- 961
- 797 843
TAARIFA COM
Tanzania
Приєднався 14 січ 2018
TAARIFA.COM
TAARIFA FILM
TAARIFA MAKALA.
TAARIFA UDAKU
TAARIFA NEWS
TAARIFA INTERNATIION
TAARIFA FILM
TAARIFA MAKALA.
TAARIFA UDAKU
TAARIFA NEWS
TAARIFA INTERNATIION
HUU NDIYO UJUMBE WA MWENYEKITI WA UWT KWA WANAUME. "
Akizindua UZINDUZI WA KAMATI YA HAKI NA SHERIA (UWT) NA UZINDUZI WA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA iliyo fanyika Viwanja vya Chinangali park Dodoma Mary Pius Chatanda mwenyekiti wa Uwt Taifa
Переглядів: 69
Відео
WAZIRI KABUDI AZINDUA KITUO CHA MSAADA WA KISHERIA NAMBA ZATAJWA
Переглядів 617 годин тому
Imeelezwa kuwa kuanzia mwezi February mwaka huu 2024 Hadi mwezi august jumla ya malalamiko ya sheria 499 yamesajiliwa ambapo malalamiko 410 yamefanyikwa KAZI na malalamiko 18 yako katika hatua mbalimbali za utekelezaji wake. Hayo yamesemwa Leo jijini Dodoma Na waziri wa Katiba na sheria Prof kabudi paramagamba wakati wa Uzinduzi wa kituo Cha huduma kwa mteja Ambapo amesema kituo hicho kimeanzis...
TAZAMA MWANZO MWISHO SPIKA WA COMORO ALIVYO TEMBELEA BMH
Переглядів 649 годин тому
TAZAMA MWANZO MWISHO SPIKA WA COMORO ALIVYO TEMBELEA BMH
HOSPITAL YA BENJAMIN MKAPA YA MSHANGAZA SPIKA WA COMORO
Переглядів 16412 годин тому
SPIKA WA BUNGE la COMORO Abdou Ousseni atembelea Hospital ya Kanda ya Benjamin MKAPA JIJINI DODOMA.
MAMA WA MTOTO ALIENAJISIWA NA BABA YAKE MZAZI ATOA YA MOYONI.
Переглядів 17412 годин тому
Ni siku moja baada ya kutipotiwa kwa tukio la mtoto mchanga wa miezi Sita ufariki dunia kwa kunajisiwa na baba yake mzazi aitwaye Damasi Stephano (38), mwili wake unatarajiwa kuzikwa leo Septemba 3,2024 katika makaburi ya ya Hijra mtaa wa Area A Jijini Dodoma. Akizungumza kwa uchungu mama mzazi wa mtoto huyo Stella Mlewa ameelezea namna tukio lilivyokuwa huku akisema kuwa baba wa mtoto huyo ali...
"TUNATEKEREZA MAGEUZI KUONGEZA UBORA WA ELIMU" WAZIRI MKENDA.
Переглядів 3816 годин тому
"TUNATEKEREKA MAGEUZI KUONGEZA UBORA WA ELIMU" WAZIRI MKENDA.
RAIS DKT SAMIA ALICHO KISEMA KATIKA UMUHIMU WA MWANAMKE KULEA FAMILIA
Переглядів 6119 годин тому
RAIS DKT SAMIA ALICHO KISEMA KATIKA UMUHIMU WA MWANAMKE KULEA FAMILIA
BARAZA LA UVCCM DODOMA MJINI WAJA NA 'MAZITO', IKIWA NA AZIMIO KWA RAIS.
Переглядів 7819 годин тому
BARAZA LA UVCCM DODOMA MJINI WAJA NA MAZITO, IKIWA NA AZIMIO KWA RAIS.
JESHI LA POLISI LATOA TAARIFA NZITO YA MIPANGO YA CHADEMA.
Переглядів 18421 годину тому
MSEMAJI WA JESHI LA POLISI DCP DAVID MISIME AKITOA TAARIFA YA JESHI HILO
INAUZUNISHA WATOTO WAKIUME WAPAZA SAUTI KWA JAMII KWA WANAYOFANYIWA.
Переглядів 69День тому
INAUZUNISHA WATOTO WAKIUME WAPAZA SAUTI KWA JAMII KWA WANAYOFANYIWA.
MWANAFUNZI ALIEPEWA ADHABU NA WALIMU, POLISI WAFUNGUKA.
Переглядів 341День тому
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) George Katabazi Agosti 27, 2014 ametoa ufafanuzi hukusu tukio lililotokea Agosti 23, 2024 la mwanafuzi wa kidato cha tatu aliepewa adhabu na kusababishwiwa majeraha katika mwili wake Watuhumiwa ambao ni walimu wamekamatwa kw mahojiano.
MTOTO ATUPWA CHOONI AKAA SIKU TATU.
Переглядів 277День тому
MTOTO ATUPWA CHOONI AKAA SIKU TATU MKOANI DODOMA, JESHI LA ZIMAMOTO NA UWOKOAJI LA OKOA MAISHA YA MTOTO
ALIEMUUA BINTI NA KUMUWEKA KWENYE BOX AKAMATWA.
Переглядів 20314 днів тому
ALIEMUUA BINTI NA KUMUWEKA KWENYE BOX AKAMATWA DODOMA
RC CHALAMILA NA MHe MAPANA 'WAVAMIA' 'STEJI' KUCHEZA SINGELI.
Переглядів 25214 днів тому
RC CHALAMILA NA MHe MAPANA 'WAVAMIA' 'STEJI' KUCHEZA SINGELI WAKIWA KATIKA TAMASHA LA KIZIMKAZI.
JESHI LA POLISI LAENDELEA KUWANASA WATEKAJI NA WAUWAJI, 'WAFUNGAJI'
Переглядів 20014 днів тому
JESHI LA POLISI LAENDELEA KUWANASA WATEKAJI NA WAUWAJI, 'WAFUNGAJI'
NAMNA KAZI INAVYOFANYIKA KWENYE NDEGE YA MIZIGO YA TANZANIA
Переглядів 39714 днів тому
NAMNA KAZI INAVYOFANYIKA KWENYE NDEGE YA MIZIGO YA TANZANIA
KUANZISHWA KWA BENKI YA USHIRIKA WAZIRI BASHE ATOA YA MOYONI.
Переглядів 14214 днів тому
KUANZISHWA KWA BENKI YA USHIRIKA WAZIRI BASHE ATOA YA MOYONI.
SIKU YA 4, WATUHUMIWA WA UBAKAJI NA ULAWITI WALIVYOINGIA KIBABE MAHAKAMANI
Переглядів 8914 днів тому
SIKU YA 4, WATUHUMIWA WA UBAKAJI NA ULAWITI WALIVYOINGIA KIBABE MAHAKAMANI
DODOMA SIKU YA 3: KINACHOENDELEA WATUHUMIWA WA KUBAKA NA KULAWITI
Переглядів 19414 днів тому
DODOMA SIKU YA 3: KINACHOENDELEA WATUHUMIWA WA KUBAKA NA KULAWITI
DODOMA SIKU YA 2: KINACHO ENDELEA WATUHUMIWA WA KUBAKA NA KULAWITI.
Переглядів 11414 днів тому
DODOMA SIKU YA 2: KINACHO ENDELEA WATUHUMIWA WA KUBAKA NA KULAWITI.
DODOMA, KINACHO ENDELEA WATUHUMIWA WA KUBAKA NA KULAWITI.
Переглядів 27114 днів тому
DODOMA, KINACHO ENDELEA WATUHUMIWA WA KUBAKA NA KULAWITI.
WAZIRI MCHENGERWA, KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
Переглядів 1421 день тому
WAZIRI MCHENGERWA, KUELEKEA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA
IKULU. PROF; KABUDI AAPISHWA KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA.
Переглядів 12121 день тому
IKULU. PROF; KABUDI AAPISHWA KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA.
WIZARA YA MAJI NA Tanzania Chamber of Mines, KUTOA MAFUNZO
Переглядів 4721 день тому
WIZARA YA MAJI NA Tanzania Chamber of Mines, KUTOA MAFUNZO
TAARIFA KUTOKA JESHI LA POLISI DODOMA KUHUSU KIFO CHA MANDOJO.
Переглядів 27221 день тому
TAARIFA KUTOKA JESHI LA POLISI DODOMA KUHUSU KIFO CHA MANDOJO.
'TAMAWATA' YAWAOKOA KINAMAMA NA KAUSHA DAMU DODOMA.
Переглядів 26828 днів тому
'TAMAWATA' YAWAOKOA KINAMAMA NA KAUSHA DAMU DODOMA.
MAMBO 3 MAZITO KUTOKA KANISA LA PENTECOSTAL DODOMA.
Переглядів 4728 днів тому
MAMBO 3 MAZITO KUTOKA KANISA LA PENTECOSTAL DODOMA.
MAMBO MAZURI KANISA LA UTATU MTAKATIFU, WAFANYA KUBWA TAREHE 8
Переглядів 5628 днів тому
MAMBO MAZURI KANISA LA UTATU MTAKATIFU, WAFANYA KUBWA TAREHE 8
RAIS WA YANGA ALICHOKIFANYA NDANI YA VYUMBA VYA KUBADILISHIA NGUO
Переглядів 2,9 тис.28 днів тому
RAIS WA YANGA ALICHOKIFANYA NDANI YA VYUMBA VYA KUBADILISHIA NGUO
UZINDUZI WA KANISA LA KINJILI LA UTATU MTAKATIFU DODOMA.
Переглядів 148Місяць тому
UZINDUZI WA KANISA LA KINJILI LA UTATU MTAKATIFU DODOMA.
long tym wow
Vijana wazee au me sion vizur
Bravoo bravoo, kijana itawale
Dar mpo wap
Mashaa Allah tabaraka Allah
Waziri kijana mchapa kazi na mzalendo wa kweli tusopenda dhuruma tunakukubali sana. Maana umeleta mageuzi makubwa sana kwenye kilimo pamoja kuwa sisi Wana dar hatuna mashamba lkn tunafuatilia kazi zako Bashe hoyeeee
Hakuna kitu hapo
Tunaishukuru Serekali na Jeshi la Police asanteni kututia moyo kwamba japo waweza kutendewa isivyostahili lakini Police wakipata taarifa ni nyuki wa shughuli utapatiwa haki yako. OMBI Waongezewe idadi ya mashitaka Kumfedhehesha binti Kumuumiza kisaikolojia Kutumia kubaka kwa makundi Kumsababishia maumivu ya kimwili. Aliyewatuma naye akamatwe KAMA WATAKUWA WAMETUMWA
Mtihani unaanza tarehe ngap
Mbona kiswahili chako kibovu,,, 😢
Wow❤🎉😂
Sio waislam tu hata hao wakristo pia wNakoment upuuzi msikae kungilia dini hapa
Nanyie mpaka mumkashif mtu anamiguu mibaya kwani anafanya kazi hadangi na mungu ndio kamumba wivu tu
Maashallah, Yarrabbi tujaalie nikkah, Aamin InshaAllah 🤲🤲😢😢
BEAUTIFUL INDEED! Only issue for me is the lack of a WATER BODY or FEATURE!!!
🎉🎉🎉🎉
Yanga wanaupendo sana
Unasifia nn sasa
Mbarikiwe
Ongea kiswahili
Ndo nini unavyo ongea, huna utulivuu
Karembo mashaAllah 😍
Other thing's is not important for us ,neno la.mungu pekee ndio msaada wetu,hadithi nyingine hazina maana.Amen.tofauti zetu tuziondoe kabisa,congratulations Bishop shoo,regarding with your speech.
Naungana nanyi kushiriki na kuwafariji waliofiwa jambo la kufiwa ni zito sana kwamaana hiyo nimelipokea kwa maskitiko makubwa sana. Poleni sana!!!!
Nasimama na lissu kuhusu COVID 19 Mbowe achananae bhana
Msiba unapogeuka kuwa Siasa...
Hili suala la wabunge 19 nipo upande wa Lisu
Mara nyingi kutembelewa na Raisi ni Ishara Ya Kifo
Kwani HALIMA MDEE BADO NI MBUNGE WA CHADEMA,SI NI TIMU YA WABUNGE 19 Walifukuzwa.waamie CCM ijulikane kuliko kuwa vuguvugu au ni njaa zao zimewafanya kufanya walichokifanya?
Nyinyi mmetumwa
Lakni ni mwizi wa nchi
Auna miguu mizuri vaa baibui
Shukran
KAMAL JINA ZURI SANA
Mashaallah shukran
Nani kama mama kamanda hongera sana kamanda wangu wa mkoa wa Dodoma nakupenda sana
Matrafiki mpaka leo hawajabadilika haya twende..
Then kiswahili
Simba nichamagani ccm au vyamapizani maana atuelewi yanga ni ccm. Kunakitu wanasimba atukielewi
Siasa na mpira ni mbaya sana/ tuache mihemko ndug zangu
Hii lugha yako ni swahienglish
Kumbe kweli bhana mama kabiga
Mueshimiwa upo vizuri sana Alha akujalie kilalaeli
Mama oyeeeeeeee
Wape vidonge vyao mama, 5 tena
Gonga like nyingii
Mama hoyeee Ubaya ubwelaaa
Kiukweli Tz rahaa sana
Hiyo kazi ni mtihani kwako Imekuvua hijab Haswali kwa wakati Tabia imekuwa mbovu Kwa sababu hizi na mengineo hio kazi ni haramu Acha hio kazi kwa ajili ya Allah
Inshaallah
Bado hajajitambua kabisa ukimsikiliza tuu anavyoongea kimeisha jipa ustar flani the way anavyojilazimisha kuongea pia anavyo lazimisha kingereza but unaona kabisa sio vitu vyake na unagundua kichwa hakijatulia bado
waislam inashida gani mbona kila kitu kwenu mnakiona kibaya. tafuteni dunia yenu basi ambayo haina mambo ambayo humayapendi
Eshimu maoni ya wengine, kwani wewe kina kuuma nini, we dunia ya kwako hii au ndiyo thinking impairment ishakukumba
Safisana