- 5
- 8 310
Monica Liampawe
Приєднався 25 лют 2014
MATAPELI WA BIMA FEKI WANASWA MOROGORO
Mamlaka ya usimamizi wa Bima - TIRA kanda ya kati imekamata magari 66 katika mainispaa ya Morogoro yaliyokatiwa bima za kughushi zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 61.
Meneja wa TIRA kanda ya kati STELLA RUTABUZA amewataja baadhi ya watuhumiwa wa utapeli huo huku akiwatahadharisha wananchi kutowatumia watu hao na kampuni zinazojuhusisha na utapeli huo.
Meneja wa TIRA kanda ya kati STELLA RUTABUZA amewataja baadhi ya watuhumiwa wa utapeli huo huku akiwatahadharisha wananchi kutowatumia watu hao na kampuni zinazojuhusisha na utapeli huo.
Переглядів: 37
Відео
WALIMU WALIOHAMA KWA VIMEMO MOROGORO KUKIONA
Переглядів 304 роки тому
Mkuu wa mkoa wa Morogoro LOATA OLE SANARE amepiga marufuku tabiya ya walimu wa mkoa huo kuhama kwa vimemoMkuu huyo pia ametembelea miradi iliyopo katika manispaa ya Morogoro akiongozana na baadhi ya viongozi wa wilaya hiyo.
KILOSA WAKULIMA NA WAFUGAJI
Переглядів 114 роки тому
SANARE ATAKA WAKULIMA NA WAFUGAJI WAOWANE ILI WAKITAKA KUUANA WAJIUWE WENYEWE
MAKALA YA MBEGU BORA ZA MAHARAGE TBC
Переглядів 8 тис.6 років тому
UTAFITI WA MBEGU BORA ZA MAHARAGE - SUA MOROGORO.
Nidawa ipi hutibu na kuthibiti wadudu wanao tobowa majani ya maharage
Mnapatikanaje
Asanteni sana
Mmmmm
Tunaomba no zenu za simu
Asanteeeh
ni mbegu zipi ambazo tayari ziko sokoni baada ya kufanyiwa utafiti
Mimi nahitaji mbegu
Asante,nimejifunza sana