![Bin Mweri Online Tv](/img/default-banner.jpg)
- 59
- 89 066
Bin Mweri Online Tv
Приєднався 26 лип 2018
Kila huzuni ni yenye kukatika isipokuwa huzuni za watu wa motoni hazikatiki,
Na kila neema ni yenye kwisha isipokuwa neema za watu wa peponi haziishi
🙏Mola atujaalie mwaisho mwema🙏
Na kila neema ni yenye kwisha isipokuwa neema za watu wa peponi haziishi
🙏Mola atujaalie mwaisho mwema🙏
Yaa Ikh`wani @Bin Mweri Tz🎹
Qaswida ya harusi iliyosomwa na (Ustadh Bin Mweri) kutoka kigombe Tanga Tanzania🇹🇿
Переглядів: 72
Відео
Elimu Ina Thamani @Bin Mweri vs Akhy Ally
Переглядів 2049 місяців тому
Elimu Ina Thamani @Bin Mweri vs Akhy Ally
Maajabu makubwa👉Bin Mweri🇹🇿
Переглядів 8710 місяців тому
shuhudia mwanzo mwisho Maajabu makubwa yaliyofanyika katika harusi hii,📝
Ust Bin Mweri👉 swalatu alaa nnabiy
Переглядів 12811 місяців тому
Maulidi ya harusi yakitanguliwa na swala ya mtumi صلى الله عليه وسلم
Ustaadh Said Ally Hassan.
Переглядів 7511 місяців тому
Sikiliza wasia wa kimaajabu kwa wamama wa zama hizi dhidi ya mabint zao pindi wanapotaka kuolewa😫
maneno mazito yaliyowaliza wengi aliyoyatoa shekh Hassan Bin Said Bin Khuzayma 20_10_2022
Переглядів 159Рік тому
Shekh Hassan Said Khuzayma
Sababu za kutojibiwa maombi yetu
Переглядів 1052 роки тому
Ust: Haamid Ungana nami katika kuzifahamu baadhi ya sababu zinazopelekea kutojibiwa dua zetu.
Yafahamu Maajabu ya surat Kah'f
Переглядів 442 роки тому
Ustadh Hamidu Bin Mweri Anakutea maajabu ya surat Kah'f ndani Qur'an
madhara ya mwenye kudumu kunywa pombe.
Переглядів 1162 роки тому
madhara ya mwenye kudumu kunywa pombe.
#IN'TABIH ni kipindi cha nasaha
Переглядів 172 роки тому
Kupitia Channel hii utaweza kueleimika na kufaidika na mambo mbalimbali ya dunia yako na akhera yako Usisite #Kusubscribe katika channel hii nyonte mnakaribiswa🙏
Maulidi makuu ya madrasat Nuur (mji mdogo wa Bago) 18/12/2021
Переглядів 2472 роки тому
Qaswida: Birasuuli llah ikisomwa na Ustadh Hamidu Bin mweri kutoka madrasat Qamaral Munira kigombe
Ust: Hamidu Bin Mweri: Hadithi: Uharamu wa kugombana!
Переглядів 652 роки тому
الحديث صحيح في الصحيحين عن النبي عليه الصلاة والسلام أنه قال: إذا التقى المسلمان بسيفهما فالقاتل والمقتول في النار قيل يا رسول الله هذا القاتل فما شأن المقتول؟ قال: لأنه كان حريصًا على قتل صاحبه فالمسلمان إذا التقوا ظلما وعدوانا هذا وعيدهم، أما إذا التقوا بشبهة ولأمر مشروع كما يقوم أهل العدل في قتال أهل البغي، فهؤلاء الذين قاموا بإزالة البغي محسنون، ومقتولهم شهيد ويرجى له الخير لأنهم قاموا بإزا...
Ustadh Hamidu Bin Mweri: ukweli kuhusu kifo
Переглядів 1052 роки тому
Ustadh Hamidu Bin Mweri: ukweli kuhusu kifo
Kisa cha bwana aliye wakashifu wanazuoni waliopita ndani ya gari. Je nini kilimtuta?
Переглядів 3722 роки тому
Kisa cha bwana aliye wakashifu wanazuoni waliopita ndani ya gari. Je nini kilimtuta?
Maashallah!! angalia mpaka mwisho ushuhudie maajabu ya mtoto huyu! 🙏
Переглядів 2162 роки тому
Maashallah!! angalia mpaka mwisho ushuhudie maajabu ya mtoto huyu! 🙏
Shuhudia mzee huyu jambo lililomkuta hakuamini Dah!😭
Переглядів 182 роки тому
Shuhudia mzee huyu jambo lililomkuta hakuamini Dah!😭
Maneno ya dhahabu kutoka kwa Shekh Hassan Khuzaima (kigombe TANGA)
Переглядів 4753 роки тому
Maneno ya dhahabu kutoka kwa Shekh Hassan Khuzaima (kigombe TANGA)
Qamaral Muniira kigombe tanga Wakiwa ndani ya jiji
Переглядів 3043 роки тому
Qamaral Muniira kigombe tanga Wakiwa ndani ya jiji
Kisa cha maajabu kilichomtokea huyu bwana
Переглядів 1903 роки тому
Kisa cha maajabu kilichomtokea huyu bwana
Ustadh Hassan Bin Khuzayma kutoka kigombe Tanga maulid ya harusi
Переглядів 3713 роки тому
Ustadh Hassan Bin Khuzayma kutoka kigombe Tanga maulid ya harusi
Firqatul Khayriyyah Tanga🎵 Tukiwa tupo katika mazoezi yetu ya kila siku
Переглядів 1453 роки тому
Firqatul Khayriyyah Tanga🎵 Tukiwa tupo katika mazoezi yetu ya kila siku
Tusidharau Qur'an jamani😭 haya maisha ni mapito tu
Переглядів 83 роки тому
Tusidharau Qur'an jamani😭 haya maisha ni mapito tu
Maulid ya majengo Kigombe Tanga 24/01/2021
Переглядів 2,4 тис.3 роки тому
Maulid ya majengo Kigombe Tanga 24/01/2021
Shekh Saidi Ally Hassan Kutoka gongoni Kenya Akiwa katika mji wa kigombe tanga
Переглядів 1,2 тис.3 роки тому
Shekh Saidi Ally Hassan Kutoka gongoni Kenya Akiwa katika mji wa kigombe tanga
Mwambie maalimu Ali anajua ✅
Maasha allaah
MashaAllah
Allah atunusuru
Acheni magoma
ماشآء الله على هذا الصوت الطيب والرائع والمميز. ماشاء الله تبارك الله على هذا الحضور الراقي من العلماء والمشايخ حفظكم الرحمن ورعاكم جميعا
Mashaallah
Masha allah
Mashaallah Allah akuzidishie sheikh wetu sayiid ahamad ahamad badawy mwenyebaba, wajinga hawaelewi eti BIDAA
Amiin Yaa rabby🙏
😂😂😂 limekosekana veve tu hapo.
Acheni kumdhihaki Allah,hata Mtume s.a.w amekataza sauti za ala za miziki,inalillah wainailaih rajiun.Allah atuongoze
Mmhh!! Upo sahihi Kwa ulivyosoma lakini usijaribu kumkosoa sheikh letu Baki na ya kwako alafu fainali Kwa Allah tutajua yupi mwenye makosa usionge kama mtume ni mjomba wako eti mtume alikataza mangapi unayafanya mtume ameyakataza Wacha ujinga
Daaah Mtihani wallah Allah atuongoze kwenye haki
Allah awaongoze kwenye hakki
Jisufi kubwa😂
Mapiano yanapigwa
Naam
Masya Allah❤❤❤
Maasha Allah
Bunch of innovators. May Allah preserve the muslimins
Mashaa allah 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mashekhe wa kutegemewa wa kisufi wakiimba taarabu, innalillah wainnailaih rajioun
Hujui maana ndomana wasema taarabu
@@musakhamisi1692 basi mnaweza mkasema ni ibada pia , kweli masharif bidaa wana balaa
لا عقل لك
Sawa. Wacha waimbe taarabu kama unavyoona kama inakuuma kamwambie babako akaimbe bongofleva, Nini kuwatukana masheikh wetu kwani mlilazimishwa kusoma maulidi acheeni ufala wahabi mnakera
@@ZAMYLFILM mbona munakua wakali mukibainishiwa haki?
Kumbe Taarabu pia inaruhusiwa ktk usufi? Duuh alhamdulillah kwa kutoka ktk uzushi.
Mashaallah
دجال من الدجاجلة عافانا الله والمسلمين آمين
Hiyo ni ngoma ya aina gani???
Naona sawa na Taarabu ya kimombasa juma bhalo Au kwa bongo malindi taarabu ya zanzibar
Jaman hebu tufikirien kwanza hii ni mwana chioni Gani alitamka inafaa katika dini au tunasubir Mashekhe watukataza tusema Mawahabi wamezid kuchafua dini na je Mtu siku ya Msiba wake kama hii ni Dini Yuko tayar kufanyiwa ili watu wapate Burdan mda was Mazishi au was Dua? Huyu ni Shekhe Mkubwa sana na anapenda Maulid hauna la kumuambia. Where we are going and to whom we will return? Itaq Llah.
Kama hamna lakukoment si ukae kimya Sasa kosa hapo liko wapi?? Shida yakusoma alafu usielewe mtume kafanyiwa haya yanayofanywa na hakukataza Sasa wewe ni nani? Msijifanye mtume anawajua sana.
Mashaallah mashaallah
Dah mumekuwa mwapiga vinanda.mwaonaje mukapiga drams pia na magita.nyie wazushi dah
Mashaallah mzazi wetu na mlezi wetu Allah akujalie umri mrefu na mwisho mwema
اللهم آمين يارب العالمين 🙏
Yaweza kua wamesoma ila tarabu na mnanda huo haumo katika dini na mnanda huo kharamu
Nuimbo ni haramu haihitaji elimu apo
12:09
Masha allah alhamdulilah félicitations pour ❤
Hakuna mwanazuoni aliebakia africa mashariki na kati kama hiko kiumbe. sasa ikiwa mwayadiriki maneno ya mtumi (s.a.w) basi waekeni watu katika madaraja yao au laa mwafata mkumbo na ushabiki basi muacheni alhabiby ahmad badawiy aingie motoni na nyie wahabia ingieni peponi😢😢😢
Wewe mwendaazimu hawa washirikinaa wakina jufrii
Msufi waimba taarabu
Ustdh.. saeed alii hassn....
Huyu muimbaji haswa na mapiano pia!!!! Duh kali mzee mwinyi papa 😂😂😂😂😂😂😂😂 kumbe mutrib mkubwa wewe!!! Halafu na allama qawwama!!! Na wafurahia kusifiwa kwa uongo mbele yako!!!! Uliamka usiku kufanya ibada wewe!!! 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂 mzee wetu wa kibajuni una tabu sanaaa....
Hakiamungu wimbo utasema wa ummu kulthum vile vile na vinanda watumiavo
Mashallah mungu akubariki mwalim🤲
Mashaallah
Mashallah kk Mungu akubaaaariki
Dooh swalli alannabiy Kazi nzur mwalim wangu allah azidi kukufungua inshallah
Nyote mnaotukana hamna hata nusu chembe ya ilmu kuwafikia hao waloketi apo mbele wala kinachosomwa apo amkijui hata chakuwashauli tafuteni mashekh msome msifuate fuate tu
Hapo hakuna mmoja anaemfikia Ibilisi kwa ilmu, kwa hiyo tumfuate Ibilisi? Uislamu haumfuati mtu kwa sababu ya ilimu yake mtu ndio atakiwa aufuate Uislamu hata km ana ilimu.
Matusi hayafai mnapata dhambi
Si vizuri kitukanana katika dini au wakati wowote ule.Vile vile kuongeza Ibadaa yenye haikuwepo wakati wa Mtume S.A.W ni kuwenda kinyume na Quran takatifu na ni sawa na kusema nyinyi mwaijua dini vizuri kumshinda mtume s.a.w
Kawauliza wanaofanyisha Misabbaqua Ya QUOR'AN, Kwanini Haikuwepo zama za Mtume wala Maswahaba" Jee Wao Wanaipenda sana QUOR'AN zaidi Ya Alivyoipenda Mtume na Maswahaba? Watakavyokujibu Swali Hilo Kisha Nawe Urudi Hapa Upewe Jibu La Swali Lako insha'allah. Kwa Njia Nzuri Al Akhy.
Mwinyi baba aimba taarab ya ki masri, mpaka aliza watu, utasema asoma Aya za quraan. Lahaula wala kuwwata illa billah. Mcheni Mola wenu.
@@hajigahimbare579Hili ni swali la kitoto sana. Qur'an tunapoisoma tunapata thawabu 10 katika kila herufi wewe wapata nini kupiga twari?
mansha Allah
🙏🙏
Mssufi ni manhaji ya kikafir
We wahabi unamanhaji ya kiibilis uisilamu ni tabiya sio matus
Akhy afwan waache tu waimbe ila usiwakufurishe na pia tuzidi kuwaombea waepukane na ugonjwa huu wa bid'ah
Sasa hyo nyimbo aloanza nayo ajiitaye muft wa kenya haina tafauti na wimbo wa UMMU KULTHUM wa misri vile vile yani
Sufiiiiiiiii
Naam
Yana onekana manaafik makubwa ki surah tu laanatullahi alayhi
We utakuwa ni mtoto wa zinaa.ndo maana huna adabu kamuulize mama yako vzr
Hakika kama we ulivo mtoto wa haramu mja laana we ka ulizie babaako kama wamfahamu wewe mwana haramu mkubwa weee
😂 hasira au matusi ya kazi gani? Kama haya tufanyayo sio yako si ujipe shughuli akhiy? Madrasa za Ahlul Sunnah (Twariqa/Suffii au upendavo kutuita) ziko wazi na zinafundisha kwa miaka mengi. Unakaribishwa inshaALLAH. Sisi hatutukani kama wengine. Thanks❤
Huo uhabi wenu ndo umewafunza kulaani watu na kuwatusi,, yaan ww uwekwe na habib ahmad badawi na elimu yako hiyo ya kulaani waislam wenzio una nn ww
We fanya uonalo sawa anaehukumu ni ALLAH mbona unaingilia kazi si yako
Ukiwa Sufi asubuh haifik adhuhur ushakuwa mwendawazimuu Ni kama haoo
Nini hii mbona upuuzi mtupu
Ukiwa wahabi asubuhi jioni umekua mpumvavu
Mwahabi someni acheni janja janja
@@salumnuhu9066we mtoto wa zinaa
Huyo sheikh ndio anadai anamuona mubashara ktk bidaa ya mawlidi mtume Na anarembua macho yake huyo sheikh kuangalia juu eti anamuona mtume live live bila chenga Hamuwachiii jamani
Mashaaa allah
🙏🙏
Maashallah
🙏🙏