- 138
- 199 419
SPOVAJNET GLOBAL
Tanzania
Приєднався 16 тра 2019
ENRICH THE POOR, COMFORT THE DISTRESSED
VIDEO YA MWISHO YA YAHYA SINWAR KIONGOZI WA HAMAS AKIIRUSHIA DRONE FIMBO KABLA YA KUUAWA.
✍️IDf wameonesha video ya mwisho ya Yahya Sinwar kiongozi wa Hamas aliyepanga na kutekeleza mauaji makubwa kwa wayahudi tangu vita ya pili ya Dunia.
✍️Sinwar ambaye alikuwa amejeruhiwa mkono anaonekana AKIIRUSHIA fimbo drone ambayo ilikuwa ikimpiga picha.
Sinwar alikutwa juu kwenye jengo la kawaida na siyo handaki kama ilivyozoeleka akiwa na wenzake watatu inadaiwa baada ya mfumo wa mahandaki "tunnel" ya Hamas kuharibiwa alilazimika kuwa anahamahama huku na kule.
Hiyo ni baada ya mateka 6 aliokuwa anawatumia kama ngao yake kuuawa.
#Hamas
#Netanyahu
#YahyaSinwar
#middleeast
#Lebanon
✍️Sinwar ambaye alikuwa amejeruhiwa mkono anaonekana AKIIRUSHIA fimbo drone ambayo ilikuwa ikimpiga picha.
Sinwar alikutwa juu kwenye jengo la kawaida na siyo handaki kama ilivyozoeleka akiwa na wenzake watatu inadaiwa baada ya mfumo wa mahandaki "tunnel" ya Hamas kuharibiwa alilazimika kuwa anahamahama huku na kule.
Hiyo ni baada ya mateka 6 aliokuwa anawatumia kama ngao yake kuuawa.
#Hamas
#Netanyahu
#YahyaSinwar
#middleeast
#Lebanon
Переглядів: 678
Відео
UJUMBE WA BENJAMIN NETANYAHU BAADA KUUAWA KWA YAHYA SINWAR KIONGOZI WA HAMAS.
Переглядів 1,3 тис.11 годин тому
UJUMBE WA BENJAMIN NETANYAHU BAADA KUUAWA KWA YAHYA SINWAR KIONGOZI WA HAMAS.
YAHYA SINWAR KIONGOZI WA HAMAS ALIYEONGOZA MASHAMBULIZI YA OCT 7 AUAWA
Переглядів 2,2 тис.16 годин тому
#Hamas #Idf ✍️YAHYA Sinwar ndiye anaaminika kupanga na kuratibu Mashambulizi ya Oct 7 yaliyoua waisrael zaidi ya 1200 , kujaribu Mali, na kuchukua wengine mateka. ✍️Alikuwa kiongozi katili mno na mwenye maamuzi ya ajabu kiasi kwamba hata Hamas wenzake walikuwa wanamwogopa, ✍️Anaaminika kuwatesa hata kuwazika wazi wapalestina waliodhaniwa ni wasaliti na wanashirikiana na Israel. #idf #news #hamas
HEZBOLLAH IMEWAUA WANAJESHI 4 WA ISRAEL NA KUJERUHI ZAIDI YA 60
Переглядів 692 години тому
Shambulizi Hilo limeshangaza wengi kwamba drone hiyo iliwezaje kupenya kwenye ulinzi wa Israel Japo tetesi nyingine zinasema Hezbollah walitumia drone sawa na zinazotumiwa na URUSI huko Ukraine ambazo ni ngumu sana kuzidungua na hata kuziona kwenye rada. Hii inaonesha bado Hezbollah Wanauwezo wa kutishia usalama wa Israel. #Idf #hezbollah #hamas #military
HEZBOLLAH YATOA ONYO KALI KWA ISRAEL
Переглядів 4184 години тому
Kundi la Hezbollah linaloungwa mkono na Iran liketoa ONYO JIPYA kwa Israel kwamba Lina haki ya kulenga eneo lolote ambalo wataona linafaa ndani ya Israel. Kauli iloyotolewa na kiongozi wake msaidizi iliongeza kusema suluhisho la mgogoro huo ni kusitisha mapigano Ili waisrael waliocha makazi Yao kule kaskazini warudi kwenye makazi Yao. Ikumbukwe Hezbollah walianza kumshambulia maeneo ya Israel O...
ISRAEL YAKAMATA SILAHA ZA IRAN HUKO GAZA
Переглядів 4,3 тис.4 години тому
Silaha za maangamizi kwa wayahudi zilizotolewa na Iran kwa Hezbollah nyingi ya silaha hizo zinawekwa kwenye makazi ya raia Ili raia watumike kama kinga kwa magaidi wa hezbollah
MAHANDAKI YA HEZBOLLAH KARIBU NA KAMBI ZA WALINDA AMANI WA UN
Переглядів 6 тис.7 годин тому
#IDF #Hezbollah #Israel Hivi karibuni mgogoro uliopo katika jamii ya kimataifa ni kuhuru waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kuwaambia walinda amani wa Umoja wa mataifa kule Lebanon UNiFIL kuondoka kwenye maeneo ya mapigano huko Israel Sasa hapa IDF wanatuonesha jinsi ambavyo kikosi hicho ambacho kilipaswa kuhakikisha hezbollah hawatishii usalama wa raia Lakini wamewaruhusu Hezbollah kuvuk...
ISRAEL ITALIPIZAJE KWA IRAN? WAZIRI WA ULINZI ANAFAFANUA
Переглядів 4316 годин тому
Waziri wa Ulinzi wa Iran Yoav Gallant amesema mashambulizi Yao ya kujibu uchokozi wa Iran yatakuwa hatari, yenye kuua na kwamba Iran HAWATAELEWA NINI kimetokea watayaona tu matokeo
NETANYAHU AWAKA DHIDI YA MACRON| TUTASHINDA HATA BILA MSAADA WAO.
Переглядів 38919 годин тому
Waziri Mkuu wa Israel amepinga vikali maoni ya Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron baada ya Rais huyo kutoa maoni ya kuwekwa vikwazo vya silaha juu ya Israel kwa silaha sitakazotumika Gaza ✍️ Netanyahu upande wake amepinga vikali maoni hayo na KUDAI Israel inapopigana na majeshi ya washenzi Kila nchi iliyostaarabika unapaswa kusimama na Israel ✍️Netanyahu ameongeza kusema kuwa Israel itashinda bil...
clapping 1200 times to remember oct7 victims and 100+ hostages
Переглядів 4521 годину тому
#idf #oct7 #Netanyahu
IRAN YAIMIMINIA MIJI YA ISRAEL MAKOMBORA,
Переглядів 10414 днів тому
✍️wakati huohuo Rais wa Iran ametishia kwamba huo no ujumbe kwa Netanyahu na kwamba Iran haijatumia uwezo wake hata robo Ikumbukwe ni juzi tu Netanyahu alitoa ujumbe kwa watu wa Iran akisema utawala wa Iran unakaribia kufika mwisho Kwa hiyo tunasubiri kuona Israel itajibu nini Nitambariki atakayekubariki
IDF SPOKESPERSON ON LEBANON MILITARY OPERATION
Переглядів 1314 днів тому
IDF SPOKESPERSON ON LEBANON MILITARY OPERATION
PM SAYS THE IRAN REGIME WILL END SOONER THAN PEOPLE THINK🤔
Переглядів 6714 днів тому
PM SAYS THE IRAN REGIME WILL END SOONER THAN PEOPLE THINK🤔
TUTATUMIA NYUKLIA KWA UCHOKOZI DHIDI YA URUSI NA BELARUS
Переглядів 5614 днів тому
TUTATUMIA NYUKLIA KWA UCHOKOZI DHIDI YA URUSI NA BELARUS
Chameleon surprises snake watch till the end
Переглядів 721 день тому
Chameleon surprises snake watch till the end
Kiswahili: HOTUBA YA BUSH KABLA YA KUINGIA IRAQ KIJESHI
Переглядів 26521 день тому
Kiswahili: HOTUBA YA BUSH KABLA YA KUINGIA IRAQ KIJESHI
KISWAHILI| MAMBO MAGUMU PM AWAONYA VIKALI WALEBANON, JITENGENI NA HEZBOLLAH KWA USALAMA WENU
Переглядів 63021 день тому
KISWAHILI| MAMBO MAGUMU PM AWAONYA VIKALI WALEBANON, JITENGENI NA HEZBOLLAH KWA USALAMA WENU
✍️Jifunze katika video hii kupigana mnaofanana siku zote kutamfaidisha adui yenu..
Переглядів 53221 день тому
✍️Jifunze katika video hii kupigana mnaofanana siku zote kutamfaidisha adui yenu..
NETANYAHU AWATAKIA RAMADHAN KAREEM WAISLAM WA ISRAEL.
Переглядів 86521 день тому
NETANYAHU AWATAKIA RAMADHAN KAREEM WAISLAM WA ISRAEL.
BITI NZURI TENZI TWASOMA NI NJEMA SANA
Переглядів 5921 день тому
BITI NZURI TENZI TWASOMA NI NJEMA SANA
KISWAHILI:HOTUBA YA BALOZI MPYA WA ISRAEL UN| DAMU YA MYAHUDI SIYO CHEAP
Переглядів 1,6 тис.28 днів тому
KISWAHILI:HOTUBA YA BALOZI MPYA WA ISRAEL UN| DAMU YA MYAHUDI SIYO CHEAP
MCHUNGAJI TUMIA NJIA RAHISI KABISA KUFANYA MATANGAZO
Переглядів 48Місяць тому
MCHUNGAJI TUMIA NJIA RAHISI KABISA KUFANYA MATANGAZO
Desert Cat vs Big snake brutal fight
Переглядів 2,4 тис.Місяць тому
Desert Cat vs Big snake brutal fight
Gaidi ni ww shoga mtumwa hivyo mikafiri lini walichoma moto wapi wakati hao walitekwa ktk sherehe ya sanamu ushetani hizi vita hazishi hatakua na amani shetani wa kizungu magaidi wakitetea ardhi yao yy anaua vitoto ktk hospitali na mahema alikuja kama kuomba hifadhi ktk phalestina kisha ksnza kua raia na kuwafunga kwa kushirikiana na marecani hao ninwezi ila warabu magaidi watakuja kina haniyeh wengina na yy atakufa tu moto unamsubiri mwizi
Sasa wewe utashangaa unaniambia ni mtu wa dini ya amani kwa kweli Kazi mnayo na mtu anayeweza kuamimi hiyo dini ni wale tu hawatumii akili zao ipasavyo
Dini inayokuaminisha uhai Haina thamani....at ukifa pia TU....iyo hapana.hizi nchi zilikuwa majirani na wameoleana sanà.......shida muirani kapandikiza usuni....na itikadi Kali Kwa lengo la kutanua uwezo wake
Ni hatar sana yaani kiongozi wa dini ndo kiongozi wa Kijeshi pia
Kama una uhakika mtangaze,hii Dunia Haina Siri.wao wametsngaza jambo la uhakika " Usibishane na Wayahudi
✍️🇮🇱
Wauoni nampiga picha kwanza 😅😅😅😅
😃
Asante sana mkuu
✍️🙏
Eh kila mnachorushiwa tu nyie kufata upepo hata kujiuliza mtu kama huyo anakuwaje sehemu kama hiyo peke yake bila walinzi wala wapambe duh hii dunia kiboko saiv akili za kuambiwa changamya na zako
Sawasawa
Hivi kwa Akili yako tu unadhani alitaka awe Na Nani kila mtu ameuwawa we huoni jengo lenyewe limechakazwa vibaya mno Kuna kitu kitasalia kweli? Hata panya au mjuusi hawezi kukaa sehemu Ile kwa hiyo wengine walishauwawa,pengine wengine walitimua mbio wakamuacha mzee mwenyewe Na kumwambia mzee pambana Na zogo lako ulilianzisha mwenyewe Sisi tunakacha
Usiombe ukawa kiongizi wa Hao walaaniwa wakina Hamas,Na Hezbollah Na Hao wajinga wengine nakwambia Mossad hawakuachi
Kitu Cha kufanya ndugu Ni kumpokea YESU KRISTO Kuwa BWANA Na mwokozi wa Maisha yako. Haya Yote yalishaandikwa kwenye bibilia hivyo Hayana Budi kutokea
AMEN🙏🙏🙏🙏🙏
🇮🇱
Tunaishi na mashetani. Kweli tumepewa mtihani Duniani.mungu wa israel amshinde mungu wao ameen
Yes Dunia Ina ushindani wa Nuru na giza
Mungu yupi ww msenge esrael fake wa marecani mungu wa mbao wait a magaidi ni mungu wa kweli kafiri ww mtumwa tu mama hujijui unalo ongea hv mwenye ardhi akitetea ardhi yake anakua gaidi waje hao wazungu ktk ardhi yako sokwe ww mungu wa waphalestina na warabu ni mungu wa kweli ndio mana mana bee aliwaleta mkawaiba wawe wa kizungu mbona huyo mzungu kwao hana na bee . Na hao waesreael hata huyo yesu ham kubali ila nyiyi ndi wale vitumwa wa kale warabu ni kwao ardhi yao huyo mzungu mwizi mmarecani mnajifanya mna udini tu makafiri nyiyi msie mjua mungu w ukweli mkabudu wazungu
Bado zam yake muongo mkubwa
Uongo upi hapo tatzo nyie hamtaki kukubaliana na kweli
Ee mungu wa israel unatisha
Amen amen amen
makafili waislamu ambao washbikia dini ya waarabu ya ugani nani kawambia Munguanapokea magaidi ufalume Mungu wanao ingia hawana damu za.watu wala kushabikia magaidi Tubuni na kuacha ugaidi ushibiki wa magaidi M uingie mbinguni
✍️
good news
Forever
Mbona muku wamajeshi wa israil hamumutangazi
Watangaze mtu nani alokuambia kafa mtu ambaye yuko hai buher wa afya huyo Hawes kufa mpaka magaid waseme y imetosha
ua-cam.com/video/y3YZgTOWsk8/v-deo.htmlsi=ptZnKYmcj4cljura Tunatangaza mkuu angalia hiyo link hapo
Mmmmh🤔
Mmmh mkuu wa majeshi yupo zilikuwa rumors
Wako vitani hata wakifa wanapambania nchi yao kama unapenda nenda Gaza😅😅😅😅
Wewe hauna dini kwaiyo huna makosa kumsaidiya kafiri .hamas na qasam haitakufa paka kieleweke inshallah
👏👏👏👏👏👏😃😃😃😃😃
Kila mwaka Allah Allah achakuabudu majin ww
Kwataarifayako msomaji huyu si gaidi gaidi nihu mbwa kafiri naona wewe na huyu mko sawa nahuyu inshallah atauliwa na hamas
Sawa watu wa dini ya amani ila inayoruhusu kutoa maneno machafu
Uweni Magaidi wote .Idf kazi Nzuri.
👍👍👍👍
Magaidi ni WA isilamu tu ao lashoga wezenu sio magaidi nakuombea ufe kafiri uigie motoni yyi kuhalalisha ushoga sio magaidi
Hujui jusimulia
Nitajitahid kujifunza rafiki😃😃😃👏
Nikuwanyoosha wote,magaidi Awana nafasi,hakuna cha Iran Wala urusi au north Korea Wala china,tulinde baba wa Dunia yetu america na Israel the power in the world,hakuna mwingine wachape vya kutosha,
👏👏👏👏👏
wewe atakuondoa Allah.hipo siku nyau utaona mashimo ya jahanamu,
Kwa kosa Gani mkuu
Allah wenu wamchongo wewe..
😃😃😃👏@@michaelmillinga5064
Allah si mungu wakweli mungu ni jehova,adonai ,mungu wa bwana wetu Yesu mungu wa Ibrahim,isaka.yakobo
Msomaji wetu nashukuru kwa lakini unatunyima sauti.
Oooh Wacha nitaongeza sauti
Msomaji wetu nashukuru kwa habari lakini unatunyima sauti.
Huo muongo sana
Uongo upi hapo sasa mkuu
Hajafa
Tayar
Walinzi.wa un kule congo ndo wanaoiba madini kuna ndege moja ya un ilikamatwa imejaa madini
Ni huzuni
Kwan viwanda vya kitengeneza haya msilahaa ni ya nani wekeni mslaha. Chini. Mzungumzee3 wanauza mpaka msilaha Yale ya vita ya 2 Dunia wanfgia stoo9o bn :damu tunaisha tujitambue
Ndugu yangu kwa nature ya mwanadamu kuweka silaha chini haitokuja kuwezekana vita zitaendelea hadi mwisho wa Dunia huo ni uhalisia tunaopaswa kuelewa na kukubaliana nao
Hawa watu ni wanafiki yaani silaha za iran? Una Akili kweli
🙏✍️
UN wanaweza kuwa wanafiki
Wanafiki sana
Haijawa Siri Tena 😂😂😂 Israel inafunuwa hadi chini ya Uvungu
Kabisa
Watu wa shetani wasingeweza kuona ila MUNGU hafichiki na kuwaonesha wenye haki wake muizrael c mjinga ila wapumbavu ndio wajinga
😃
Hiyo Vita siyo ya waislamu na wayahudi kwa maana ndani ya Israeli wapo waalabu wapo wakristo na waislamu pia lkn ndani ya nchi hizo za kialabu pia wapo wayahudi wakristo wanaishi kwa pamoja kwahiyo siyo Vita ya dini
Ni vita ya nini mkuu wangu
Washabiki wa Hizbollah awo ni wa Uslam wengi anakanusha eti ni filamu ,shaaaa ugaidi bwana
Ni hatar sana
Wanata utoe tarifa za uongo cjui watapat nn haw maislam
Ni changamoto Yao kubwa sana ua awakubali hata ukweli wa wazi
Sema ukwr baba
Asante idf
Wapuuzi mukiujua huu na ule hamuwezi
Sawa
Hao walinda amani , wapo kwaajili ya maslahi yao.UN ni wanafiki
Sure
Asante kwa tarifa
🙏🙏🙏
Wanafik hao hakuna UN Kongo waiharibu wao....!
Kabisa UN ni useless organization
SANAMU YA MNYAMA HAIWEZI KULINDA NA KUSAIDIA AMANI DUNIANI NI WAPOLAJI WA, DUNIA KUMBE YAWEZEKANA HIVI VIKUNDI VYA KIGAIDI NI UN YA SIRI AU?
UN hawana lolote
Hao jamaa hezbollah 🐍 🐍 🐍 ni kama panya buku watu wao wanapenda sana kuishi chini ya ardhi kwenye maaeneo muhimu ya watu😂😂😂🤣🤣🤣🇮🇱🇮🇱🇮🇱💪🏽💪🏽💪🏽🔥🔥🔥
Twajua Israel ni magwiji wa propaganda
Siyo Kila kitu ni propaganda
Uyu mwehu sio mzimaaaa ajuwii anachokiongea
Sawa hongera mwenye akili nyingi
Amina mtangazaj mungu awe nawe
Mnaopambn na taifa teule mnatak kuangamia
Zidi kuombea Israel
Kumbe na we mtangazaji ni shoga eti zidi kuiombea Israel au kiharage kina kuwasha?@@EGSiyaga1
Sasa wewe ni mwandishi wa habari,mchambuzi au ninani?mbona hueleweki
Jamani
Hakuna taifa la mungu linaloamrisha kuuwa watu kinyama km wafanyavyo hawa wanyama kuuwwa watoto zaidi ya elf20 ivi Mungu gani mwenye taifa km hili?na hayo mahandaki kwani ktk eneo lao hayapo?wao km nani ktk dunia kuwapangia kujenga nyundombinu za ulinzi ktk ardhi za watu?
Shida siyo mahandaki Sheria inasemaje
Umoja wa mataifa wako pamoja na islael ktk kuisaidia na wala siyo hivyo unavyowadanganya watu wajinga kwamba wanaisaidia Hizbullah na makundi mengine
Ni kwa sababu hufuatilii tu ndiyo maana but UN hawako na Israel kabisa maazimio ya kuilaani Israel ni mengi kuliko nchi zote duniani ukijumuisha
Sio ilani ni Iran
🙏
Unafiki wawa zungu kutengenezea mwislaam aonekane gaidi kwenye dunia ili asiwe nanguvu yakujilinda wao wakishika siraa wazungu eti wana ukombozi eti wapambania uhuru waafrica wengi 😅😅😅😅 na dunia wameamishwa na mzungu kua uwislaam ni ugaidi ndo maana mwenyezi mungu anasema watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa mnahisi mzungu ndo anaweza kujirinda tu mengine wakijilinda magaidi
Ila ndugu hata wewe tafakari tu utanambia nambie mtu wa dini Gani mwingine ushawahi muona anameza mabomu anaenda kujilipua? Wanaeza kuwepo but wachache sana
Wazungu wametengeneza watu wengine wakijilinda eti magaidi wao wakienda kuua raia wasio na hatia nitafa la mungu lina haki kuua raia hovyo
No uwe mzungu mweusi mwarabu ukimuua mtu bila hatia ni kosa lakini mf mtu akivamia familia yako anataka kuua mke wako na watoto wako na unauwezo wa kujihami lazima ufanye hivo sasa mf Hezbollah Israel hajawachokoza kwa lolote wakaanza kurusha MAKOMBORA eti solidarity na Hamas
Sure
Haina ukweli acha kudanganya watu mpuzi mmoja wewe.
Sawa