![Elias Mwinuka](/img/default-banner.jpg)
- 39
- 19 081
Elias Mwinuka
Tanzania
Приєднався 15 січ 2024
Відео
Namna bora ya kuwekeza katika miaka ya mwanzo ya mtoto | Elias Mwinuka
Переглядів 564 години тому
@EliasMwinuka
Usimchukulie poa mtu yoyote | Elias Mwinuka
Переглядів 62Місяць тому
Usimhukumu mtu kwa kuangalia kilichotokea tu bali tazama na nyumba ya tukio @EliasMwinuka
Baada ya mtaala mpya shule ifanye nini
Переглядів 502 місяці тому
Baada ya mtaala mpya shule ifanye nini
Fahamu ujuzi/stadi hizi muhimu ili ufanikiwe maishani
Переглядів 1,7 тис.2 місяці тому
Fahamu ujuzi/stadi hizi muhimu ili ufanikiwe maishani
Kwanini baadhi ya watu wanafanikiwa licha ya kupitia magumu sana maishani mwao
Переглядів 3733 місяці тому
Kwanini baadhi ya watu wanafanikiwa licha ya kupitia magumu sana maishani mwao
Ijue kanuni ya ubongo: nitumie au nipoteze
Переглядів 6333 місяці тому
Ijue kanuni ya ubongo: nitumie au nipoteze
KWANINI NCHI ZINAZOENDELEA WANAKUFA MAPEMA
Переглядів 2433 місяці тому
KWANINI NCHI ZINAZOENDELEA WANAKUFA MAPEMA
Umuhimu wa Tathmini ya maendeleo kwa mtoto
Переглядів 1443 місяці тому
Umuhimu wa Tathmini ya maendeleo kwa mtoto
Vita kati ya umri na jitihada zinazotumika kukuza ubongo
Переглядів 1153 місяці тому
Vita kati ya umri na jitihada zinazotumika kukuza ubongo
Maeneo ya ubongo hukua kwa kushirikiana
Переглядів 1224 місяці тому
Maeneo ya ubongo hukua kwa kushirikiana
Vinasaba hutengeneza ramani tu, bali mazingira uzoefu na mahusiano huamua eneo lipi la ubongo likue
Переглядів 634 місяці тому
Vinasaba hutengeneza ramani tu, bali mazingira uzoefu na mahusiano huamua eneo lipi la ubongo likue
Utamtambuaje mtu anaesumbuliwa na Trauma?
Переглядів 914 місяці тому
Utamtambuaje mtu anaesumbuliwa na Trauma?
Changamoto ya afya ya akili kwa watoto
Переглядів 294 місяці тому
Changamoto ya afya ya akili kwa watoto
Je umewahi kukasirishwa ukakasirika?
Переглядів 5515 місяців тому
Je umewahi kukasirishwa ukakasirika?
Namna ya kushughulikia utovu wa nidhamu kwa mtoto
Переглядів 7625 місяців тому
Namna ya kushughulikia utovu wa nidhamu kwa mtoto
Good talent
Ubarikiwe
Nimeipenda hiyo umenena lakni house kipper hawezi akawa amemaliza na akubali kufanya hiyo kaz maboss wao hua wanafanya makusudi na kuwadharau
Mungu akutunze kaka elias
Kweli kabisaaaa huwa tunamhitaji mtu mmoja tu katika maisha .... Nakumbuka kuna kipindi nilikata tamaa kuwa sitaweza kwenda chuo kikuu lakini alikwepo mtu mmoja ambaye ni wewe aliyetambua thamani yangu na kutoa order kwa mkurugenzi wa kituo fulani hadi sasa niko hapa nilipo ....ulikuwa upo ofisi za CIT)... Mungu akuhifadhi milele kwa ajili ya kuwavusha watu wenye maono
Hii ni kweli kabisa na nimelishuhudia
Mungu azidi kukuinua mr Elias
❤
Kaka Elias Mungu akutunze milele
Nguruvi atutangage mwee😊
Ndiwenda nene😅
Nshapitiuko mpakasasa sinahamu yakuwa na mke nifanyajetena
Wasiliana nami kupitia namba zilizo kwenye video tukusaidie
somo zuri sana
❤
Safi 🎉
Kila apendaye mafundisho hupenda maarifa.!
Sauti IPO chini sana kak
Uko vizuri. Oni langu naomba uangalie chumba kipindi una record mana hapa nimepata shida kusikiza
Nimeichukua hii kaka ❤
Napenda san upo kisayansi zaid
Napenda sana unatoa critical mind
Hongera endelea kutupa chakula cha ubongi
sawa kaka nimekuelewa
Kwasabbu mtoto atapata changamoto kwenye ulaji hata namazingira pia yakichangia kua magumu je mzazi huyo utamshaulije
Je Unamshauri vip mzazi Alieharakia kuzaa kwenye wakati mgumu kwamfano hana uwezo wakutumia lishe kwaajiil yamtoto amlee vivyohivyo au afanyaj
Real sir ahsanteh kwa elimu nzur
Acha nijipende mwenyewe sababu Sina bahati katika mahusiano kabisa
❤
Kuanzia Leo nitaanza kukufuatilia maana unaongea fact Sana zinazonisaidia.
Good lesson.
good😃
Nakubali
❤
This is great...!
Nataka mawasiliano na ww plz
Great
🎉
ASANTE BABA KWA KUTUELIMISHA UBARIKIWE🙏
Waoh, hii Elimu ni njema sana.
Asante, karibu sana
Asante Kwa ujumbe
Hongeraaaa mnooo kwa kazi nzuri...naomba anisaidie niinateswa na uchungu mnooo!
Asante
Asante studio
Tunakusikiliza na tumefurah lkn jitahid kupunguza mlio wa back video ili sauti isikike ..yan unasikika kwa mbali sana n iyo saut inaumiza maskio na unavitu vizur sana vya kusaidia jamii
Ahsante Sana Kaka angu
Many blessings Eliasi.
Good sn
Powerful session❤
unakitu kikubwa kwaajili ya watu usiache kufundisha jamiii
Very nice lesson
Nashkuru kwakunielimisha , mm uliyoyasema yashanikuta ukiniona waeza sema mamangu ni mdogo wangu je ni vitu gani naeza fanya ili niwe sawa? nitashkuru kwa jibu lako