Shamba DarasaMKUSI
Shamba DarasaMKUSI
  • 75
  • 869 419
UFUGAJI WA MBUZI ; UJENZI WA MABANDA YA KISASA YA MBUZI, MABANDA YA KUKU NA MABANDA YA NG'OMBE
Karibu ujipatie banda bora la mbuzi kwa gharama nafuu. Mabanda yanayojengwa kwa mabanzi ya miti na mirunda. Pia tunatoa ushauri na kujenga mabanda yenye nguzo za chuma na sakafu ya zege kwa gharama nafuu sana.
Переглядів: 1 420

Відео

UJENZI WA NYUMBA KITALU YA GHARAMA NAFUU, GREEN HOUSE
Переглядів 3,6 тис.2 роки тому
Karibu ujipatie nyuma kitalu (yaan GREEN HOUSE) kwenye shamba lako itakayosaidia kuzuia magonjwa mbali mbali kwenye mazo yako na kuongeza mavuno mengi zaidi. Huduma hii inatolewa na kampuni ya NOEL AGRICULTURAL AND CONSULTANCY LIMITED kwa kushirikiana na Taasisi ya MKULIMA SMART INITIATIVES (MKUSI). Karibu kwa huduma bora za kilimo na mifigo KWA MAWASILIANO TUPIGIE KWA 0675 487 387, 0764 915692...
WATAALAM WA MAFUNZO YA UFUGAJI WA NG'OMBE WA MAZIWA TANZANIA, KAMPUNI NA TAASISI ZA KILIMO NA MIFUGO
Переглядів 2,6 тис.2 роки тому
Video hii ni inakupa mwanga namna gani ya kuanza kilimo na ufugaji wa faida kupitia Taasisi na Kampuni zilizosajiliwa na Serikali ili zitoe huduma ya mafunzo na vifaa vya kilimo. Kilimo na ufugaji wa kisasa umekuwa na changamoto nyingi na wakati mwingine kila mtu amekuwa kama ni mtaalamu wa kilimo na mifugo. Kupitia video hii utazijua taasisi za kupata ushauri namna bora nya kuingia katika kili...
SEMINA YA MAFUNZO YA KILIMO, UFUGAJI NA UJASIRIAMALI
Переглядів 9103 роки тому
Kupitia video hii utajifunza namna ya kufuga sungura na wanyama wengine. Pia utajifunza namna ya kutengeneza chakula mbadala cha mifugo kama sungura na kuku. Kwa maswali, maoni na ushauri tafadhali usisite kututembelea katika ofisi zetu Dodoma, na kuwasiliana nasi kupitia namba za simu zinazoonekana kwenye video hii.
KILIMO CHA NYANYA KIBIASHARA; COMMERCIAL TOMATO FARMING
Переглядів 2,2 тис.4 роки тому
Mafunzo ya namna ya kulima nyanaya kibiashara hatua kwa hatua kutoka taasisi isiyokuwa ya Kiserikali ya Mkulima Smart Initiatives (mkusi). Kwa mawasiliano tupigie 0624223614, 0675 487387, 0765970455 Wote mnakaribishwa sana
KILIMO CHA MAHINDI NA MBOGAMBOGA; NANENANE 2020 SIKU-2
Переглядів 2634 роки тому
Maonesho ya Kilimo cha Mahindi na mboga mboga siku ya pili ya nanenane 2020, Kanda ya Kati; Dodoma. Maonesho haya yanaletwa kwenu na Mkulima Smart Initiatives (Mkusi). Karibu katika maonesho ya Nanenane ukutane na maafisa wetu. Kwa mawasiliano tupigie kupitia simu: 0675487387, 0764915692, 0765970455, 0624223614
MAANDALIZI YA MAONESHO YA NANENANE 2020
Переглядів 7924 роки тому
Karibu katika mabanda ya Mkulima Smart Initiatives, Dodoma katika banda lao lililopo halmashauri ya Kondoa.
UFUGAJI WA KUKU UNAOLIPA NDANI YA MDA MFUPI UKIWA NA MTAJI KIDOGO NA KUKUPA FAIDA KUBWA
Переглядів 6 тис.4 роки тому
Video hii itakuonyesha njia bora ya na ya kawaida ambayo kila mfugaji anaweza kuimudu kufuga kuku wa kisasa aina ya Chotara na wale wa Kienyeji bila kutumia gharama kubwa. Huna haja ya kuwa na banda kubwa la kisasa na chakula cha kuwalisha kuku kwa muda wote wa ufugaji. Kupitia video hii utajifunza namna kuku wanavyoweza kuishi katika mazingira ya kawaida na wakakua kwa afya nzuri bila ya magon...
JIFUNZE! Ujenzi na sifa za banda bora la ng'ombe wa maziwa
Переглядів 25 тис.4 роки тому
Ujenzi na sifa za banda bora la ng'ombe wa maziwa Sehemu za banda la ng'ombe wa maziwa 1.Sehemu ya kulala 2.Sehemu ya mazoezi 3.Sehemu ya kunjwea maji na kulia
JIFUNZE! Hatua kwa hatua kilimo cha mboga mboga nyanya,hoho,tango,tikiti maji na mboga za majani.
Переглядів 1,4 тис.4 роки тому
Somo la hatua kwa hatua katika kilimo cha mboga mboga za mizizi kama karoti,vituguu,za matunda kama nyanya,bamia,hoho na matango na pia mboga mboga za majani kama mchicha,mnafu,chainizi,kabaji na spinachi
JIFUNZE KUTENGENEZA MASHINE YA KUTOTOLESHA/KUANGULISHA VIFARANGA VYA KUKU (INCUBATOR TANZANIA)
Переглядів 16 тис.4 роки тому
JIFUNZE KUTENGENEZA MASHINE YA KUTOTOLESHA/KUANGULISHA VIFARANGA VYA KUKU (INCUBATOR MASHINE TANZANIA). Aina mbalimbali za incubator full automatic na manual. Namna bora ya kutumia kitotoleshi incubeta za vifaranga vya kuku
JIFUNZE! UFUGAJI BORA WA NG'OMBE WA MAZIWA TANZANIA
Переглядів 11 тис.4 роки тому
UFUGAJI WA NG'OMBE BORA WA MAZIWA ni mradi wenye tija na faida kubwa. AINA MBALIMBALI ZA NGOMBE WA MAZIWA KAMA VILE FRESIAN,JEYSEY,ARSHER,BROWN SWISS NA FLECKVIEH. SIFA ZA AINA MBALIMBALI ZA NG'OMBE WA MAZIWA
UFUGAJI BORA WA NG'OMBE WA MAZIWA
Переглядів 27 тис.4 роки тому
UFUGAJI BORA WA NG'OMBE WA MAZIWA; AYRSHIRE,FRIESIAN, JERSEY PURE BREED Ng’ombe hawa wana uwezo wa kuzalisha maziwa kwa wastani wa lita 20 hadi 45 kwa siku. Ng’ombe wanao uzwa ni mitamba wenye mimba ya kwanza walau kuanzia miezi 6 hadi 7. Pia ng’ombe madume aina ya Fleckvian, na ndama, na mitamba ambayo haijapandishwa wanapatikana kwa order maalumu. Mteja wetu akiweka oda ataletewa ng’ombe hadi...
KUKU CHOTARA WA SIKU MOJA, WIKI NA MWEZI
Переглядів 1,8 тис.4 роки тому
Karibu ujifunze jinsi ya na ufugaji bora wa kuku chotara, kuanzia wa siku moja, wiki na mwezi. Kuku chotara kutokana na kuku wa kienyeji. Na pia majogoo wa mbegu kwa ajili ya kuzalisha kuku chotara. Kuku hawa wanapatika kwa wingi Mkulima Smart Initiatives (MKUSI)
UFUGAJI BORA WA NG'OMBE WA MAZIWA:MIKEKA YA NG'OMBE AU COW MAT (PDF)
Переглядів 2,9 тис.4 роки тому
UFUGAJI BORA WA NG'OMBE WA MAZIWA:MIKEKA YA NG'OMBE AU COW MAT (PDF) uongeza uzalishaji wa maziwa kwa asilimia thelathini(30%).
KUKU WAZAZI WA MBEGU, VIFARANGA CHOTARA, KUKU WA NYAMA
Переглядів 2,5 тис.4 роки тому
KUKU WAZAZI WA MBEGU, VIFARANGA CHOTARA, KUKU WA NYAMA
MASHINE ZA KUTENGENEZA VYAKULA VYA MIFUGO,NGOMBE WA MAZIWA
Переглядів 9 тис.4 роки тому
MASHINE ZA KUTENGENEZA VYAKULA VYA MIFUGO,NGOMBE WA MAZIWA
UFUGAJI WA KUKU; ULEAJI NA UTUNZAJI BORA WA VIFARANGA WA KUKU CHOTARA,BROILA,LAYERS NA KIENYEJI
Переглядів 1,9 тис.4 роки тому
UFUGAJI WA KUKU; ULEAJI NA UTUNZAJI BORA WA VIFARANGA WA KUKU CHOTARA,BROILA,LAYERS NA KIENYEJI
KILIMO CHA NYANYA KWA UMWAGILIAJI WA MFEREJI.PDF
Переглядів 4,2 тис.5 років тому
KILIMO CHA NYANYA KWA UMWAGILIAJI WA MFEREJI.PDF
KILIMO BORA NA CHA KISASA CHA MAHINDI TANZANIA,pdf
Переглядів 27 тис.5 років тому
KILIMO BORA NA CHA KISASA CHA MAHINDI TANZANIA,pdf
Kuuza mashine za kutotolesha vifaranga na Mafunzo ya Utengenezaji wa automatic Incubator
Переглядів 3,3 тис.5 років тому
Kuuza mashine za kutotolesha vifaranga na Mafunzo ya Utengenezaji wa automatic Incubator
UFUGAJI WA KUKU:MACHINE ZA KUTOTOLESHA VIFARANGA(INCUBATOR) NA MBINU BORA ZA UFUGAJI WA KUKU
Переглядів 1 тис.5 років тому
UFUGAJI WA KUKU:MACHINE ZA KUTOTOLESHA VIFARANGA(INCUBATOR) NA MBINU BORA ZA UFUGAJI WA KUKU
KILIMO CHA BUSTANI YA MBOGA MBOGA NYUMBANI KWA KUTUMIA MAKOPO NA VIROBA;PDF
Переглядів 22 тис.5 років тому
KILIMO CHA BUSTANI YA MBOGA MBOGA NYUMBANI KWA KUTUMIA MAKOPO NA VIROBA;PDF
KILIMO NDANI YA GREEN HOUSE(KITALU NYUMBA/SHAMBA KITALU) PDF
Переглядів 2,8 тис.5 років тому
KILIMO NDANI YA GREEN HOUSE(KITALU NYUMBA/SHAMBA KITALU) PDF
UFUGAJI BORA WA NG'OMBE:BANDA BORA,CHAKULA BORA NA MBEGU BORA YA NG'OMBEPDF
Переглядів 19 тис.5 років тому
UFUGAJI BORA WA NG'OMBE:BANDA BORA,CHAKULA BORA NA MBEGU BORA YA NG'OMBEPDF
UFUGAJI WA KUKU:SIFA ZA BANDA BORA LA KUKU WA NYAMA,MAYAI,KIENYEJI NA KUKU CHOTARA PDF
Переглядів 6 тис.5 років тому
UFUGAJI WA KUKU:SIFA ZA BANDA BORA LA KUKU WA NYAMA,MAYAI,KIENYEJI NA KUKU CHOTARA PDF
UFUGAJI WA KUKU CHOTARA:-AINA ZA KUKU,KUKU KUROILA,SASSO,MALAWI NA KENIBRI PDF
Переглядів 9 тис.5 років тому
UFUGAJI WA KUKU CHOTARA:-AINA ZA KUKU,KUKU KUROILA,SASSO,MALAWI NA KENIBRI PDF
KILIMO CHA MBOGAMBOGA:KILIMO CHA KAROTI,BUSTANI YA KAROTI NA SOKO LAKE,PDF
Переглядів 16 тис.5 років тому
KILIMO CHA MBOGAMBOGA:KILIMO CHA KAROTI,BUSTANI YA KAROTI NA SOKO LAKE,PDF
KILIMO CHA ZABIBU (GRAPES) KIBIASHARA DODOMA TANZANIA PDF
Переглядів 7 тис.5 років тому
KILIMO CHA ZABIBU (GRAPES) KIBIASHARA DODOMA TANZANIA PDF
MKULIMA SMART INITIATIVES (MKUSI)- NI ASASI ISIYOKUWA YA KISERIKALI YAANI NGO,PDF
Переглядів 9825 років тому
MKULIMA SMART INITIATIVES (MKUSI)- NI ASASI ISIYOKUWA YA KISERIKALI YAANI NGO,PDF

КОМЕНТАРІ

  • @VailetKikoti
    @VailetKikoti Місяць тому

    Hitaji mbegu napaataje

  • @shabanhassan8464
    @shabanhassan8464 Місяць тому

    Asante kwa mafunzo

  • @user-lw4hr8xh6v
    @user-lw4hr8xh6v Місяць тому

    Je unaweza kuwapa kuku hydroponic pekeyake bila kuwa changanyiya chakula chochote kile?

  • @noellyamuya3844
    @noellyamuya3844 Місяць тому

    NAOMBA NAMBA ZA OFISI PLS

  • @noellyamuya3844
    @noellyamuya3844 Місяць тому

    NAITAJI MASHINE YAVKUFUNGA MAJANI PLS

  • @Zaburi-
    @Zaburi- Місяць тому

    Umeeleza vizuri ila hujazungumzia magonjwa na kuyakabili

  • @dominickndomba4474
    @dominickndomba4474 2 місяці тому

    Nahitaji mbegu bora mkuu nahitaji kulima hekari tano ahsant

  • @MartiniJohn-ew6us
    @MartiniJohn-ew6us 2 місяці тому

    Pia mbengu nzuri inayoota vizuri nayenye mapato

  • @MartiniJohn-ew6us
    @MartiniJohn-ew6us 2 місяці тому

    Naomba elimu jamani niko Mbulu vijijini

  • @user-ls2uj3fl1o
    @user-ls2uj3fl1o 2 місяці тому

    Habari naomba no yako

  • @BarakaAbudul
    @BarakaAbudul 2 місяці тому

    Follow me

  • @HappynessAmos
    @HappynessAmos 2 місяці тому

    🎉

  • @MBASELIMOLLEL-dm7gy
    @MBASELIMOLLEL-dm7gy 3 місяці тому

    Nitawapataji hao waalim WA shamba darass?

  • @MBASELIMOLLEL-dm7gy
    @MBASELIMOLLEL-dm7gy 3 місяці тому

    Naitwa mbaseli kimboi ninafurai Sana Kwa kupata elimu ya kilimo cha nyanya

  • @YavanStafford
    @YavanStafford 3 місяці тому

    vizuri sana na hongera sana

  • @hajikubeja477
    @hajikubeja477 3 місяці тому

    Safi sana

  • @user-uy8cr4yn6n
    @user-uy8cr4yn6n 3 місяці тому

    Hongeraa Sana mwalimu wangu kwa elimu yako

    • @user-uy8cr4yn6n
      @user-uy8cr4yn6n 3 місяці тому

      Asanteee sana mwalimu wangu congratulations

  • @hajikubeja477
    @hajikubeja477 4 місяці тому

    Safi sana, na mm nataka kilima

  • @fatimajuma3330
    @fatimajuma3330 4 місяці тому

    Nataka

  • @IssaAdam-id6tw
    @IssaAdam-id6tw 4 місяці тому

    Mbegu ya nyanya aina ya asila

  • @bettymrisho1668
    @bettymrisho1668 4 місяці тому

    Naomba namba yao

  • @user-by7wj3cw9u
    @user-by7wj3cw9u 4 місяці тому

    HP Moshi tech

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 4 місяці тому

    Asante kwa elimu

  • @yusufugopel2922
    @yusufugopel2922 4 місяці тому

    Iv mtaji kianzio iafaa uwe na kiac gani?

  • @aminielelimringimaro7791
    @aminielelimringimaro7791 4 місяці тому

    Nimeifurahia makala yako na jinsi ulivyonielimisha kwa kutengeneza mabanda bora kwa mbuzi na kondoo. Asante kwa elimu hii. Je, urefu wa kutoka ardhini hadi ulikoanzia banda, ninaona kama mita moja ni urefu mfupi. Sehemu zenye fisi, wanaweza kubomoa na kuvuta wanyama hao, mbuzi na kondoo kirahisi sana. Urefu uzidi mita na nusu au mbili kabisa, hawajafikia kutoka chini. Kwa ujumla, asante kwa elimu njema na muhimu kwa wafugaji.

  • @onesmoalphonce3676
    @onesmoalphonce3676 5 місяців тому

    Kondoo wa sufi nawapatikana wap mwalim

  • @augustinerwabikinga1400
    @augustinerwabikinga1400 5 місяців тому

    Napenda kujua mnapatikana wapi

  • @bukharysaid
    @bukharysaid 5 місяців тому

    Shamba kukodi bei gani kwa eka

  • @geophreyponera4254
    @geophreyponera4254 5 місяців тому

    Asante kwa elimu,

  • @user-xl6ud2yf3g
    @user-xl6ud2yf3g 6 місяців тому

    Habari,,vp kwa mkoa wa dar es salaam hatuwezi kulima vitunguu

    • @bukharysaid
      @bukharysaid 5 місяців тому

      Kama udongo uko vizuri unaweza kulima, lakini hali ya hewa inaweza ikafelisha

  • @MalemberaSululu
    @MalemberaSululu 6 місяців тому

    Mbegu Bei gani

  • @gracekitomary2239
    @gracekitomary2239 6 місяців тому

    Karstas ya juu mnauzaje kwa mita

  • @danieltekato3417
    @danieltekato3417 6 місяців тому

    Ikiwa kilimo kipo kwenye mfano wa contour farming zile sm 30 unazizingatia vipi

  • @danieltekato3417
    @danieltekato3417 6 місяців тому

    Ooh SOMO umefunza vizur

  • @hamadimziraymziray-ry4vi
    @hamadimziraymziray-ry4vi 6 місяців тому

    Tumejfunza kitu

  • @erickclaudio2978
    @erickclaudio2978 7 місяців тому

    Nataka kulima vitunguu maji mwezi huu wa pili,nitafanikiwa?

  • @user-ix8eb5zj5c
    @user-ix8eb5zj5c 7 місяців тому

    Je ekari moja unabeba mashina mangapi

  • @JuliusMusika
    @JuliusMusika 7 місяців тому

    Nahitaji ushauri wenu zaidi,je,mnapatikana wapi? Je,hua mnauza mbegu,na kama mnauza nitazipataje?niko mkoa wa mara,wilaya ya bunda.

  • @faustinelucas7235
    @faustinelucas7235 7 місяців тому

    Naomba vipimo vya mbanda

  • @faustinelucas7235
    @faustinelucas7235 7 місяців тому

    Nimewaelewa sanaaaa

  • @jhonbanza
    @jhonbanza 8 місяців тому

    Samaki n'a nguruwe kipi ni bora zaihidi

  • @alittlemoretime
    @alittlemoretime 8 місяців тому

    abari dada naitwa halima ng'ombewangu anatokausaa.masikioni niugonjwagani huo?

  • @user-ch6fc8ri5p
    @user-ch6fc8ri5p 9 місяців тому

    Mimi ni mwalm nataka kulima nyanya kibiashara naomba ushaur nataka kulima nusu hekar

  • @nickolousrajabu5001
    @nickolousrajabu5001 9 місяців тому

    Kwambigu hz zitasaidia sana wafugaji wa tanzania

  • @elizabethlweya5011
    @elizabethlweya5011 10 місяців тому

    Asante 🙏🙏🙏

  • @AbdulNdanzi-ce9yt
    @AbdulNdanzi-ce9yt 10 місяців тому

    Abduli ndanzi

  • @anithaherman7260
    @anithaherman7260 11 місяців тому

    Naitaji ng'ombe wa maziwa sh ngapi

  • @danielmasaganda1614
    @danielmasaganda1614 11 місяців тому

    Naomba kufahamu ili kupata ng'ombe mwenye maziwa mengi na yenye mafuta mengi nampataje kwani ng'ombe aina ya frecian hutoa maziwa mengi hayana ubora huo

  • @evarestmaji5141
    @evarestmaji5141 Рік тому

    Mnatuwekea naomba za siku lakini hampo teyari kupokea simu

  • @idahnachona8189
    @idahnachona8189 Рік тому

    Asante kwa elimu nzuri