja

  • @salafikenya3530
    @salafikenya3530 4 роки тому

    Allah amuongoze Hizbiy huyu kadhab kwa Talbis anazozifanya na fitnah, pamoja na kugawanyisha safu za waislamu.. الله المستعان

    • @ahmedmwakabulufu315
      @ahmedmwakabulufu315 Рік тому

      Hajawira mnatabu sana . kwanzia koment ya kwanza watu wanamuombea hifadhi kwa Allah alafu wewe unamwita shekhy et hiziby tena mwongo anagawa safu ya waisilamu waisilamu wepi unaowakusudia hapo mche Allah wewe

  • @aminaseif7237
    @aminaseif7237 4 роки тому

    Mashaalah Allah akujaalie kher

  • @abdallahmoussa614
    @abdallahmoussa614 4 роки тому

    JazakAllahu kheir Allah akuhifadhi popote ulipo

  • @idrissahamad5791
    @idrissahamad5791 4 роки тому

    ما شاءالله

  • @aishakhalfan4940
    @aishakhalfan4940 4 роки тому

    Asante

  • @mhrmahir3756
    @mhrmahir3756 4 роки тому

    bafadhil mbona haonekani

  • @twayibmood7319
    @twayibmood7319 4 роки тому

    We pekeyako ndo uloongoka kaka Kila mtu hafai na kila mtu hajasoma peke yako ndo ulosoma

  • @butoyihussein2130
    @butoyihussein2130 4 роки тому

    Hafidhahullaah

  • @sleemhamoud1849
    @sleemhamoud1849 5 років тому

    INAHUZUNISHA DHEHEBU JIPYA TUWALEWEJE. Sasa nyie watu wa dhehebu jipya mnaelekea wapi, mmewatoa waislamu kwenye uongofu kwa kuwaita hivi kundi potofu kila anaetofatiana na nyinyi kiufahamu (فرقة الظالمة) mkabaki wenyewe na kujinasibisha na uokovu (فرقة الناجية). Sasa tena naona mnaanza kubaguana tena nyinyi kwa nyinyi mliokoka (فرقة الناجية). sasa najiuliza kwa hawa wanayojiita manhaj salafy hapa Tanzania tu kuna makundi sita kama sio zaidi. Na kila moja ndio linajiona ndio manhaj salafy safi, sasa Hebu tuambieni na msafi nani nani mchafu.? Mimi Nitakuwa hakimu maana mnakoelekea yatafika sabini na tatu hapa Tanzania tu. Na tusipowasaidia mtaharibikiwa zaidi. Hebu mtuambie mzozo uko wapi, tuwasuluhishe kisha tuwape ufahamu safi wa Uislamu. Nimeletewa haya makundi ni haya yafuatayo. 🤜YAJUE MAKUNDI YA ' MAJADIDA' YANAYOPARUANA NA KUTOANA KWENYE MANHAJ YA SALAF YALIYOPO HAPA NCHINI TANZANIA : 🤛 1- Kundi la Mafuta (Baraamika) lililopo Pongwe. 2-Kundi la Abu Musw'ab (Baraamika) , lilopo Kigamboni. 3- Kundi la Abdallah Muhsin (Baraamika) lililopo Ilala -mtaa wa Morogoro. Hili limemuasi Mafuta kwa kumwitwa Shekhe wa Bakwata na akatia Mawaidha ya kulingania Umoja Feki ambae ni Rafiki wa Mashia. 4-Kundi la Abu Haatim Abdallah Makarate (Hajaawira) , lilopo Bomang'ombe. 5-Kundi la Abu Abul-Yamani Al-Maswqary kutoka Yemen (Hajaawira) - lillopo Masjid Albaany - Buguruni. 6- Kundi ka Abu Muaawiyah (Fuyuushiyuun) lilopo Zanzibar. 7- Kundi ka Mbwana Abdi (Braamika) kutoka Pangani, hili ni kundi limeng'ng'ania kubaki katika Kundi la Mafuta pamoja na kwamba mwenye kundi lake ameshawapa Red card na kuwatoa kwenye Manhaj ya Usalafi kwa sababu mbili kubwa : 8-kundi la Salim Barahiyan khawareej (Tanga)hili kundi kila asiye towa msaada markaz yake hupigwa red card: Kwanza, hawakusoma kwenye Markaz za Kisalafi kwa hiyo usalafi wameutoa wapi? Pili, Wanadhani Usalafi ni kumkandia Kishki tu? mbona hamtaji Sheikh Ally Zubeir ambae ni Mhizby Mwalimu wa Chuo cha Kihizby cha Boraska hana tofauti na Kishki, kundi hili pia limemuingiza Abdurahman wa Mlalo Lushoto ambae amesoma Boraska na Cho cha Masufi huko Sudan huo usalafy kautoa wapi?. Na haya ndio matokeo ya kupenda kufarakishanisha ummah na kujiona watukufu, mwisho huwa ni nyinyi kwa nyinyi. NIMENUKUU KAMA NILIVYOIKUTA

    • @rusikilawilo657
      @rusikilawilo657 4 роки тому

      Sikiliza anachokiongea no sahihi au sio tofuti katika kujenga ni kawaidah

  • @rashidomar3735
    @rashidomar3735 5 років тому

    Mashallah

    • @mordechaibrysen3883
      @mordechaibrysen3883 3 роки тому

      i know I am kinda randomly asking but does anyone know of a good website to stream newly released movies online ?

    • @canaanbrixton6712
      @canaanbrixton6712 3 роки тому

      @Mordechai Brysen flixportal

    • @mordechaibrysen3883
      @mordechaibrysen3883 3 роки тому

      @Canaan Brixton Thank you, signed up and it seems like they got a lot of movies there =) I appreciate it !

    • @canaanbrixton6712
      @canaanbrixton6712 3 роки тому

      @Mordechai Brysen happy to help xD

  • @rishedyhamad9562
    @rishedyhamad9562 5 років тому

    Swadakta

  • @mrtezura9753
    @mrtezura9753 5 років тому

    Sauti ya sheh wamwisho nnani huyu?

  • @abdalahmtula3639
    @abdalahmtula3639 5 років тому

    Huyu kasimu mawese ana tatizo eti anajitutumua kumjibu shekh aweis! Anajikanyaga tu hoja za aweis ni nzito mno!

    • @adamjutto5849
      @adamjutto5849 4 роки тому

      Ahhaahha aweso muongo,sema we hujafatilia tu

    • @adamjutto5849
      @adamjutto5849 3 роки тому

      Aweso kashakosolewa na qaasim kwa hojjah za kiume,kuhusu mas-ala ya maulid,na mas-ala ya baba wa mtume

    • @ummukhudhayfahzubeirzubeir4998
      @ummukhudhayfahzubeirzubeir4998 Рік тому

      Unajidanganya ww apo kaa kitako chini usome kwanza

  • @alqayyisumatanda4316
    @alqayyisumatanda4316 5 років тому

    Nasikia raha kusikiliza maneno ya tawhid kuliko mawaidha yeyote

  • @shuubeib9901
    @shuubeib9901 5 років тому

    Mashaallah

  • @twahasultan4673
    @twahasultan4673 5 років тому

    Ikiwezekan nipatie number zako za whstsapp nitakuwa nakufwatilia kwakuwa kitab ninacho.

  • @twahasultan4673
    @twahasultan4673 5 років тому

    Shukran sana Tafadhali Sheikh endelea na Darsa nafaidika namengi sana.

  • @abulhamidanasurdin9908
    @abulhamidanasurdin9908 5 років тому

    Allah akuhifadhi na akulipe kher nyingi hapa duniani na akhera na akupe umri mrefu wenye manufaa na uzidi kutupa faida nakupenda kwa ajili ya Allah natamani nimuone shekh wetu

  • @mohamedmajidhalilu5875
    @mohamedmajidhalilu5875 5 років тому

    ماشاءاالله

  • @ukhtyfilislamalhatimy2595
    @ukhtyfilislamalhatimy2595 5 років тому

    MashaaAllah

  • @feysalhemedy4164
    @feysalhemedy4164 5 років тому

    Allah akbar

  • @husnanasoro3570
    @husnanasoro3570 5 років тому

    mashaallah Allah akuzidishie

  • @fahadsalumguarin5790
    @fahadsalumguarin5790 5 років тому

    Masha allah

  • @idrissaally9498
    @idrissaally9498 5 років тому

    Hafidhahu-llahu taala

  • @aminafadhili4284
    @aminafadhili4284 5 років тому

    Masha Allah

  • @abdulhakimallynassor166
    @abdulhakimallynassor166 5 років тому

    BARAKALLAHU FIYKUM ALLAH AKUZIDISHIE ELIMU ILI TUSOME KUPITIA KWAKO DAWA ILIYO SAHIHI

  • @adrianvandervalk6734
    @adrianvandervalk6734 5 років тому

    i love islam and book of allah (qur-an)

  • @sirinaelmchome8756
    @sirinaelmchome8756 6 років тому

    Allah akuhifadhi

  • @nassormajid3704
    @nassormajid3704 6 років тому

    mashaallah

  • @jumagakurya9679
    @jumagakurya9679 6 років тому

    maa shaa Allaah sheikh Qassim

  • @kasimugullum5862
    @kasimugullum5862 6 років тому

    Allah akujaalie

  • @abuucris7720
    @abuucris7720 6 років тому

    Sauti ya shekhe wa kwanza Anaitwa Nani?

  • @halimaibrahim75
    @halimaibrahim75 6 років тому

    Allaah akulipe shekh wetu mpendwa wapenda bid’aa wanajisikia vibaya lakini lazima waambiwe

  • @abuusuhaibmchumi8301
    @abuusuhaibmchumi8301 6 років тому

    Hata kwa dawaa hizi uislam hauwezi pata nusra msharizik kwa manasara na mayahud mpokitu kimoja

    • @mohamedrashid2766
      @mohamedrashid2766 6 років тому

      Hizo daawa zakupeleka mbele zifanye akhiii...au tuelekeze hao mashekh wenye daawa za kupeleka mbele uislaam

  • @amanihepautwa6812
    @amanihepautwa6812 6 років тому

    قد نفع الله بعلمك واجتهادك نفعا عظيمة

  • @amanihepautwa6812
    @amanihepautwa6812 6 років тому

    بارك الله فيك يا شيخنا